Urais 2015: ADC yamtangaza Chief Lutasola Tanzania Bara


Wagombea urais ADC Chief Lutasola Yemba (katikati), Said Miraji (kulia) ndiye mgombea mwenza wake pamoja na mgombea urais wa chama hicho, Zanzibar, Hamad Rashid Hamad.
Wagombea urais ADC Chief Lutasola Yemba (katikati), Said Miraji (kulia) ndiye mgombea mwenza wake pamoja na mgombea urais wa chama hicho, Zanzibar, Hamad Rashid Hamad.
Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimempitisha Chief Lutasola Yemba kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa upande wa Tanzania  Bara.
Aidha, katika mkutano huo  ambao ni  mkutano mkuu tatu wa chama hicho  uliofanyika jijini Dar es salaam  pia umemtangaza mgombea mwenza wa urais kwa Tanzania bara  ambaye ni Said Miraji.
Kwa upande wa Zanzibar Mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao  ni Hamad Rashid Hamad
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: