
Wagombea
urais ADC Chief Lutasola Yemba (katikati), Said Miraji (kulia) ndiye
mgombea mwenza wake pamoja na mgombea urais wa chama hicho, Zanzibar,
Hamad Rashid Hamad.
Aidha, katika mkutano huo ambao ni mkutano mkuu tatu wa chama hicho uliofanyika jijini Dar es salaam pia umemtangaza mgombea mwenza wa urais kwa Tanzania bara ambaye ni Said Miraji.
Kwa upande wa Zanzibar Mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao ni Hamad Rashid Hamad
0 comments:
Post a Comment