CHURA AMEPEVUKA .. MWISHO 1

EPSODE YA XV

"kiukweli tokea juzi nilipokutana na wewe, nilitamani kila siku uwe unanipa tu utamu wako sema ndiyo hivyo tu mambo yanabana. Sasa kama leo unataka kwenda kunipa usiku kucha, nita enjoy sana mamaake" alisema J na kumfanya mama Joy kukosa pozi, akabaki amekodoa macho kumtazama tu huyo kijana kama vile anayemhurumia.
"bahati yako mwanangu anaumwa lakini nilita tukagalagazane kitandani hadi asubuhi,........
ENJOY....

nimelimisi sana dudu lako J....hata nikifumba macho naliona lilivyosimama natamani niwe nalishika kila wakati" aliongea kwa sauti ya chini mama huyo huku akiwa makini zaidi sauti yake isisikike na mtu mwingine.
"unajua kitumbua chako ni kitamu sana halafu umebarikiwa si utani...ungekuwa rika langu mama Joy, haki vile ningekuoa sema tu ndiyo hivyo umewahi kukua....yaani natamani niwe naingiza dudu langu kila wakati kwenye kitumbua chako mnato kinachovuta" alizidi kuchombeza J na kumfanya mama akose utulivu hapo kwenye kigoda alipokalia. Kilikuwa kama kinamuwasha hicho kigoda kwa jinsi alivyokuwa akihangaika.
"bwana J usiongee hivyo utanifanya nishindwe kulala vizuri bwana si unajua dudu lako lilivyo tamu" alilalama mama huyo kwa sauti ya chini.
"twende basi ukanipe hata kimoja" aliesma J.
"hapana mimi mchezo kama ule tulioucheza juzi mi siutaki, nataka kulala na wewe tu hapa nilipo ili nilifaidi dudu lako vizuri" alisema mama Joy na kumalizia.
"sema ndiyo hivyo tu mwanangu anaumwa lakini leo nimeshikika kweli na unajua kuwa daktari wangu ni wewe,....J hata ukioa naomba uwe unanipa utamu wako"
"usijali kwani hata mimi sitaki kuukosa utamu wako" alisema J. Tayari alikuwa ameshamaliza kula kwa muda huo, hivyo alitoa noti ya shilingi elfu kumi na kumkabidhi mama huyo kisha kumwambia kiasi kitakachobakia atamnunulia mtoto dawa. Mama Joy akamshukuru kijana huyo kisha wakaagana. J alikuwa akirudi nyumbani muda huo wa usiku lakini mawazo na akili yake vyote vilihama na kumfikiria Batuli. Hakujua ni kitu gani kilichokuwa kikimfanya amfikirie zaidi mtoto huyo. Hakujua kama ni upendo wa kawaida au tamaa tu za kimwili zilizokuwa zikimsumbua, alijikuta tu akiwa na mawazo mengi sana juu ya binti huyo.
"sijajua ni kipi hasa kilichomfanya yule mtoto anipe ahadi ya namna ile, alijua fika kuwa hatoweza kutimiza ahadi, sasa ni kwanini aliniahidi....atakuwa alidhamiria kunidanganya siyo bure. Na kama ni hivyo kwa nini sasa?" alikuwa akiwaza na kujiuliza maswali ambayo sijui hata kama alikuwa na uhakika wa kuyapatia majibu. Usingizi ulikuwa umejitenga pembeni kwa muda kwanza kumpisha kijana huyo amalize kuwaza. Usingizi haukuwa rafiki kwa usiku huo sijui hata ilikuwaje akili yake J hadi ajikute namna hiyo.
"kuna kitu siyo bure. Siyo kawaida hii, sijawahi kuwaza namna hii mimi hata kidogo. Kwanini sasa? Lazima nimtafute kuanzia kesho huyu mtoto, sikubali hata nyumbani kwao nitakwenda kumuulizia" alijipa ahadi J. fundi na kuzidi kuwaza.
"lakini Batuli ni mrembo sana yule mtoto, anajithamini, pia anakila sifa. Acheni aringe....nimeipenda rangi yake...mtoto mweupeee. Hivi akija humu ndani mimi nikizima hii taa na weupe ule duuh! Najiona chizi kabisa....Batuli njoo basi mpenzi nakupenda mwenzio, usinikatae...njoo uone nilivyokuwa na penzi la ukweli kwako" alizidi kuwaza J.
"yaani naona kama tayari namvua dera lake halafu mtoto ndiyo kabakiwa na chupi tu ya rangi nyekundu. Mtoto analalamika J nataka wote, nitie nao J mpenzi....aaaaaah ssssss!" J alikuwa kama kachizika juu ya mtoto Batuli, alikuwa na mawazo mengi sana juu ya Batuli mtoto wa kike mrembo mwenye weupe wa asili. Kiuno kilichojigawa kiustadi na kutengeneza makalio makubwa kiasi ya kuvutia, mtoto alikuwa na jicho la kulala linalotamanisha kila wakati. J. fundi si ukora tu pekee bali kuna zaidi ya tamaa moyoni mwake. Usingizi ulimvizia akiwa hivyohivyo mawazoni na kumhamisha kabisa ndani ya dunia hii kisha kumpelea sayari nyingine ya ndoto.

"napenda unavyokatika, mtoto unakata mpaka basi, ooou yaaa, nipe yote nikalale nayo chumbani kwangu mpenzi"
"kula tu unavyoweza, usijali kula tu hata kama unaweza kunila mzima we nile tu niko radhi mume wangu"
"aasssssss aaaaaa.....kwa nini mtamu hivi, hebu nipe siri ya utamu wako,....kitumbua chako ni tofauti na vitumbua vyote nilivyowahi kula....nakojoa mpenzi..nakojoooo......!"
"kojoa, kojoa nikupokeee kojoo!"
"aaaaaaaah!" kum*nina zangu, aisee mimi ni mseng* kabisa cheki nilivyojichafua kama mtoto mdogo....mbona ni mtoto mweupe niliyekuwa ninamla, ananywele ndefu, mapaja meupe kama ya mzungu.....atakuwa ni nani yule?" alijiuliza maswali mfululizo J. fundi mara baada ya kujipiga bao la ndotoni. Tayari ilikuwa imeshatimu saa kumi na mbili za asubuhi. Bukta yote ilikuwa imechafuka mbele, ilikuwa haifai kabisa.
"mbona alikuwa ananiambia nikojoe kabisa Mungu wangu....nimefanya mapenzi na jini mimi jamani... haiwezekani mtoto nilikuwa naye namla mida hii hii, cheki bao bado la moto kabisa.....lakini mbona ninemtia hadi madole?" ilikuwa ni patashika nguo kuchanika. J alikuwa akipambana na mawazo lukuki, anaamini kabisa kuwa ile haikuwa ndoto bali alikuwa anafanya mapenzi kabisa tena na kiumbe kizuri lakini sura hakuiona, aliona nywele ndefu na weupe wa kiumbe hicho. Mawazo yake hayakudumu sana. Mlango ukagongwa, akatoka baada ya kuvua hiyo bukta na kuvaa nyingine juu akapiga fulana kubwa na kutoka. Nje alimkuta Chacha akiwa tayari amenyuka viwalo vya nguvu.
"broo kitu cha likizo hiki, Dar moja" alisema Chacha akiwa na furaha sana.
"po.....!" alikatisha kwanza J. Akapiga mwayo mkuubwa kisha akarudia.
"poa dogo ila hakikisha unauwacha utukutu huku, usije ukaenda kuleta kero kwa baba yako mdogo huko. Mi nikipata ripoti ukija huku kama kawa, makwenzi tu....si unanijua?" aliongea J.
"nimekuwa sasa hivi broo"
"poa, mkwanja si nilikupa jana?"
"yaa, niko full nondo"
"poa" alijibu J kisha Chacha akadandia bodaboda ambayo ilimrusha kituo cha mabasi cha hapo Muheza. Nyumba ya J. fundi haikuwa mbali na barabara inayotoka Masuguru juu hivyo kwa muda huo wa asubuhi aliweza kuwaona watu wengi na pilika zao za kuwahi makazini na kadhalika. Akiwa bado ameganda mahali hapo bila kujua kwa nini, jicho lake likatua kwa msichana ambaye alikuwa mweupe, mwenye nywele ndefu za rasta zilizosukwa kistadi. Alikuwa akipita kwa mwendo wa madaha makubwa mithili ya ngamia jangwani. Macho yakamtoka J, mtu aliyemuota ndotoni na kuichafua bukta yake, anamuona waziwazi tena akiwa vilevile hamuoni sura.
"ndiye, kumbe ndiye!" alipayuka kwa mshangao na kujikuta akipiga mbinja bila matarajio. Wakageuka watu wawili wote wakiwa ni wanawake na wote wakiwa pamoja na haitoshi, wote wakiwa wamesimama na alama za kuuliza machoni mwao 'mimi?'
"sasa wewe si uende!" akasema kwa sati ya uchoyo, sauti aliyoisikia mwenyewe lakini si sauti pekee bali alitoa na ishara ya kuruhusu kuondoka kwa mmoja lakini wale wasichana wakajua tofauti hivyo kila mmoja akaondoka.
"ah!, ah!, siyo wewe!" akapayuka kwa sauti ya juu huku akiwa kituko, alikimbia bila kujua kama amevaa bukta, ashukuru tu bukta ilikuwa ndefu na fulana yake. Vikamsitiri. Akafika mbele ya yule binti mweupe, aliyemuota usiku ndotoni.
"ni wewe kweli!" akaropoka mbele ya huyo binti" lakini alipomuangali vizuri alimkumbuka, akachanua mdomo kutaka kusema jambo.
"J. fundi, yaani umeamua kuja hapa barabarani na hivyo ulivyo?" akawahiwa kwa swali la mshangao. Wala hakujali J ndiyo kwanza akajidai ni Ney wa Mitego.
"mapenzi mama, mapenzii!"
"hatakama siyo kihivyo" Hakuwa mwingine ni Batuli, alikuwa kwenye mavazi ya kuvutia na kupendeza mno. Alikuwa akielekea zake kazini asubuhi hiyo. Batuli alimshangaa sana J na kumuona mtu wa ajabu sana. Batuli alijisikia vibaya sana kumuona J amemsimamia akiwa katika mavazi yale tena asubuhi asubuhi namna ile.
"nini kwani J?" akauliza, alikuwa ni kama hayuko sawa.
"ahadi yako Batuli, ahadi yako haikutimia na ndiyo maana nimekuvamia kipuuzi namna hii" alisema J. Neno hilo likamfanya Batuli kutulia na kutafakari kiungwana zaidi.
"haya sema basi?"
"hata kama nitasema hutanielewa kwa sasa kabisa. Nipe namba yako kisha unipe na muda mzuri wa kukupigia Batuli. Moyo wangu unanisumbua kila siku kuhusu wewe na kama ningechelewa kukuona bila shaka ungetoka kukutafuta ulipo. Batuli ilibidi atabasamu tu maana tayari J alishaanza vituko. Alijua fika hakua na kipya hapo zaidi ya mapenzi. J alishampenda na yeye pia kwa J alishakufa ilibakia kuoza na kunuka tu ili hadhara yote ijue. Tatizo ni muda na kujirahisisha ndiyo ilikuwa tatizo lakini hapo kwenye namba aliapa hatopachezea lazima aanguke mazima kwa kijana huyo mpole na mcheshi. Mapenzi mazito kabisa yakijichora kwenye moyo wa dada huyo na macho kudhihirisha. Wakabadilishana namba bila hofu na mashaka. Ahadi ya kuwa ifikapo saa tisa ya alasiri amtafute hewani. J akajiona kama Mwewe vile mbele ya vifaranga vilivyofiwa na mama yao mzazi. 

Siku ikaanza namna hiyo, hakurudi tena ndani kulala bali aliamua kufanya usafi wa hapa na pale hadi ilipofika saa nne za asubuhi.

Kuondoka kwa Chacha kulikuwa kumetoa mwanya mkubwa sana kwa mama Chacha kuwa huru kwa kujiachia na kijana huyo. Aliamini hapo hawezi kupindua ni lazima ambane na kumuweka kwenye kumi na nane zake hadi amfaidi huyo kijana. Wema ambao ameufanya J. fundi wa kumrudisha Chacha shule wakati Chacha hakuwa mtu wa kusoma, jambo hilo mama Chacha aliliona kubwa sana na hakuwa na kitu cha kumlipa kijana huyo zaidi aliona ni bora kuwa naye karibu kimahusiano. Alilifanya hilo ni kama malipo kwenye kile alichokifanya J lakini J aliamua tu mwenyewe kufanya jambo lile kwa matakwa yake na wala hakuhitaji malipo yoyote. Pengine mama Chacha alikuwa akiitaka hiyo nafasi kwa kupenda kwake na kuamua kutumia nafasi ya msaada alioutenda kijana huyo. J akiwa hajui hili wala lile, akiwa ametulia ndani kwake hapo ikiwa ni baada ya kumaliza usafi. Alikuwa anatoka kujifanyia usafi, hapo alikuwa amejifunga taulo huku akiwa anatafuta nguo ya kubadili, alishtukia tu mtu akiwa anatembea taratibu nyuma yake. Alipogeuka, alikutana uso kwa macho na mama Chacha, alishtuka nusura taulo limuanguke, macho yalimtoka pima mdomo ukiwa wazi.........

Itaendelea



,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,


APPLE LIMEPEVUKA.

EPSODE YA XVI

J akiwa hajui hili wala lile, akiwa ametulia ndani kwake hapo ikiwa ni baada ya kumaliza usafi. Alikuwa anatoka kujifanyia usafi, hapo alikuwa amejifunga taulo huku akiwa anatafuta nguo ya kubadili, alishtukia tu mtu akiwa anatembea taratibu nyuma yake. Alipogeuka, alikutana uso kwa macho na mama Chacha, alishtuka nusura taulo limuanguke, macho yalimtoka pima mdomo ukiwa wazi.
"Vipi tena mama Chacha kuvamia ndani kwangu tena bila hodi!?" akauliza J kwa mshangao.

ENJOY....
"Samahani J lakini sikufanya kwa bahati mbaya kuingia humu ndani kwako bali nimedhamiria,.....nimepanga baada ya rafiki yako kuondoka mimi nije huku kwako hii asubuhi.....J kwanini unakuwa na moyo wa chuma wewe mwanaume, hujui hata kuwa kuna watu unawaumiza namana hiyo?" aliongea mama Chacha. J ni kama alishindwa kumuelewa mama Chacha kwa muda huo. Amedhamiria kuja humu baada ya rafiki yangu kuondoka. Alijiwazia J namna hiyo. Wakati akiwa anajiuliza au kuwaza muda huo, mama Chacha akaurudisha mlango na kusogea katikati ya kile chumba cha kijana huyo. J bado akikuwa yupo katika maswali ya kujiuliza, si kawaida mama Chacha kumvamia ndani kwake namna hiyo hata siku moja hiyo ilikuwa ni mara ya kwanza na ilimchanganya kabisa.
"anajiamini, hana hata wasiwasi.....ana nini leo huyu mama?" alijiuliza J, jibu hakulipata. Mama Chacha alijifanya kama yuko mwenyewe mule ndani, alichokifanya ni kuitoa khanga ya juu na kubakiwa na mtandio ambao ndani haukuwa na kitu chochote kile cha kujistiri kisha kupiga hatua ndogondogo kuelekea lilipo kochi la kukaa mtu mmoja mule ndani. Wakati analielekea hilo kochi, alikuwa amempa mgongo J hivyo kumfanya kijana huyo kuyashusha macho yake kuangalia mzigo wa mama huyo maan ilikuwa hakuna jinsi. Hapo ndipo macho yake yalipokutana na kitu cha ajabu na asichokitarajia kama kingefanywa na mama huyo, mama aliyekuwa akimheahimu na kumchukulia ni kama mama yake kwa jinsi ambavyo alikuwa akiishi naye. Mtandio ulishindwa kuvificha vilivyomo ndani, ulionesha kila kitu. Makalio laini ya mama huyo yalikuwa yakipigana vikumbo na kusababisha mtikisiko wa aina yake.
"majaribu" aliwaza J. Moyo wake aliuona kama ukitoka na kufanya kama unachukua mazoezi ya mbio za riadha, kijasho chembamba kikaanza kumtiririka taratibu kutokea kichogoni na kupitia uti wake wa mgongo. Lilikuwa ni jambo la kushangaza sana. Makalio makubwa ya kushika na kuyatomasa ili yakupe andasi za kufanya ngono yalikuwa yakitikisika mtikisiko wa hamasa ya aliyebeba mzigo huo kuliwa. Mama Chacha alifika kwenye kochi alilolikusudia na kuuweka hiyo kanga kisha akageuka kumtazama kijana huyo. Mshangao aliomkuta nao huyo kijana aliutegemea kwa asilimia mia moja na kitu. Tabasamu la unangoja nini sasa kama siyo kunitafuna, likawa linachanua usoni mwa mama huyo.
"ma...mama...Cha....cha...hi....hivyo...ndiyo ni..nini sasa!?" aliuliza kwa kitetemeshi kikubwa J.
"nakushangaa sana J kwa umri uliokuwa nao bado unataka kujua kwa nini hivi leo, J nitafute gitaa au zeze kisha nitoke mtaani, nitumbuize na kuimba kuwa nahitaji au nalihitaji penzi lako?" alisema mama Chacha akiwa hana hata wasi wasi kabisa. Moyo wa J ukapiga chemaba chogo moja, mbili na tatu kisha mkono kinywani. Jicho lake likitambaa taratibu kwenye mapaja taliyojichora ndani ya ule mtandio, dudu lake likamsaliti. Likasimama kwa pupa na kupiga lile taulo kii!, halafu likawa linanesa kama wale mijusi wanaopatikana kwenye miamba ya majabali makubwa huko jangwani. Mama J akakenua baada ya kuiona ile hali. Akafanya kitu ambacho kwa asilimia mia na zote, alimkoroga kabisa akili kijana huyo. Aliufungua ule mtandio akaupenua kisha kujifanya anaufunga tena taratibu. Kila kitu kilikuwa wazi bila kificho. Mzigo wa haja aliokuwa ameubeba mama huyo ukamfanya kijana huyo akili kumruka kwa muda. Matiti mazuri makubwa yaliyotuna yaliyobebwa kifuani, J alidinda mbaya mbovu, kitu kilimsimama hadi kikawa kina muuma. Mama huyo akauangusha kabisa sakafuni mtandio huo halafu akawa anamfuata kama anayeiogopa sakafu ya humo ndani. Mwili mkubwa wa mama huyo ulizidi kumfanya J kuhamwa na akili kabisa. Lile taulo ambalo alikuwa amelishika lisianguke sasa alikuwa ameliachia, taulo hilo likawa linamtoka maungoni mwake kiaina bila hata kufanya jitihada zozote za kulizuia.
"mama yangu kuzimu!" aliongea kwa mshangao mama huyo.
"nini?" akamuuliza huku akiwa amemkubalia kuja na hapo alikuwa akijiandaa kumpokea.
"J unadudu zuri, siyo kubwa wala refu la kutisha. Nene kiasi na lenye ufupi wa kuweza kusugua na kuleta raha....vitu kama hivyo ndio vinavyoniuwa J jamani siyo jirefu kama rungu ya mmasai, likikuingia ukeni wasikia uchungu kama watoa kimba iliyokomaa....njoo unipe dudu lako J leo nilifaidi. Nakuahidi hutauchukia huu mchezo wa leo na utapenda niwe nakupa kila siku" alisema mama Chacha akiwa anapapasa kifua cha kijana huyo. Dudu la J lilikuwa kama linasikia linavyosifiwa maana hapo lilikuwa linazidi kuumuka balaa hadi bichwa likawa nene kama Kambare aliyebanikwa. J alikuwa anaushikashika uume wake huku mkono mmoja akiwa anayaminya makalio ya mama huyo. Wahenga husema, Cha kuokota si cha kuiba mwenye mali ni mjinga. J hakuwa na makosa kabisa mahali hapo kwani alishamsihi sana mama huyo asifanye hicho alichotaka kukifanyal lakini hakusikia hadi kuamua kumvamia J chumbani kwake akiwa na dhamira kabisa ya kumpa utamu wake. J akaamua kumkandamiza na kauli isemayo. Ulichotunukiwa ni dhahabu' na kama ujuavyo nafasi ya dhahabu haina upili. Liwalo na liwe ikawa ni jambo la kumalizia. J akaanza kuziminyaminya chuchu nene za mama huyo, chuchu ambazo miaka kadhaa nyuma alikuwa akizinyonya Chacha kwa ajili ya kujipatia chakula chake.
"aaaaaaaaa,.....uuuuuuuuuu,.......yaaaaaaaaaa mmmhu!" alikuwa akilalama mama Chacha kwa utamu wa kuminywaminywa chuchu zake kitaalamu.
"unaonekana unanyege sana mpenzi?" aliuliza J kwa sauti ya kuchombeza.
"sana mpenzi, sijaliwa siku nyingi yaani leo utafaidi sana. Hapa tundu langu litakuwa la motooo hadi nakuonea wivu utakavyo faidi" alijibu mama huyo. Mwili wa mama Chacha ndiyo pekee uliokuwa ukimuua kijana huyo. Makalio yake makubwa yalikuwa yakizidi kumpa kichaa kabisa. Kila akiyashika anayajengea picha kama yanampigapiga kwenye mapaja akiwa anamkamua mama huyo.
"ooo yaaa, geuka kitogo mpenzi nipate hata goli moja la faster ukiwa umenipa mgongo" alisema J hadi mama Chacha akashangaa.
"mbona mapema hivyo jamani hata mzuka bado haujatupnda....J bwana acha hizo"
"makalio yako natamani yanipigepige kwenye mapaja yangu nikiwa nakuchapa nao mpenzi" alisema J, maneno yaliyomfanya mama Chacha acheke kwa ndani kisha akageuka na kumpa mgongo kijana huyo. J aliyapigapiga makofi ya kishkaji makalio hayo na kumwambia mama huyo ainame kidogo. mama Chacha hakuwa mbishi, akainama. Pamoja na kuinama lakini bado njia ya kuweza kuingiza dudu haikupatikana, makalio yalikuwa makubwa sana. J aliyashika makalio hayo huku na huku na kupanua, hapo akapata kuiona njia ya utamu ilivyokuwa kavu, haikuwa inatema ute wowote na hiyo ni kutokana na J kutokufanya maandalizi ya kumuandaa mama huyo. Alijikuta na mzuka sana asubuhi hiyo sijui ni kwa nini au labda ni ile ndoto ilimuacha na maumivu mwilini. J akaliachia kalio moja na kulikamata dudu lake lililokuwa limesimama hasa. Akalilengesha lakini likawa linakwama kupita, akawa analisugua pale juu ya njia kama anayelazimisha ili liingie, basi akifanya hivyo, mama Chacha hali tete, kelele mtindo mmoja.
"J ingiza jamani nilipate joto lako, sijaliwa nina miaka mingi, usinisugue hivyo tu pekeyake...nimeliona bichwa lako lilivyokubwa....ingiza lote ndani linikune nipate raha mpenzi" ndivyo alivyokuwa akilalama mama Chacha namna hiyo. J akalishika kalio na kulitikisa kisha kuliachia, lilikuwa linampa raha balaa. Akatia mate kwenye mkono akalipaka dudu kwa mbele pale kwenye injini kisha akalengesha, kifaa kikazama na kupotelea tunduni.
"aaaaaaah....aisee tamu kinomaaaa" alisema J. Joto alilokuwa akilipara ni bab kubwa. Kitumbua hicho kidogodogo cha mama Chacha, kilikuwa na moto mbaya mbovu. J alijua kabisa kwa joto hilo hachukui raundi hata ya tako kumi atakuwa tayari ameshanyanyua mikono kusalenda, hivyo akataka kile alichokipanga kitimie. Makalio yale alitaka yampigepige kwenye mapaja akiwa anamfaidi mama huyo. Akakikamatia kiuno vizuri sasa akaona potelea mbali hata akikojoa mapema siyo mbaya kwanza ni goli la kwanza halina mbwembwe. Akasugua kwa nguvu huku yale makalio yakishindana na kelele za mama huyo.
"pah, pah, pah, pah, pah!" zilikuwa zikisikika kelele hizo huku mama huyo akiwa hashikiki kwa mayowe.J alikuwa anamsugua kweli, kijana huyo alisugua hadi yale makalio yakawa yakipiga mapajani, yanakuwa kama yananata na kuleta mtikisiko fulani ambao ulimvutia sana J hadi akajikuta akiongeza nguvu na speed ya kuushindilia mdudu wake ndani na kuutoa. Hakufika mbali sana, akaanza kupiga kelele huku akiwa anakishikilia kiuno hicho na kubaki amenata kama anasubiri picha ya mnato. J akapiga bao la kwanza kwa shangwe kubwa kabisa lakini mama Chacha hakuremba, alichomoa na kugeuka haraka sana na kuikamata maiki hiyo kabla haijalala na kuanza kushusha mistari. J alikuwa akisimamia vidole kwa jinsi ambavyo mama huyo alivyokuwa anayavuta mabaki ya bao lake kwa mdomo kiutundu zaidi. Shughuli ilikuwa pevu haswa. Mama Chacha alikuwa si fundi sana wa mapenzi lakini mbwembwe ndizo zilizokuwa zikimuuwa kijana huyo. Kelele na manung'uniko pale alipotakiwa kunung'unika, mama huyo alinung'unika kweli. Mama huyo alikuwa hataki kuiachia maiki ya J muda wote alikuwa akipenda kuimba nayo kwa mitindo aipendayo. Alilamba na kuinyonya kama ananyonya Ice creem au Chokistic.
"oooooo...asante mama Chacha, asante kwa kujua kunipa radha nzuri, basi inatosha geuka unipe utamu sasa." aliongea J kama alikuwa kapewa mdundo vile kwa jinsi alivyokuwa akitumbuiza kwa maneno matamu yaliyomtia hamasa mama huyo.
"kwa nini unapenda kila saa nigeuke J jamani" alinong'oneza mama Chacha baada ya kuona kijana huyo hakuna mtindo mwingine anaoutaka zaidi ya huo wa chukua kwa nyuma.
"nilishakuambia lakini kuwa napenda makalio yako yakiwa yananipiga piga kwenye mapaja yangu. Yakiwa yananipiga piga naliona dudu langu likizidi kupata mzuka maradufu na kuzidi kudinda. Pia naona kama ndiyo nakuchokoa vizuri" aliongea J. Mama huyo hakuwa na usemi mwingine. alilishikashika dudu hilo na kulisugua kimtindo kama anayempigisha puchu kisha akailainisha na mate kidogo. Mama huyo akapanda kitandani na kupiga magoti. Jakampandia kwa juu kisha kuilengesha mahala pake. mama wa watu alikuwa anafumba macho tu kukiruhusu kifaa hicho kipenye na kwenda kupasha joto ndani kwa kusugua maungo yake ya ndani. 

ITAENDELEA.......

,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,\\


EPPLE LIMEPEVUKA.

EPSODE YA XVII

Alilishikashika dudu hilo na kulisugua kimtindo kama anayempigisha puchu kisha akailainisha na mate kidogo. Mama huyo akapanda kitandani na kupiga magoti. Jakampandia kwa juu kisha kuilengesha mahala pake. mama wa watu alikuwa anafumba macho tu kukiruhusu kifaa hicho kipenye na kwenda kupasha joto ndani kwa kusugua maungo yake ya ndani. Mama huyo hakuwa na sumu kabisa ila kitu ambacho J alikipenda hapo kwa huyo mama ni umbo, jimama hilo lilikuwa na umbo si kidogo. Mwili alijaliwa ukiweka na hayo makalio, ndiyo kabisa kabisa J alidata na kuchanganyikiwa mazima. Hakutaka sijui kunyonya hapa wala pale, alichojali yeye ni kumsugua mama huyo na pia hakutaka sujui kifo cha mende wala Paka kashiba, kazi yake ilikuwa ni toa ingiza, toa ingiza, hakuchoka kutoa na kuingiza, alikuwa akiuzamisha mpingo wake ndani kabisa na kumsugulia mama huyo huku makalio yake makubwa yakiwa yanampa raha zaidi.
"mama Chacha utaniuwa mwenzio na hili bogi lako, ashiiiii....aaaaaaa, halafu mtamu kinoma yaani, natamani hata nisimalize haraka ili nizidi kukufaidi" alisema J huku akiongeza kasi ya kusugua. Hakujua hata kwa muda huo, mama Chacha alikuwa akimuomba kijana huyo apunguze kasi.
"J yawaka moto J,....punguza J au itoe utie mate.....oooooooooooo.....aaaaaaaa!" sauti hizo wala J alikuwa hazisikii. ndiyo kwanza alikuwa anachochea moto.Alisugua hadi anamaliza kwa mtindo huo kisha akampiga kofi la asante, kofi lililokwenda kuyatikisa makalio ya mama huyo tiki tiki tiki! Hadi J akatoa tusi la kiaiana kumuendea mama huyo. Mapenzi bwana, mapenzi ni kitu cha peke yake kabisa. Kitendo cha kijana huyo kumtukana mama Chacha hapo kitandani, kama ni barabarani pengine ingekuwa ni kesi ya nitakushtaki kwa mjumbe lakini hapo mama huyo alitabasamu na kumpiga J kibao cha sitaki uchokozi huku akimsindikiza na maneno haya.
"ole wako nikikuhitaji uniletee longolongo, nakuangulia kilio mlangoni hapa kwako kama umefiwa"
"thubutuuu! Nani kasema, kwanza natamani hata kesho uje niyapigepige makalio yako au uyachezeshe kwenye mtalimbo wangu" alisema J kwa kunogesha. Kicheko cha utani wa hapa na pale kikawatoka.

*******
"sina amani ya maisha mimi kabisa, najiona sina bahati hata kidogo...nilioa mwanamke wa kwanza mambo ni haya haya, wa pili ni wewe....nikajua labda nimeokoka, kumbe loooh! Majanga. Naona siku zako za kurudi kwenu zinakaribia, sitaweza kukaa na mzigo ndani....mwanamke gani wewe eenh! Kupika ah...ah...unajua, kuosha vyombo, hapo Mungu kakujaalia kweli, lakini sikukuoa uje kutandika kitanda tu na kujua kukilalia....nimekuoa ili unipe haki ya ndoa na niridhike nayo......!" sauti ya baba mmoja ilikuwa ikisikiwa na Muba ndani ya chumba chake. Muba alikuwa kama amesha izoea sauti hiyo, mbaya zaidi sauti hiyo ilikuwa ni ya mwanaume tu kila siku. Mwanamke hata hakunyanyua mdomo wake kumjibu mumewe.
"unalala tu kila nikikuhitaji unalala tu, hata hujitikisi, umekuwa gogo mke wangu...bora hata hilo gogo basi laweza kubingilia, wewe umekuwa maiti sijui lab......!"
"haa! Mume wangu umefika mbali, mimi nimekuwa nani eti?...yailahi toba umenichoka, na nasema hivi, kama umenichoka nipe talaka yangu babu wewe, kwetu ninapo" alijibu kwa ghadhabu huyo mwanamke, alioneasha dhahiri kukerwa na jina hilo aliloitwa na mumewe. Lilikuwa ni jina la kidhalili sana kuitwa binadamu aliye hai. Kwa mara ya kwanza Muba anaisikia sauti ya huyo mwanamke. Nyumba aliyokuwa akiishi Muba ilikuwa bado mpya au naweza kusema haikuwa imekamilika lakini kwa hali ngumu ya maisha, mwenye nyumba hiyo, aliamua kuipangisha tu vivyo hivyo ilhali ikiwa bado haina siling board juu. Muba alikuwa ni mpangaji wa kwanza kukaa hapo kisha hao kufuatia hivyo wapangaji hao hawana siku zaidi ya tatu tangu kuingia ndani ya nyumba hiyo lakini shida na vurugu zao tayari Muba alishazinyaka. Cha ajabu ni kwamba muba vurugu hizo hazikumkera bali zilikuwa zikimfurahisha maradufu na kuomba hata zisikomee hapo bali ziendelee na kilichomfanya apende vurugu hizo za wana ndoa ni sauti ya huyo mwanamke. Mwanamke huyo alikuwa na sauti nyembamba sana ya kumtoa nyoka kwenye maskani yake ya kujidai. Mume alizidi kumtupia lawama mkewe kuwa hamfurahishi wawapo kwenye uwanja wa fundi Seremala. Mke naye aliamua kuja juu na kumwambia mumewe kuwa kama angekuwa yeye ni mjuvi wa mapenzi, angemrekebisha alipokosea lakini kama kumrekebisha anashindwa basi wote ni hakuna afadhali. Malumbano yasiyo na refalii yalizidi kumpa Muba hamasa ya kutofanya jambo lolote lile zaidi ya kutega sikio kuisikiliza sauti ya wanandoa hao. Sauti ya mke wa mtu akiongea tu ilikuwa ikimuumiza je, kama angesikia ikinung'unika ingekuwaje.

Wakati yale yakiwa yanaendelea kule, J alikuwa anamalizia kuongea na mtoto Batuli kwenye simu mida hiyo ya jioni.
"nihakikishie basi J kuwa hunitamani na unasababu za kuwa na mimi" aliongea Batuli simuni. J akasugua pua yake kidogo kisha kujiweka vizuri kitini, akasema.
"hakuna kikubwa ambacho nitakionesha kwako kwa sasa na ukaona kuwa hicho ndicho kikubwa cha kukuaminishia Batuli. Lakini ukweli wa yote ni moyo na kama ujuavyo hakuna awezaye kujua ya moyoni kwa kutazama kwa macho ya kawaida. Batuli nakupenda tena nakupenda kwa dhati kubwa, sijawahi kumtamkia mwanamke yeyote yule hili neno katika kumbukumbu zangu za kimahusiano zaidi yako" alitema cheche J. Batuli hakuwa na jingine la kuongeza. Hayo yote yalikuwa ni maneno tu miongoni mwa maneno, lakini mapenzi kwa J, Batuli alikuwa nayo wazi wazi. wakapeana siku ya kukutana ili kupanga mengi zaidi.

%%%%%
%%%%%
Siku zilikatika kama moto wa mabua uwakavyo kwa kasi lakini kwa muda mfupi. Siku zilikuwa zikikimbia sana kuliko kawaida. J alikuwa ametulia nyumbani kwake akiwa na lundo kubwa la mawazo akilini mwake. Alikuwa akiwaza kitu ambacho hakujua akiepuke vipi, hakuwa na njia ya kukiepuka kitu hicho maana kila alivyokuwa akijitahidi alifeli na jambo hilo likizidi kupata kasi ya kuzidi mno. Ndoa. Ndiyo, wazazi wa J walikuwa wanahitaji kumuona kijana wao akiwa na mke tena wakiwa wangali hai.
"ni wazi sasa kijana wangu, hapo ulipo si kinda tena kwamba hujui A wala Be, unajua na pia unajua kuwa kwa sasa wewe ni barobaro kubwa kabisa kama ni Beberu limeshaanza kutoa harufu ya ukomavu. Tunahitaji kuona mwenetu ukiwa na mke. Hili si ombi ni amri. Tuanakupa muda wa kuchagua mke umpendaye na kisha utupe taarifa sisi tukamilishe harusi" alikumbuka kauli ya mzee wake J alipokuwa amekaa kwenye kibanda chake cha biashara ya masofa na samani nyingine nyingi. Alikuwa mnyonge kupindukia. Ni kweli alitaka kuoa lakini si kwa kipindi hicho, bado alikuwa hajamaliza hatua ya mwisho ya ujana wake. Leo anaambiwa aoe tena ni amri siyo ombi. Aliwaza hapo hata Muba alipomtokea mbele pia hakumuona. Mawazo yalikuwa mengi kupita kiasi kichwani mwake.
"vipi kaka, mbona leo ni tofauti sana kwema?" hadi Muba alipoamua kumshitu namna hiyo ndipo akashtuka na kumtazama kijana huyo usoni.
"aaah! Kiasi ila kwema....kunaridhisha vipi?" alijibu kwa kutoeleweka kisha kutoa salamu.
"mimi bukheri ila kwako bado ninamashaka"
"ondoa hayo mashaka weka amani tu" alijibu J katika harakati za kumtoa wasiwasi kijana huyo, hakuta kuliweka bayana hilo jambo asilani. Akatulia kidogo na kuomba aendelee na kazi yake ya kumalizia kuliunda Sofa alilokuwa amelibakisha kidogo tu kumaliza. Walipiga soga za hapa na pale huku ufundi ukiwa unaendele, tayari kigiza kilikuwa kimeshaanza kuchukua nafasi muda huo.
"J, muda naona umekimbia sana, mimi acha niende nyumbani nafikiri kesho tutaonana asubuhi.....daah! Alafu nimekumbuka kaka, naomba kesho uniibukie magetoni unirekebishie kitanda changu kimezingua jana" alisema Muba.
"we nawe umezidi kutumia vitanda vya zamani, kitanda kinaharibikaje sasa, huna demu...uko mwenyewe tu halafu unavunja kitanda" aliongea J.
"sio hivyo J mshkaji wangu, mbona bedi la majuzi tu sema si unajua mambao ya siku hizi ya kiboya"
"kwahiyo kimevunjika kabisa?"
"unauliza jibu J, noma mwanangu kimeniabisha jana, kimelia mzinga kabisa nikajikuta kidume nimekaa mkao wa mzee aliyepozi kwenye kiti cha uvivu....hivi ninavyokuambia godoro nimelilaza chini" aliongea Muba kwa kuonesha kuwa kweli alichokuwa akikiongea hapo hakikuwa kitu cha utani. J alimuangalia kisha akampa pole jamaa yake huku akiwa anacheka kiaina.
"daah! Pole sana mwanangu....fanya kunisaidia kuingiza hili sofa stoo kisha ndio uende" alisema J kisha wakasaidiana na kuliingiza Sofa hilo. Muba akaondoka zake. Alipofika Geto kwake, hakuwa na muda wa kupoteza kwani kwa muda huo tayari ilikuwa imetimu saa tatu na robo usiku. Aliingia ndani kimya kimya hakutaka kupiga kelele kabisa. Hakutaka kujulikana kama amefika hapo ndani mida hiyo, alijua muda wowote majirani zake wanaweza kuanza kazi na yeye ndiye alikuwa akitaka kusikia mambo yakiendelea ili kuweza kujifaidia mautamu ya kusikia masauti. Kweli hakuwa ameenda mbali na ratiba, alipozama tu hapo ndani, alisikia sauti ya kidume ikishusha kikohozi cha kiaina kisha minong'ono kuanza.
"vua basi mke wangu si unajua kuwa nimezidiwa"
"sitaki bwana, wewe si umesema mimi sikufurahishi kwenye mapenzi sasa unatakaje kufanya mapenzi na mtu asiyekuridhisha"
"kwaiyo kwa kuwa nimekuambia hunifurahishi, ndiyo hutaki kunipa?....japo hunifurahishi lakini naridhika...nipe bwana haki yangu kwanini mke wangu unapenda tuzozane au unataka jamaa arudi akute naomba haki yangu ya ndoa kama mtu na hawara yake wakati wewe ni mke wangu kabisa" ndivyo minong'ono hiyo ilivyokuwa inasikika ndani humo. Muba alikuwa ametulia kimya mithili ya mtu aliyewekewa silaha ya moto kichwani.
"si umpe sasa, mtu hadi alie ndiyo ujue anataka kitumbua? Mpe bwana niburudike" alisema kwa kukereka Muba utadhani kuna faida kubwa anapata.

ITAENDELEA




,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,


APPLE LIMEPEVUKA.

EPSODE YA XVIII

Nipe bwana haki yangu kwanini mke wangu unapenda tuzozane au unataka jamaa arudi akute naomba haki yangu ya ndoa kama mtu na hawara yake wakati wewe ni mke wangu kabisa" ndivyo minong'ono hiyo ilivyokuwa inasikika ndani humo. Muba alikuwa ametulia kimya mithili ya mtu aliyewekewa silaha ya moto kichwani.
"si umpe sasa, mtu hadi alie ndiyo ujue anataka kitumbua? Mpe bwana niburudike" alisema kwa kukereka Muba utadhani kuna faida kubwa anapata kwa mapenzi ya wanandoa hao.
ENJOY

Pia alijipongeza sana kwa kuweza kuudhibiti mlango wake kwa kuupaka grisi kwenye bawaba ili usiwe unapiga kelele wakati akiwa anaingia ndani humo.
"lakini mume wangu vitu vingine hunitendei haki" alilalama mwanamke kisha kimya kikatanda, mara kukuru kakara zikaanza.
"zima taa basi"
"hapana ngoja leo nikufaidi nikiwa nautazama mwili wako uniongezee munkari wa kupiga mambo...jamaa bado hajarudi na hata akirudi atajua mwenyewe sisi tuanafanya yetu" zilisikika sauti ndani ya chumba cha wanandoa hao. Muba alinyanyua mikono juu kumshukuru Mungu wake kwani kitendo cha hao jamaa kuacha taa iwake, kwake ilikuwa ni ushindi mkubwa sana.
"nilijua tu chumba hiki nacho kitakuja mpangaji na atakuwa kaolewa au kaoa au hata kama hajaoa lakini huwenda angekuwa ni mtu wa mademu" alisema Muba sauti aliyoisikia mwanyewe huku akisogeza kalenda iliyo usawa wa kitanda.Tundu lenye ukubwa wa jicho lake likaonekana. Akabonyea kidogo akapiga goti kisha kupeleka jicho pale kwenye tundu, mara alilitoa na kurusha mikono hewani.
"bao! Cheza na mwingine lakini siyo mimi Muba, kitu live bila chenga. Kama nipo kwenye kioo cha nchi ishirini na nne...kitu ng'aring'ari" alisema Muba kwa furaha kubwa. Akarudi pale kwenye tundu na kuendelea kuchungulia. Alitulia kimya Muba akipata uhondo wa chabo hilo aliloliunda kitaalamu kabisa.
"haa! cheki mtoto alivyo mweupe, chuchu bado zimesimama kabisa....kumbe hajazaa huyu demu. oooooo my god. Jamaa bwege kweli huyu....yaani hata kumtia vidole mtoto hawezi.....anaingiza.....ooooo jama....jamani aaaaaa!" alikuwa akiweweseka Muba kama yeye ndiye anayemla mtoto huyo. Boksa yake aliyovaa ilikuwa imetuna upande wa mbele, mkono ulikuwa umekita mbele akilichezea dudu lake kwa vidole vyake. Akaona hata ile boksa inamzingua, aliamua kuitoa na kuitupia pembeni. Wakati anarudi tena pale tunduni, akagusa gilasi moja ya bati ambayo alikuwa ameiweka juu ya jagi refu. Gilasi hiyo ikatetereka Muba aliirukia na kuiwahi kuidaka ili isifike sakafuni na kupiga kelele.Alifanikiwa kuidala na kuamua kuitupia kwenye godoro, hakujua pia kama gilasi hiyo ilikuwa na maji, maji yote yakalilowesha godoro bila hata kutilia maanani. Jicho likakita tena kwenye tundu la chabo. Aliporudisha jicho hapo, akakuta jamaa bado amemuweka mke wake mtindo uleule wa kifo cha Mende.
"huyu boya hata kumgeuza geuza mkewe hakuna yani ni vilevile" aliwaka Muba kama kalipia huo mchezo.
"lakini kwa pale amekaa vizuri....jamani mtoto anaonesha anakachori tamu.....jamaa anafaidi sana kitu hiyo inazama inatoka, inazama inatoka" alizidi kuongea Muba kwa sauti ya chini kabisa. Kama sauti yake ingekuwa inasikika, basi angeshabihiana na mtangazaji wa mpira wa miguu kwa jinsi alivyokuwa haachi hata sehemu moja impite. Alikuwa amesimamisha mbaya. Dudu lake lilikuwa limesimama kwelili kweli, hakuwa na dudu kubwa sana, alikuwa na dudu la kawaida tu ambalo likisimama ndiyo linatimiza inchi tano au sita. Mikono yake ilikuwa ikifanya kazi kwelikweli, ukitoka huu, unakuja huu. Ilimradi tu hakutaka kuiacha raha ile ipite bure. Mkono wake wa kulia ulikuwa unapekecha kichwa cha ndizi yake ya Juma mhuni, kichwa hicho kilikuwa kimebadilika rangi na kuwa cheusi bila shaka kwa kazi hiyo tu. Alikipekecha hadi ndizi yake ya Juma mhuni ikawa imetoa mishipa kabisa na ilikuwa ikiimuuma. Kule chumbani jamaa alifika mshindo akiwa hoi kabisa hakuwa na uwezo wa kuendelea na kazi tena na mwanamke naye hakujishughulisha kumuamsha mumewe kwa mchezo wa marudiano. Dada huyo aliamka kitandani na kuelekea upande ule ambao hata hakujua kulikuwa na tundu ambalo Muba anamla kozi.
"baki hapo hapo na mimi nipige bao kama ulivyo mpigisha bao mumeo....baki hapo hapo.....baki hapo hapo....usiondoke.....usiondoke" alikuwa akiimba Muba. Alishuhudia kitu kilichovimba kama vile vitumbua vya zamani, vitumbua vilivyokuwa vinachomwa na mabibi acha vitumbua hivi vya sasa hivi. Watu mwala vibambatanu mwasema vitumbua, vitumbua zamani bwana. Dada huyo alikuwa na tamu iliyoumuka huku ikiwa imejaa nywele, ukiweka na ule weupe ndiyo kabisa Muba alijikunja huku mkono wake ukiwa kwenye kichwa ya Juma mhuni wake akikisugua tena ili uone maaajabu, Muba alikuwa hajatia hata mate, ngoma ilikuwa kavu kabisa na alikuwa akiisugua kwa mzuka wa hali ya juu.
"hebu zima taa nilale" alisema mwanaume wa chumba hicho.
"was*ng* kweli hawa....sijui ni wa mkoa gani hawa maboya, watu hawajui hata kutiana nyege kwanza wao ni kupandiana tu....sijui hata niwafananishe na kiumbe gani maana hata kuku siku hizi wana nyodo kwenye mapenzi" aliwaka Muba kwa kukatiwa umeme ghafla, alitulia kidogo kisha akasema tena.
"wamenifanya hata kukojoa sijakojoa, ngoja nijimalizie na mavitu yangu.....nawasha taa sasa watajua wenyewe" aliposema hivyo, akaielekea taa akaiwasha kisha akaelekea mezani kwake akachukua mafuta ya nazi na kurudi nayo kwenye godoro. Aliyapaka kidogo kweye mapaja kisha akayapaka kwa Juma mhuni. Ninaposema aliyapaka kwenye mapaja, usije ukawa umenielewa tofauti, hapa namaanisha kuwa aliyapaka kwenye pembe zile za ndani kwenye vungu za mapaja kutokea kinenani, alipaka pande zote mbili. Mapaja yalikuwa yananyuritika kwa wese kukolea. Alipoona wese limekolea vizuri kote kote kuanzia mapajani hadi kwa Juma mhuni, aliyabana mapaja yake kisha akawa analiingiza dudu lake kwenye mapaja kwa kidole cha kati. Dudu likishaingia, anaongeza nguvu ya kubana mapaja, kutokana na lile wese na kitu kukolea mafuta na kutokana ilisimama kupitiliza, ilikuwa ikifyatuka kuja juu. Akawa anaendelea na huo mtindo taratibu. Joto lililokuwa linatoka mapajani na lile la kwenye kifaa chake cha kazi, lilimfanya aongeze kasi ya ule mchezo. Picha yote hapo ilikuwa ni ya yule mwanamke aliyekuwa akiliwa na mumewe. Hasa akikumbuka pale alipokuwa amesimama, Muba aliona kama anaingiza dudu lake pale kwenye ule mstari wa tamu ya dada yule. Macho aliyafumba kwa hisia kali mno. Aliongeza kasi maradufu huku akijitahidi asipige kelele. Joto lilipoongezeka, Muba alisimama kwa kasi na kulikamata dudu lake kwa mkono wa kulia uliojaa mafuta ya nazi na kusugua sasa kwa mkono maana hali ya kuja kwa wazungu ilishaanza kumnyemelea. Aliikunja sura yake nzito ili tu asiweze kupiga kelele, mara alisimama kwa vidole huku akiwa amebana makalio yake na kuachia vitu vizito vikimwagika sakafuni kwa awamu. Muba alikuwa ameimaliza hamu yake kwa kupiga puchu au wengi wenu mmeizoea kwa jina la Punyeto. Muba alijichua kwa chabo tu alilolipiga kutoka kwenye chumba cha jirani.

Siku iliyofuata ilikuwa ni siku ambayo J aliamka akiwa na mawazo juu ya kile ambacho wazazi wake walikuwa wakikihitaji, jambo ambalo aliliona gumu kwenye maisha yake ni kuoa lakini kwa upande wa pili akifikiria amri za wazazi wake, alikosa kabisa maamuzi ya kuamua. Alikuwa amejiinamia kitandani kwake akitafakari hayo, hakutaka kuwa muwazaji wa hivyo sana. Alikumbuka kuwa kwa siku hiyo rafiki yake Muba alikuwa na uhitaji wa kwenda kukarabatiwa kitanda chake hivyo alijinyanyua kutoka kitandani hapo na kuchukua vifaa vyake vinavyofaa kwa ajili ya kazi yake hiyo hasa vitakavyokuwa na umuhimu mkubwa kwa muda huo. Alitoka humo ndani kisha akaufunga mlango wake vizuri akatoka kuelekea mahali anapoishi kijana huyo. Hapakuwa mbali sana, kwa dakika chache tu akawa amefika anapoishi Muba. Bado ilikuwa ni asubuhi ipatayo kama saa mbili hivi, Muba alikuwa bado amelala muda huo ikabidi kijana huyo kugonga mlango. Muba alifungua na kutoka humo ndani akionekana bado usingizi ulikuwa umemgubika machoni.
"mmh! Mbona asubuhi sana J?" alisema Muba akiwa anasugua macho yake ikiwa ni hatua ya kuutoa usingizi.
"we boya kweli inamaana hujui jana uliniambia nini!?" aliongea na kuuliza kwa mshangao J.
"hapana nakumbuka lakini naona imekuwa ni asubuhi sana Kichaa wangu"
"nimeona nije mapema ili nikaendelee na lile Sofa nililoliacha jana si unajua mwenyewe alivyomtata"
"ni kweli....poa karibu ndani kamanda wangu" alikaribisha Muba huku akiwa wa kwanza kuingia ndani. Wakati J anaingia ndani mule, aliona tambara kuukuu likiwa limekaa karibu na godoro alilolilaza Muba ikiwa ni katika kujipatia usingizi baada ya kitanda chake kuwa kimevunjika. J alilitupia macho ya udadisi lile tambara kwa muda kidogo kisha akamgeukia rafiki yake.
"Muba utaaibika mshkaji wangu, inamaana bado mambo ya kuji.....!"
"J taratibu mshkaji wangu.....we unasema tu, hujaona wewe na laiti ungeona usingesema hayo maneno" alikatisha kwa mbele Muba na kuyafanya maneno ya J kuwa butu kwa mbele.
"sijui nini?" akatupa swali J. Muba akaonesha dole gumba upande ambao kulikuwa na ukuta uliokitenganisha chumba chake na cha pili.
"kuna nini?" J akauliza huku akiwa ameishusha sauti na kuifanya kuwa chini zaidi.
"chumba hicho kumekuja chombo kaka na ndicho kilichonisababishia haya yote....kifaa cha nguvu kaka ohooo....mtoto mweupeee, pe! Utadhani katokea kule kunako nani hii.....kule....!" alijikanyaga kanyaga Muba huku akijiona mjinga kwa kutoficha lile tambara ambalo alilitumia kufutia manii yake pale kwenye sakafu mara baada ya kujihudumia. J. fundi akamwambia pamoja na hayo lakini anatakiwa ajitambue kwani yeye ni mtu mkubwa tayari. Nani msifiwa? Yukoje?" yakawa ni maswali ya J kujiuliza akilini mwake.
"ni mweupe kuliko Batuli wangu?" akajiuliza tena. Alijiuliza kichwani mwake J. Kishapo akakitazama kitanda ambacho kilitakiwa kupata tiba. Kilikuwa kimeachia kwenye joint moja na inaonekana kiliachia kwa muda mrefu sema mmiliki wa kitanda hicho alikuwa hakifuatilii ndipo kikaamua kumpa taarifa bosi wake kuwa kimechoka kumbeba.
"inabidi tukitoe nje hiki kitanda nikipige faster" alisema J.
"hapana kaka hata kama kitachukua muda au kitashindikana leo, kesho tutakuja kukimalizia lakini siyo kukitoa nje...noma hiyo kaka" alipinga Muba wazo hilo. J akacheka na kuamua kukifanyia kazi mule mule ndani. Kilichukua muda mfupi sana hadi kukamilika.


,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,



EPSODE YA XIX

Kilikuwa kimeachia kwenye joint moja na inaonekana kiliachia kwa muda mrefu sema mmiliki wa kitanda hicho alikuwa hakifuatilii ndipo kikaamua kumpa taarifa bosi wake kuwa kimechoka kumbeba.
"inabidi tukitoe nje hiki kitanda nikipige faster" alisema J.
"Hapana kaka hata kama kitachukua muda au kitashindikana leo, kesho tutakuja kukimalizia lakini siyo kukitoa nje...noma hiyo kaka" alipinga Muba wazo hilo. J akacheka na kuamua kukifanyia kazi mule mule ndani. Kilichukua muda mfupi sana hadi kukamilika.

ENJOY.....
haikuwa ni kazi kubwa ya kupoteza muda mrefu kwa kijana makini kama J.fundi. Jina la J.fundi lilikuja maalumu kwa kazi hiyo, hayo mengine ni mbwembwe tu. Wakati J anataka kutoka ili kurudi kwake baada ya kumaliza kile kilichomfikisha pale, kuna ukelele ulisikika kutoka chumba cha jirani yake Muba na ukelele huo ulitolewa na mwanamke baada ya kunyimwa kile ambacho alikuwa akikihitaji kutoka kwa mumewe. Ukelele huo ukapelekea J na Muba watulie na kutega sikio huku J akitamani angekuwa peke yake ili akapige chabo kwenye dundu lake la kutengeneza.
"nikamwambie nani sasa kuwa nahitaji haki ya ndoa?" ilisikika sauti ya mwanamke ikihoji namna hiyo.
"hunipi furaha mke wangu ndiyo maana sijisikii kufanya mapenzi na wewe asubuhi hii, najua kuwa leo sina kazi nyingi sana huko maskani lakini sina mzuka wa kukuingilia mama kwaiyo we kaa mbali na mimi tu"
"sitaki na kama hutaki kunifanya humu ndani leo hutoki" aligoma huyo mwanamke, alionekana kuwa na hitaji kubwa sana la penzi kutoka kwa mumewe.
"nitakufumua, niache"
"sikuachii"
"ngoja nikuoneshe kazi" aliposema hivyo huyo mwanaume kikasikika kishindo cha puuh!, kisha yowe la uchungu kugubika mule ndani. Tena Puuh, puuh!, mara sauti ya puuh, ikapote ikaanza kusikika sauti ya unaniuwaaaa, unaniuwaaa. Sauti hiyo ilirindima hadi nayo ikatoweka Mkoromo ukafuatia.
"akifa huyo ujue shahidi wa kwanza ni wewe Muba" alisema J. Muba hakungoja neno jingine kutoka kwa J kwani alijua kweli akisemacho huyo bwana, kesi za kisheria aliziogopa ukoma unaafadhali. Muba alichoropoka mule ndani na kuvamia kwenye chumba cha jirani yake ambamo ndani kulikuwa kukiendelea purukushani hizo. J naye hakutaka kulaza damu ikabidi azame naye humo ndani. Walipoingia mule ndani, walimkuta yule mwanaume amemuangusha mkewe chini akiwa amemkalia kwa juu akijiandaa kumshushia kichapo. Mapaja yote ya mtoto huyo wa kike yalikuwa wazi, halafu ndani hakuwa amevaa kitu chochote hivyo upachuupachu wa mambo fulani ulikuwa kama ukitaka kuonekana hivi. Muba akaona hapo kuna mawili, kwanza ilikuwa ni kuokoa mtu asipigwe na pili ni kulipata joto la mtoto huyo wa kike akiwa katika harakati za kumtoa kwenye hicho kipondo.
"kaka hayo mambo yamepitwa na wakati bwana, hayana nafasi kabisa siku hizi" alisema Muba kwa hasira huku akimpushi yule bwana pale juu.
"kaka naomba usiniingilie, huu ni ugomvi wangu na mke wangu....kaa mbali kabisa kaka" alibwata huyo bwana. Hilo likawa kosa kwa Muba.
"wewe boya nini, hivi ukiuwa hapa ni nani atakayekubali kuingia kwenye ushahidi wa kipuuzi" aliwaka huku akimuongeza pushi jingine la nguvu. Jamaa akabinjukia upande mwingine akiwa anatweta. Muba alikuwa ameshamsomea ramani yule mtoto wa kike pale chini. Alitaka kumuwahi kabla mwanamke yule hajaamka ili kuhakikisha joto la yule mtoto halikosi. Alimvamia kabla hajaamka pale chini na kumkumbatia kwa nyuma kisha kumnyanyua. Mtoto alikubali kunyanyuka na kujilegeza mazima kwenye kifua cha Muba. Yule bwana alikuwa anataka kuja kwa kasi kubwa kumvamia Muba kwa makonde lakini hakufanikiwa baada ya kukutana na mikono yenye nguvu ya J. yule bwana akabaki kutweta kwa hasira juu ya mkewe. Muba alimvuta yule dada kwa nguvu nyingi na kumuweka vizuri kiunoni kwake. Muba alikuwa akilisikilizia joto kali alilokuwa akilipata kutoka kwa mtoto yule wa kike.
"acha hasira za namna hiyo babuu, wanaume hatuko hivyo" alijidai kuongea Muba lakini ukweli wa mambo, aliomba yule dada asitoke pale hata kidogo. Tayari dudu lake lilikuwa limedinda kisawa sawa na kuligusa kalio la dada huyo lililokuwa halijavalishwa chupi. Dada yule alikihisi kitu hicho cha moto kilichokuwa kimetuna, kutokana na yeye kuwa na nyege asubuhi hiyo, akajikuta akijibinua kidogo ili makalio yake yaguswe vizuri na ndizi ya Juma mhuni ya Muba. Muba aliona kama bahati ya mtende imemuangukia mlangoni kwake. J hilo alishalielewa, kitendo cha Muba kumkumbatia dada vile, alijua tu kuwa Muba anajitia stata ili akamalize kazi bafuni.
"nini kwani mnachogombania na mkeo kaka?" aliuliza J ili kutafuta jinsi ya kuumaliza ule mzozo. Yule bwana akasema kuwa amechoshwa na mambo ambayo mwanamke huyo anamfanyia. Bwana huyo hakuona aibu kabisa. Kumbe hata Muba hakukosea alipokuwa akijiuliza watu hao ni wa ajabu sana. Jamaa alitiririka kila kitu cha ndani kuhusu mkewe. Alisema kuwa mkewe huyo pamoja na uzuri alionao lakini kitandani ni gogo, kelele ya kelele alikuwa akizisikia kwa kuhadithiwa.
"yaani ni mvivu mvivu sijapata kuwa na mwanamke wa namna hii, hii ni mara ya kwanza" alisisitiza bwana huyo. Alisema mengi hadi kufikia kusema kuwa akimpa penzi ni kidogo na hata akitaka kurudia mwanamke anamuambia kuwa amechoka na hawezi kurudia. Zilikuwa ni lawama nyingi sana alizozishusha bwana huyo kwa mkewe bila kuweka staha ya aina yoyote ile. Ilikuwa ni aibu kubwa sana kwa dada huyo lakini cha ajabu ni kwamba aibu hizo huyo dada wala hakuziona. Akili yake ilikuwa ipo maili ya mbali kinoma. Dudu la Muba lililokuwa likimchomachoma kwenye mstari wa mkalio yake lilikuwa linazidi kumdatisha. Muba alikuwa akilengesha pale kwenye mstari huku macho yake yakiwa mbele kwa J na yule bwana wakiwa wanaeleweshana. Muba alikuwa amemvuta karibu kabisa na binti yule hakutaka kutoka pale kiunoni mwa Muba. Sura yake ilionesha hofu lakini moyoni aliburudika na mchomo wa Juma mhuni wa Muba. Alitamani hata kuinama ili dudu hilo lizame hata kama kuna khanga ambayo ingezuia.
"sikiliza kaka, kuna zaidi ya jambo ulilonieleza....labda nikuulize swali moja kabla sijaongea chochote" J aliendelea kuuliza baada ya fikra zake kugundua kuwa si mke si mume, wote walikuwa na makosa na wanahitaji ushauri zaidi.
"niulize tu kaka" aliruhusu swali bwaba huyo huku akiwa amemgeukia J kabisa bila kujua kitendo chao cha kutoa mgongo na kuto kuwaangalia wakina Muba ulikuwa ni mwanya mkubwa sana na wa bahati mno. Muba alijikunja kwa haraka na kumuweka vizuri kiunoni dada yule ambaye mwili wake ulikuwa tayari unajoto la kutisha. Muba akapeleka mikono kwenye titi za huyo dada na kuziminya huku akitoa sauti za shukurani utadhani kapewa nafasi ya kuingiza dudu kwenye chungu cha utamu.
"oooooooooh!" alikuwa akifoka kama Nyoka wa rangi nyeusi aliyevamia nyumba.
"hivi bado unampenda mkeo?" hilo ndilo lilikuwa swali la J kwenda kwa bwana huyo.
"ninampenda sana tena sana tatizo.......!" akakatishwa.
"hapana hilo jibu la kuwa bado unampenda linatosha. Nimeshajua tatizo ni nini na usiwaze kabisa kuhusu hilo kaka....tatizo lako linatibika tena bila hata uganga na utaifurahia ndoa yako, hutopenda kuwa mbali na mkeo hata nukta moja kwa jinsi atakavyokupa raha" alieleza J. fundi. Bwana yule akageuka kumtazama mkewe huku akisema.
"huyu mke wangu huyu....huyu Balakaisi huyu.....huyu huyu!?"
"ndiyo huyo huyo kaka" alijibu J. Lakini kitendo cha bwana yule kugeuka huku Muba alizuga kidogo kisha kuendele baada ya bwana huyo kugeukia kwenye maongezi. Muba hapo ndipo alipojikunja bila kupenda, bao lilokuwa linamjia kwa kasi kubwa tena ya kutisha sana. Bao ambalo lilikuwa linakuja kwa kupata joto halisi la kike, joto ambalo lilikuwa likimpa raha Muba na kujiona kama ndo anakula huo mzigo wa mtoto mweupe peee! Muba aliongeza kujikunja hadi akapiga bao. Nguo yake ya track kwa jinsi ilivyo kuwa nyepesi, ikasafirisha majimaji ya bao lake hadi kwenye kanga nyepesi ya yule dada. Khanga ikatota na kuyafanya hadi makalio ya dada huyo pia kutoteshwa na bao la lita kadhaa kutoka kwa mtu mwenye maji ya kuzidi.
"J. fundi si unamju au ulishawahi kumsikia?" aliuliza J huku akilitazama jicho la dada huyo aliyefahamika kwa jina la Balakais kama mumewe alivyomuita. Jicho lilikuwa nyanya kutokana na nyege ambazo alipewa na Muba. Weupe wa huyo mtoto, ukampa J mshawasha wa kumuhitaji hata yeye, akajua ni rahisi sana kumpata kama atamuhitaji.
"napajua pale....si kwa yule fundi masofa?"
"yaa, basi fundi huyo ni mimi na nitakuhitaji uje pale leo ukishamaliza mishemishe zako, nataka uishi kwa furaha kwenye ndoa yako kaka siyo kugombana kila siku" aliongea J. Yule bwana akaahidi kwenda akirudi tu kutoka kijiweni kwake. Walipomaliza huo mjadala, bwana huyo hakungoja, aliingia chumbani kwake moja kwa moja. Nafasi hiyo ndiyo iliyotumiwa na Muba kutoka humo ndani huku akimuachia huyo dada akiielekea kitandani na kujitupa. J alielekea pale kitandani kisha akamtupia yule dada kikaratasi chenye namba ya simu kisha akamwambia ni muhinu kwani anahitaji kuirudisha ndoa yao kwenye furaha au kuifanya kuwa mpya mazima. Balakais akakichukua kile kikaratasi akakifumbata kiganjani mwake na kutulia huku J akitoka mule ndani akiwa amefanikiwa kumvuta karibu mtoto white. Muba alikuwa na furaha kubwa ya aina yake, kitendo cha kupiga bao kwenye kalio la demu siyo mchezo.
"daah! J mwanangu sikufichi, mtoto mtamu kinoma" alisema Muba. J ilibidi amtazame tu rafiki yake kwa kumhurumia kisha akamwambia maneno kadhaa.
"jiangalie sana, najua wiki nzima utakuwa unajichua kwa picha ya huyo mwanamke, utakuja kuaibika Muba ndugu yangu, utakuja kupata mwanamke, ukojoe juu ya mapaja kabla ya kuingiza kama Jogoo halafu mzigo ugome kusimama useme umerogwa" kisha J akajiondokea.

Saa kumi za jioni juu ya alama, simu ya J ikaunguruma. Akaivuta kutokea kwenye meza maalumu ya kulandia, akatazama mpigaji kabla ya kuiweka sikioni.
"niambie mke wangu" alisema J.
"siyo niishie kuwa mkeo wa mdomoni tu, unioe kweli J" alideka msichana aliyepiga simu hiyo.
"hakuna mwingine wa kuwa na nafasi yako kwangu, wewe ni wa ukweli zaidi na nakupenda zaidi ya nikisema nakuhitaji" alizidi kuchombeza J.
"ok, tuachane na hilo, leo usiku ni mgeni wako.

ITAENDELEA.........





,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,



  1. EPSODE YA XX

    Saa kumi za jioni juu ya alama, simu ya J ikaunguruma. Akaivuta kutokea kwenye meza maalumu ya kulandia, akatazama mpigaji kabla ya kuiweka sikioni.
    "niambie mke wangu" alisema J.
    "siyo niishie kuwa mkeo wa mdomoni tu, unioe kweli J" alideka msichana aliyepiga simu hiyo.
    "hakuna mwingine wa kuwa na nafasi yako kwangu, wewe ni wa ukweli zaidi na nakupenda zaidi ya nikisema nakuhitaji" alizidi kuchombeza J.
    "ok, tuachane na hilo, leo usiku ni mgeni wako,
    ENJOY

    nikitoka hapa hospitali napitia hapo nataka nilale na wewe hadi asubuhi mume wangu nimekuzunguusha kwa muda mrefu. Sasa nataka uje unifaidi usiku kucha"
    "ooooh! Siamini ujue"
    "amini tu mpenzi si unajua wewe ndiyo ua la pekee ulioota kwenye moyo wangu" alisema huyo dada kisha simu ikakatwa kuashiria kuwa makubaliano yamepita. J alirusha mikono hewani, hakuamini kama Batuli mtu aliyekuwa akimpa ahadi za uwongo na muda mwingine kumzunguusha eti, usiku ndiyo anakuja kuukalia. Alikuwa kichaa kwa muda mfupi sana. Mawazo kuwa alitakiwa kuoa pia yalipeperuka lakini wakati akiwa na furaha, kuna ugeni uliingia mahala hapo kimyakimya.
    "ahaa, karibu sana kaka, nilikuwa nakusubiri wewe tu tuanze mazungumzo" alikaribisha J. fundi. Yule bwana akakaribia pale na kuchukua nafasi.
    "nimesha karibia bwana. Kwa jina mimi ni Said maana hukuwa ukilijua jina langu kaka" alijibu ukaribisho huyo bwana aliyejitambulisha mahali hapo.
    "ndiyo bwana Said" alianza maongezi J.
    "mapenzi ni ya ajabu sana ndugu yangu na hadi hivi sasa mimi na wewe tunaongea, hakuna mtaalamu wa mapenzi aliyekuja na mbinu mpya ya kuyamudu mapenzi. Unaweza kujiona kama kituko tu kwenye dunia hii kama hujampata mtu mwenye kuithamini hali yako ya kimapenzi. Sijui kama utakuwa umenielewa?" aliweka alama ya kuuliza J, ili kuona kama ameeleweka. Saidi akatikisa kichwa kukataa kuwa hakumuelewa hata kidogo japo amemsikia. J hakutaka kurudia na hii ni taratibu yake, si mtu wa kurudia mara nyingi, alichokifanya ni kutumia njia rahisi yenye kueleweka vizuri zaidi.
    "naomba nikuulize maswali mawili kabla sijaendelea. Moja litajitegemea ila la pili litalitegemea la kwanza" alisema kisha kumtazama bwana huyo usoni. Saidi alikuwa yupo tayari kuyapokea maswali hayo bila shida.
    "naomba usinielewe vibaya, kazi ninayoifanya hapa ni kuingia ndani kabisa, sifanyi kazi ya kugusa juu juu kama wafanyavyo wanasihi wengine.....ah!, ah!,.....mimi siyo mnasihi lakini ninalengo pia la kuiweka ndoa yenu katika usalama hivyo usinielewe vibaya kwa kukuuliza maswali ya ndani"
    "usijali kaka wewe kuwa huru kuuliza chochote kile ninachotaka kujua mimi ni wapi nakosea labda" J akapewa rungu, akaamua kuingia moja kwa moja kwenye maswali yake.
    "hivi unapotaka kufanya mapenzi na mkeo, namaanisha unapotaka kupata haki ya ndoa kwa mkeo, ni kitu gani unamuonesha mkeo au unamuambia ambayo ni kama ishara ya kumtaka unyumba?" akatulia hapo kwa hilo swali la kwanza, hakutaka kumpa maswali yote mawili kwa wakati mmoja. Said akasema kuwa hakuna ishara anayoionesha kwa mkewe au kitu kingine anachokifanya zaidi ya kumwambia kwa amri kuwa anahitaji kufanya mapenzi.
    "kosa" akasema J huku akiunganisha na swali la pili papo hapo.
    "kuna maanadalizi yoyoye unayoyafanya ili kumuweka tayari kimwili mkeo?" hapa Said alitikisa kichwa kukataa kisha akasema kuwa kikubwa anapokuwa anahitaji penzi la mkewe au mtu yeyote yule asiye hata mkewe, ni kuhakikisha bakora yake imesimama, basi hapo yeye ni kulenga tundu na siyo kitu kingine.
    "hili pia kosa Said......unachokifanya wewe ni mapenzi ya karne ya kumi na nane kumi na tisa, mapenzi yaliyokwisha kupitwa na wakati. Mapenzi ya leo Said yanamambo mengi, mapenzi ya leo yanahitaji mbwembwe na maandalizi. Usitake mapenzi ya kifalme Saidi ya kulala na mkeo hadi ukiwa na hitaji la kumuingilia kimwili. Kitu cha kwanza unachotakiwa kukifanya kabla ya yote, ni kumuandaa mkeo/mwenzi wako kiakili. Nasema hivi kwa sababu gani?" akatulia kidogo J kama anayengoja jibu kutoka kwa Said. Haikuwa hivyo, akarudi pale alipoishia na kuendelea.
    "nasema hivi kwa sababu maalumu na ya msingi kabisa. Ni vema umuandae mwenzi wako kiakili kwanza. Muoneshe mkeo kuwa sasa uko katika kumuhitaji hata kama hutamuambia kwa lugha zoelefu. Unaweza ukajenga mazoea ya kuwa nyumbani tu siku hiyo au unaweza kuwa mchokozi tu kwake kwa muda huo ambao unamhitaji, liwe ni jambo tofauti lakini lenye kumjengea picha kuwa kwa muda huo, mpenzi wake anamuhitaji. Msifie sana, mwambie mzuri, ukimtazama kila wakati unatamani uwe naye tu kitandani, unatamani hata usiende kazini na ulale naye tu ukila mambo. Penda kuushikashika mwili wake, hata kama kumpigapiga makalio yake au kumkumbatia na kuyaminyaminya matiti yake kwa chati kidogo kisha unamuachia, mwambie unapenda kuyapata mate yake. Mwambie macho yake ndiyo yanayokuuwa kila akutazamapo hasa anapokuwa ameyalegeza hapo ndipo unapokuwa huna hali. Mwambie unapenda zaidi akiwa kwenye kanga moja tu bila chupi ndani, yani unapenda tu kuyaona makalio yake yanavyopambana na kanga hiyo nyepesi. Mwambie tu." akakomea hapo kisha akatulia tena kwa muda kabla ya kumuuliza swali la msingi sana ili kujua kama mpaka hapo wako pamoja.
    "ulishawahi kumfanyia hata moja kati ya haya ninayokuambia hasa pale unapokuwa unataka kufanya tendo la ndoa na mkeo?" Said alijibu kuwa utaratibu huo kwenye maisha yake huwa haupo kabisa. J akamwambia sasa huo ndiyo muda wa kuyatumia hayo maneno ili tu kumuweka mkeo katika akili ya kukutamani au kutamani tendo.

    Ndugu msomaji, mapenzi yanamambo sana na hapa ndipo unapokubaliana na maneno ya kuwa mapenzi ni utoto au maneno ya msanii wa kizazi kipya anayekwenda kwa jina la Darasa, kuwa mapenzi uchizi na kile unachokidharau wewe mwenzako kinamnyima usingizi. Mapenzi yanahitaji vitu vidogovidogo lakini vyenye mantiki kubwa sana. Wanawake ni kama watoto kwenu enyi wanaume na enyi wanawake, wanaume ni kama watoto kwenu pia. Msisite kuwafanyia michezo ya kitoto pale mnapohitajiana. Mnaweza hata kukimbizana ndani ya nyumba yenu kama bado hamjawa na familia kubwa kama mnayo basi mwaweza kufukuzana ndani tu ikiwa ni katika michezo na mwisho wa siku mkutane kwenye mpango wa kupeana haki ya kuitana wapenzi. Usiwe mbabe kwa mwenza wako eti, tu kwa sababu ni mtoto wa kike, hapo utakuwa hupati ladha ya ndoa au penzi tamu la mwenza wako kwa sababu atakuwa hayupo nawe kiakili bali atakuwa anakupa kwa sababu umemlazimisha na yeye ni mwanamke au mkeo, afanye nini sasa.

    "ukishakuwa tayari katika harakati za kumuandaa mwenzi wako kiakili na tayari yuko kifuani kwako ama pembeni yako kwa mahitaji zaidi. Hapo ndipo unapoingia kwenye upande wa pili wa sarafu, hapa ndipo unakuja ule muda wa kumuandaa kimwili yaani hapa namaanisha kumuweka mkeo katika hali ya kuwa sasa anahitaji kuingiliwa nawe. Uandae mwili wake uwe tayari kukupokea kwa ajili ya kuustarehesha na kukustarehesha pia. Tumia viungo vya mwili wako kuhakikisha mwenzi wako anakuwa hana ujanja tena kwako. Tumia mikono yako kuhakikisha mwili wake unaongea nawe kihisia, ondoa nguo zako za juu kabisa ukipenda kisha msogelee mkeo eidha kitandani ama popote pale, anza kuitoa nguo yake ya juu kama utapenda kufanya hivyo. Usisubiri mkeo avue nguo mwenyewe, kumvua nguo wewe kunafaida kubwa sana moja kuu ikiwa ni kuwa karibu zaidi kinwili na inapelekea wewe kuwa na mzuka mwingi kila unapoyaona maungo yake kwa wakati huo. Ukisha kuitoa nguo yake ya juu, anza kumpapasa mwili wake, usipende hisia zikuendeshe kwani kama hisia zitakuongoza na siyo wewe kuziongoza hisia hakika utashindwa kufanya haya. Utumie mwili wake vile utakavyo ili tu uhakikishe umemroga mazima. Fanya kila kitu kwa utaratibu mkubwa tembea na viungo vyako kwenye mwili wake, shika kila panapotakiwa kushikwa ikiwezekana tumia hata vidole vyako kumtekenya kwenye tamu yake. Kama unaweza pia, tumia ulimi wako kumtia nyege kwa kunyonya chuchu zake, kulamba kitovu chake na kama unauwezo zaidi nyonya hadi chini huko chumvini, hapo lazima mkeo alie hata kama hajawahi kulia kwenye mapenzi abadani. Ukishaona sasa mwili wake uko tayari kwa kuingiliwa, unaweza sasa kumuingilia na kufaidi tunda tamu la mkeo. Kwenye kumuingilia pia usingoje mkeo akatike kaka, wewe ndiyo usukani kwenye tendo hilo, hivyo wewe ndiyo unatakiwa umsugue tena umsugue kwelikweli, usilalamike kuwa eti, kiuno cha mkeo kigumu mara ooh mke wangu hakatiki. Wewe nenda kamsugue ukishamfanyia kila kitu nilichokuelekeza hapo juu, utakuja kuniambia kitakachotokea" alimaliza J kwa kukomea hapo, Said akashukuru sana na kuahidi kuwa ni lazima atafanya kila alilomuelekeza mahali hapo na atakuja kumpa majibu kwa itakavyokuwa. Akaondoka zake. J. fundi akajua kwa hapo kidogo atakuwa ametengeneza kimtindo, mkewe atakapokuja ndipo atamuambia umuhimu wa kutumia kiuno chake awapo kwenye uwanja wa fundi seremala. Alitabasamu kidogo kisha kutazama muda kwenye simu yake. Daaah! Muda ulikuwa umekimbia sana, aliamka na kujiuliza kuhusu mteja wa lile sofa kwanini anachelewa kuja kulichukua wakati amekwisha kulimaliza tayari lakini wakati anawaza hayo, jamaa huyo alifika hapo na kumwambia kuwa kwa muda huo amechelewa sana na usafiri wa kulibebea hana hivyo anaomba libaki hapo hadi kesho asubuhi. J akamuomba wasaidiane kuliingiza ndani. Walipomaliza, alifanya usafi wa hapa na pale na kutulia kumsubiria Batuli. Muda wa kusubiri haukuwa mrefu sana, msubiriwa akawa ameshawasili mahali hapo. J akamkaribisha ndani mgeni wake
    "karibu sana mke wangu?" alikaribisha namna hiyo J.
    "nimeshakaribia mume wangu, niambie lakini, mambo yanasemaje?" alijibu ukaribisho huo Batuli kisha kuendelea na salamu. J akajibu kuwa hapo ni buheri kabisa. Yakafuatia maongezi mengine ya kunogesha muda kisha wote wakaelekea jikoni kuandaa chakula cha usiku. Kilikuwa ni chakula chepesi hivyo hakikuchukua muda mrefu kuwa tayari wakala na walipomaliza. Batuli akasema kuwa anakwenda kuoga, J akamchokoza na kumwambia kuwa anaonaje kama watakwenda kuoga wote, Batuli akaona aibu kidogo na kushindwa kulijibu hilo swali lakini ishara zilionesha kuwa yupo tayari kama akipenda kufanya hivyo. J akajifanya kuvunga kwanza kidogo kisha akasema moyoni mwake,
    "wacha atangulie kwanza afanye yote ya awali kisha namvamia huko huko. Alitulia hapo hadi muda ambao alipanga kufanya hilo shtukizi. Alichukua taolo jingine kisha kuvua nguo zake zote, akajifunga taulo hilo na kuelekea bafuni ghafla bin vuu. Kitendo kile cha kuvamia bafuni kilimshtua sana Batuli, alikuwa hana nguo yoyote mwilini mwake.

    ITAENDELEA





  2. The Gold

    The GoldJF-Expert Member

    #42
    Jul 20, 2017
    Joined: Jul 13, 2017
    Messages: 437
     
    Likes Received: 2,472
     
    Trophy Points: 180
    APPLE LIMEPEVUKA

    EPSODE YA XXI

    J akajifanya kuvunga kwanza kidogo kisha akasema moyoni mwake,
    "wacha atangulie kwanza afanye yote ya awali kisha namvamia huko huko. Alitulia hapo hadi muda ambao alipanga kufanya hilo shtukizi. Alichukua taolo jingine kisha kuvua nguo zake zote, akajifunga taulo hilo na kuelekea bafuni ghafla bin vuu. Kitendo kile cha kuvamia bafuni kilimshtua sana Batuli, alikuwa hana nguo yoyote mwilini mwake......
    ENJOY

    na alikuwa tayari ameshajimwagia kopo moja la maji mwilini mwake, mwili ulikuwa ukinyurutika si kawaida. Batuli alihangaika kuhakikisha anajiziba mwili wake lakini hakujua azibe wapi kwa wakati huo maana akiziba mbele, nyuma na kifua kilichobeba matiti safi ya kuvutia vilikuwa wazi. Akataka kusema kitu lakini akajikuta anabaki kuachama mdomo tu baada ya kumuona mvamizi wa bafu hilo akiwa analitoa taulo lake na kulitundika kwenye msumari. J akabaki kama alivyokuja duniani, alifanana na batuli. Batuli akakosa kitu cha kuongea ikabidi hata yeye aitoe mikono iliyokuwa imeziba mbele kwenye kitumbua chake cha utamu na kumgeukia kabisa J tayari kumpokea. J akajisogeza zaidi hadi akamkumbati kwa nguvu huku akimnong'oneza masikioni.
    " mpenzi unakifua kitamu kweli"
    "asante J hata wewe mpenzi unakifua cha kulala mpenzi wako nikiwa na usingizi, halafu sijaamini kama J utakuwa na dudu zuri kiasi hicho" alinong'ona Batuli huku akizidi kumkumbatia J kwa nguvu nyingi pamoja na kukisugua kitumbua chake kwenye muhogo wa J. Msifie mpenzi wako bwana ndiyo raha ya mapenzi, usichelewe mpaka asifiwe na wenzako.
    "mbona dudu langu la kawaida sana, nyie wanawake mnapendaga madudu marefu na yaliyo manene, sasa la kwangu mimi fupi lakini nene"
    "J mpenzi mimi kiukweli kabisa kwako nitainjoi mara dufu kwanza dudu fupi ndio huwa linanipa raha kuliko, madudu marefu,......aka, siyataki kwanza kina changu kifupi"
    "mmm! kweli mpenzi?"
    "kweli niamini mpenzi wangu halafu la kwako nene hadi raha. oooo yaaaa, linanipa moto mpenzi, dudu lako lina moto sana mpenzi" alilalama Batuli J akazidi kulisugua dudu hilo kwenye tamu ya Batuli.
    "naomba nioge kwanza mpenzi kisha tufanye" aliomba Batuli.
    "no, mpenzi ngoja nipate kimoja cha mkwezi kwanza kisha uoge" alibembeleza J.
    "ok, sawa nimekuelewa basi subiri kidogo" alisema Batuli kisha akachukua maji na sabuni na kuanza kujiosha kwa utaratibu mzuri. Alikuwa yupo kazini muda mrefu hivyo jasho na nini, hakutaka J amuingilie hivyohivyo na alijua kuwa kijana huyo hatotaka kumuingilia kienyeji tu. Wakati huo J alikuwa amesimama akiwa amelishika dudu lake huku akilisugua kidogo kama anayelichua kiaina. Kifaa kilikuwa kiko hewani si utani. Batuli alijiosha kisha akajifuta vizuri na kusimama hapo akiwa mkavu kabisa.
    "karibu sasa mpenzi nipo tayari kwa chochote kile" alisema Batuli. J akamkumbatia na kuanza kumnyonya, walipeana ladha ya mate kwanza kwa muda huku wakipapasana hadi pale walipotosheka ndipo wakahamia sehemu nyingine ya maandalizi hayo hayo.
    "mpenzi tutafanya mengi tukifika kitandani, hebu ingiza dudu ndani kwanza linipe utamu, sijasuguliwa ninamiaka kibao nahisi tangu nitoke chuoni sijafanya mapenzi" alilalama Batuli kisha akainama kidogo kwa nyuma. J akayatazama makalio mazuri ya Batuli yasiyo makubwa wala madogo yenye saizi ya kati lakini yanaleta utamu wa aina yake ukiyatazama. J akapitisha mkono kwenye mstari wa mkalio akapeleka kidole kwenye kitumbua cha Batuli na kuingiza kidole cha kati kwenye kisima hicho cha utamu. Batuli akawa anagugumia kwa mautamu ya dole hilo la J lililokuwa linazama ndani. J alilitikisa kidogo dole hilo na kukisugua kidogo kinanihii chake, batuli alikuwa akiomba tu J amle kwani alikuwa yupo kwenye hali mbaya sana ya uhitaji wa kifaa hicho cha utamu kiingiea tunduni mwake. J akaweka ulainisho wa asili kwenye kichwa ya kazi na kuanza kusugua juu juu na kukisugua kinanihii kwa ile kichwa.
    "nipe mpenzi, nipe baba, nipe raha" alikuwa akilalama hivyo Batuli. J akauzamisha wote ndani hapo ndipo alipojua kuwa kwa Batuli hakukosea njia, kile kitendo cha J kuizamisha nanihino ndani, Batuli alivurumisha mauno ya nyumanyuma kwa kasi ya hatari. J akajikuta akiachama kwa utamu huo wa ghafla. Batuli alikuwa akikata kwa utaalamu mkubwa na wa aina yake sana. J alijikuta akiwa ni mtu wa kujitega tu huku Batuli akiwa mshugulikaji wa kazi hiyo. Walienda hivyo kisha mtoto huyo wa kike akachomoa na kugeuka kwa mbele. Akampa mguu mmoja na J akaudaka kisha akamvutia karibu akaingiza tena kimiani. Hapo ndiyo J alikuwa akikata shauri na kujua mwindani amepata kitoweo kitakachomfanya aache kabisa kuwinda kwa muda mrefu sana. J alikuwa akipiga kelele kama mtoto wa kike. Alipiga kelele kwa mahaba makubwa kabisa lakini zisizovuka mipaka, hadi anafika mshindo.
    "J naomba usiniache mpenzi, naomba unioe, nimeonja kidogo tu lakini utamu wako siyo mchezo.....tuoge mpenzi tuhamie kitandani" alisema Batuli.
    "siwezi kuacha huu utamu wako unipite Batuli, nitakuoa ili nizidi kupata vitu vyenye akili zaidi" alijibu J. Wakahamia kwenye maji kisha kurudi kitandani wakiwa na mzuka mpya kabisa wa kukesha.

    Saa kumi na mbili asubuhi, J na Batuli ndiyo walikuwa wanaamka kutokana na shughuli pevu ya usiku kucha.
    "za asubuhi baby?" alisalimia Batuli mara baada ya kufumbua macho.
    "ahaa, umeamka mpenzi?.....za asubuhi ni nzuri tu baby sijui wewe my queen"
    "mimi nimeamka poa tu, kilichozidi ni uchovu wa kazi ya usiku....ulitaka kuniuwa J, haaa! We mwanaume ni shida....ila nimefarijika sana maana nimemaliza hovu yangu yote ya kufanya mapenzi"
    "pole sana mke wangu hata wewe jana ulinimudu maana kuna muda nilikuwa najiona kama nafeli hivi" alisema J, wote wakaangua kicheko cha haja sana lakini ghafla kicheko chao kikakatishwa na simu ya J. J akaishika simu yake na kuangalia mpigaji.
    "haaa! Saa hizi jamani.....si asubuhi hii jamani!" aliongea J kwa taharuki kidogo.
    "nini tena honey?" aliuliza Batuli akiwa anamtazama mpenzi wake aliyeshtushwa na simu hiyo.
    "baba huyu....sasa asubuhi hii....hebu....eeeenh, ni baba kweli anapiga" alijikuta akiwa muoga wa kupokea simu hiyo. Batuli akamwambia kuwa mbona ni kawaida tu, baba amemmisi kijana wake hivyo anahitaji kumsabahi hofu ya nini sasa. J akamtazama mrembo huyo kwa chati sana kisha.
    "basi ataona raha akisikia kuwa baba anataka nioe halafu muolewaji ni yeye....cheki kijisura chake kilivyo kizuri, si atafurahi huyu hadi anipe cha asubuhi" alijisemea moyoni.
    "baby mpokelee baba basi jamanii" alisema Batuli na J alipotaka kuipokea simu hiyo, simu ilikuwa imeita vya kutosha hivyo ilichoka ikakatika. Muda si muda simu hiyo ikaita tena. J akaipokea.
    "shikamoo baba?" alisalimia J.
    "marahaba au ndiyo hutaki tukupigie maana unajua tutakusumbua kuhusu suala la ndoa?" ilisikika sauti hiyo bila chenga, J akamuangalia Batuli, Batuli naye akakenua tabasamu huku akimuangalia J kwa macho ya kumtaka ajibu simu hiyo.
    "hapana baba, nilikuwa mbali na simu kidogo"
    "sawa hakuna shida kidume changu, haya tuambie ulipofikia, umeshampata huyo mchumba?"
    "niseme tu nashukuru Mungu baba....." akanyamaza kidogo J, akameza mate kisha akaendelea.
    "nimepata mchumba baba na ananipenda nami nampenda pia na sitaki suala hili lichukue muda mrefu maana sitaki muniwazie tena mimi kuhusu ndoa. Fanyeni kila kinachotakiwa sasa kazi kwenu" alijibu kwa ufasaha kabisa J kisha akashusha pumzi nyingi akamgeukia Batuli ambaye alikuwa akijiweka vizuri kitandani. Simu ilikuwa bado haija katika J akaamua kuiweka mtindo wa sauti ya nje. Furaha za wazazi wake zote walikuwa wakizikia. walisikia Sauti ya mzee huyo ikimuita mkewe na kumwambia kuwa dume lake la mbegu limefanikisha. J na Batuli ilibidi wacheke tu kwa furaha hiyo kisha akaamua kuikata simu hiyo.
    "dume la mbegu nakuona na nimepata kweli kidume. Nakuja tena mpenzi kifuani kwako nikuage" alisema kwa mahaba mazito batuli kisha kupanda kifuani mwa J na kuanza kumgusa kifuani na chuchu zake.

    ******
    ******
    Siku hazisukumwi kwa kiongozo chochote bali zinajisongesha zenyewe kwa amri za Muumba wake. Siku hazigandi, siku ile ikaisha kwa namna hiyo. Siku ya pili ikaingia kwa kasi kubwa nayo ikapita ikaisha. ikaja nyingine, nyingine na nyingine hatimaye wiki ikakita. J. fundi aliendelea na ufundi wake kama kawaida ikiwa ni moja ya sehemu yake ya kulijenga taifa. Siku hii hakuwa akifanya kazi kwa weledi sana. Alikuwa ni mtu wa kujiuliza sana, inamaana lile somo lake la siku moja tu kwa Said ndiyo limekwenda kuijenga ndoa hiyo? Hakutaka kuamini sana hivyo alichokifanya ni kusubiri tu japo hakupigiwa simu hata siku moja na ikiwa namba ya simu aliacha. Hakujali sana kama alichokifanya kimezaa matunda basi ni jambo zuri japo lengo lake la kumfundisha Balakais kwa videndo halikutimia.

    Muda ukaenda lakini mara simu ikaita, akaipokea, ilikuwa ni namba mpya kabisa hivyo hakutaka kuongea kwanza, aliitega sauti hiyo kwanza.
    "hallo?" ilikuwa ni sauti moja nyemnamba sana.
    "hallo!" naye akajibu kwa mtindo huo huo kwa kutega zaidi.
    "naongea na J. fundi?" aliuliza huyo dada.
    "ndiyo, ni mwenyewe nani mwenzangu?" alijibu na kuuliza tena J.
    "Balakais" alijibu dada huyo, J alitamani kuruka hewani kwani alichokuwa akikiwaza ndicho kimejileta kwa wakati huo. J alikuwa anataka kuoa lakini ukora ulikuwa ni ugonjwa mkubwa sana kwenye maisha yake.
    "ni muda sasa tangu nikupe ile namba, vipi nilijua labda somo nililompa mumeo limejenga sana hadi ukawa kimya?" alisema J.
    "oooh!, hapana nilikuwa nasubiri mume wangu asafiri ili nipate muda wa kufanya hilo.
    ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

EPSODE YA XXII

"Ndiyo, ni mwenyewe nani mwenzangu?" alijibu na kuuliza tena J.
"Balakais" alijibu dada huyo, J alitamani kuruka hewani kwani alichokuwa akikiwaza ndicho kimejileta kwa wakati huo. J alikuwa anataka kuoa lakini ukora ulikuwa ni ugonjwa mkubwa sana kwenye maisha yake.
"ni muda sasa tangu nikupe ile namba, vipi nilijua labda somo nililompa mumeo limejenga sana hadi ukawa kimya?" alisema J.
"oooh!, hapana nilikuwa nasubiri mume wangu asafiri ili nipate muda wa kufanya...
ENJOY...

hilo somo kwa utulivu zaidi lakini nisiwe muongo J, Mume wangu amebadilika sana hadi naanza kuifurahia ndoa yangu sasa hongera sana kwa hilo" aliongea Balakais kwa urefu kidogo. J akaona hapo ndipo pa kuchomekea ili ammalize kabisa na yeye pia amle. Alijua ni lazima angekubali tu kupata somo hilo.
"uanatakiwa na wewe upate sehemu ya mafunzo yako ili mukichanganya mutengeneze kitu kizuri kwenye maisha yenu" alichomekea J. Balakais hakuwa mkaidi, alikubali na kumuuliza ni vema kama akienda nyumbani kwake kwa ajili ya mafunzo hayo, alimuomba sana lakini. J akasema hiyo haina shida muda mfupi tu atakuwa amefika.

Hakuchukua muda mwingi kweli hadi kufika huko ambako alitakiwa kwenda, alikaribishwa ndani kisha mlango ukafungwa mara baada ya Balakais kugundua kuwa hakuna kiumbe aliyeona lile tukio. Alifika ndani kisha naye kuchukua nafasi ya kukaa ikiwa ni karibu kabisa na kijana huyo. Salamu za hapa na pale zikachukua hatua hadi pale walipoingiza mada husika iliyowafanya kukutania mahali hapo.
"nadhani sasa tunaweza kuingia kwenye mada yetu ya msingi Balakais" alisema J. Balakais akamwambia kuwa yupo tayari hivyo anaweza kuanza tu bila shida. J akaanza kwa maswali kama kawaida.
"kabla sijaanza chochote, naomba nikuulize maswali mawili kama siyo matatu" alisema J kisha akaunganisha kauli yake baada ya kuwa ameeleweka kwa ufasaha zaidi.
"hivi unakitu unakifanya au ishara yoyote ambayo unamuonesha mumeo pale unapokuwa unamuhitaji kimapenzi?" aliuliza namna hiyo J.
"hapana, hilo jambo huwa halijawahi kutokea, namaanisha sijawahi kulifanya abadani kwenye maisha yangu. Tukifanya mapenzi basi ujue yeye ndiye anahitaji...mimi si mtu wa kutoa maamuzi kwake bali huwa napokea amri kutoka kwake" alijibu kwa ufasaha kabisa Balakais. J akajua kumbe ndoa hiyo ilikuwa inaendeshwa kimila sana, ndiyo kimila, haiwezekani muwe mnafanya mapenzi halafu ni mmoja tu kati yenu ndiye anakuwa na sauti yenye mamlaka ya kuamua au kuomba penzi, inamaana hata anapokuwa hajaridhika, hawezi kusema kuwa hajaridhika labda kama mwanaume akiwa anahitaji kuendelea na mchezo huo.
"kwa mfano ukimwambia kuwa unahitaji kufanya naye mapenzi anasemaje?" alizidi kuuliza J. Balakais akasema hapo unaweza kuzuka ugomvi mkubwa kama ule ambao mmekuja kuuamulia asubuhi ya siku ile. J akatulia sana, alikuwa akitafakari mengi sana kwa muda huo, tafakari hiyo ndiyo iliyopelekea kuamua nini cha kufanya kwa wakati huo. Alimtazama binti huyo mrembo kisha akamwambia.
"leo nataka nikufundishe mbinu za kumuingiza mpenzi wako kwenye mtego wa kufanya mapenzi bila ya kumuomba au kumbembeleza. Mbinu hiyo itamfanya mumeo atamani kuwa karibu na wewe zaidi" alisema J kisha akaanza kazi hiyo kwa mtindo ule ule wa kutumia maswali.
"ni kitu gani huwa unamfanyia mumeo pale mnapoanza kufanya mapenzi?"
"hakuna kitu cha zaidi kaka yangu zaidi ya kumpanulia mapaja na yeye kuniingilia basi labda hizi siku mbili baada ya kutoka kwako ndiyo nilianza kuona mabadiliko japo si sana lakini nilikuwa nahisi raha. Nilitamani sana kukutana na wewe pindi mume wangu akisafiri ili na mimi niweze kupata mafunzo ya kunogesha zaidi" alisema Balakais. J akashusha pumzi nyingi na kujiweka vizuri pale kwenye kochi kisha akasema.
"usijali Balakais, hapa umefika na nakuhakikishia kuwa nitakupa au nitakufundisha ujuzi wote ambao naujua" alisema kisha akaendelea na somo hilo.
"kuna vitu vingi huwa tunavifanya katika mapenzi, tunajiona tuko sahihi sana wakati wa kufanya kile tunachokifanya na wapenzi wetu. Wengi hawapendi kujifunza ili kuingiza vitu vipya. Ni vizuri sana kujifunza Balakais katika mapenzi, kubali kuelekezwa pale mpenzi wako anapoamua kukuelekeza. Pale anapokuambia fanya hivi, fanya tu na jisikie faraja kwa kuelekezwa bora tu kile kinachofundishwa kiwe hakina madhara kwako. Penda kuingiza kitu kipya kila wakati unapokuwa katika mapenzi, usipende mpenzi wako akuzoee kwa aina moja ya penzi au mapenzi kila siku, kuwa mpya kila unapokutana na mpenzi wako. Nakuhakikishia Balakais, endapo utabadili utaratibu na kuamua kuwa mtu wa kupenda kujifunza na kubadilika na si kubadilika tu bali hata kumbadilisha mumeo, ndoa yenu itakuwa imara na yenye furaha kila wakati" aliweka kituo J baada ya kuongea kwa muda mrefu kidogo. Balakais akajisogeza karibu zaidi ya kijana huyo na kuuliza.
"ni kweli J napenda kubadilika kaka yangu lakini ni nani wa kunibadilisha, naamini kabisa kama kweli mimi nitabadilika, basi hata mume wangu atabadilika kwa jinsi ambavyo nitajua jinsi ya kufanya"
"kwanza kabisa hakikisha kabla ya kufanya yote hayo. Kuna kitu cha kufanya ili mumeo ajihisi uhitaji wa kuwa na wewe kila akuonapo. Kwanza kikubwa ni usafi Balakais, usafi ni kitu cha msingi sana kuliko kitu kingine. Unapokuwa msafi wa mwili kila muda na kila wakati, hakika mumeo hawezi kukubali uwe mbali. Ninapozungumzia usafi, simaanishi kwamba eti, ugeuke bata maji kila mara uoge laa! unaweza kuoga mara mbili sana sana mara tatu, ukatumia muda mwingi kutumia manukato yale ambayo mumeo atatokea kuyapenda. Si lazima manukato tu pekee, unaweza ukatumia vitu vya kawaida na vya asili ambavyo vinaweza kukufanya ukawa na mvuto mkubwa kwa mumeo na kumfanya akuone mpya kila akuonapo. Nini unatakiwa kufanya sasa mara pale tu unapomuona mumeo au mwenzi wako anaingia ndani ya nyumba yako? Unajua....?" akauliza J. Balakaisi akabaki kimya asijue nini cha kujibu, alikuwa hajui chochote cha kufanya, alibaki kimya tu pasipokujibu kitu chochote. J alijua kuwa huko anakokwenda binti huyo ndiyo hatajibu kabisa maana alijua anakoingia ni kugumu zaidi.
"tumia sauti yako kuhakikisha unamchanganya mpenzi wako, tumia mwili wako vizuri, kwa mtoto mzuri kama wewe sitegemei kama unashindwa kutumia mwili wako kumuweka mpenzi wako katika hali ya kumchanganya kihisia. Andaa mazingira mazuri ya kumfanya akiingia tu anajikuta anahamasika. Tandika kitanda vizuri, pulizia na uturi kama upo kama hakuna tumia hata kitu chochote kitakachomfanya ahisi utofauti. Mvalie nguo ya kumtega. Wanawake mnakosea sana kuvaa nguo nyingi wakati unajua fika kuna kitu unakihitaji mwilini mwake, unatumia muda mwingi kumhamasisha wakati kumbe kuna njia nyepesi tu ambayo hupaswi kutoa hata jasho. Vaa kanga nyepesi inayoonesha kila kitu ndani, watoto wa mjini wanaita kanga ndembendembe. Weka pozi la aina yake kila uwapo karibu naye. muulize 'mume wangu utakula kwanza au utanila kwanza?' fanya hivyo huku ukiwa hata umekaa pembeni yake tena huku ukizichezea ndevu zake kwa kuzishika kimahaba.....huachi kumwambia, hivi mume wangu jamani unamuda gani tangu umenyoa hizi ndevu, kama anazo ndefu kama hana au ni ndogo waweza kumwambia...jamani mume wangu napenda sana kushika kidevu chako, kinanipa raha sana. Hujakaa sawa, umeshusha mikono yako kwenye shingo yake kisha kuanza kuipapasa kinamna namna, tumia mikono yako laini kumpagawisha mumeo Balakais. Kuna vitu vingine si lazima ufundishwe au mtu akuelekeze, vingine vinakuja tu automatic. Hapo ni lazima utamsikia Mumeo akikuuliza.....kwani hakitapoa hicho chakula. Basi nawe mjibu kwa kumtega mwambie.....hakipoi mume wangu kwani si unakula muda huu. kwa sauti inayotokea puani kabisa huku kichwa chako kikiwa kifuani kwake. Utamsikia akikwambia...hapana mke wangu naona hali si hali nataka kidogo tu niuchangamshe mwili....ujue hapo tayari umeshashinda mchezo" alimaliza kuongea J, Balakais alikuwa tayari ameshaanza kuelewa somo, jicho lilikuwa limezidi kumlegea, hakuamini kama mtoto wa kiume atajua mambo yote yale huku yeye akiwa hajui. Kuna kitu alikitaka Balakais lakini ni kama alishindwa kufunguka kwa kijana huyo sasa akabaki kuwa mtazamaji na msikilizaji hadi mwisho wa somo hilo ili ajue mwalimu wake ni kitu gani atatumia kama mafunzo kwa vitendo. J alishagundua kuwa binti huyo muda si muda anakula mzigo maana tayari dalili za kunyesha kwa mvua zilishajionesha mahali hapo.
"mumeo akiwa tayari kwenye hatua ya kukuhitaji sasa hapo hakuna haja ya kupoteza muda, tumia ujuzi wako ambao utakwenda kumdatisha kabisi mumeo au mpenzi wako. Kwanza usingoje jamaa avue nguo zake mweyewe laa, mvue, mpe muda wa kujiona mfalme, ondoa nguo moja baada ya nyingine mwilini mwake huku ukiwa unamtazama kwa matamanio makubwa sana. Tumia hata maneno ya ushawishi mahali unapotaka kumvua nguo au unapomvua nguo, mwambie....baby leo nina nyege sana nataka uzimalize mpenzi, sitaki uniguse tu halafu basi nataka unisugue kweli maana nataka nami nikupe kadiri ya uwezo wangu. ooooo yaaa, napenda hata kukilamba kifua chako mpenzi wangu....sema hivyo ukiwa unamvua nguo ya juu mpenzi wako kisha unapohamia ya chini hakikisha na wewe umetoa nguo kadhaa mwilini mwako, kama ulikuwa umevaa khanga tu na chupi ndani basi hakikisha khanga umeitoa mwilini mwako kisha ndipo umvue na yeye nguo zilizobakia. Kwa kufanya hivyo utakuwa unazidi kumpagawisha zaidi na unapozitoa nguo hizo za chini pia usisite kuhakikisha unazidi kumliwaza mwenzi wako kila upatapo nafasi hiyo, mwambie.....jamani baby mbona kama kila siku dudu lako linazidi kuwa zuri, jamani natamani nilikalie ili nilipate joto lake, oooo mpenzi jamani...cheki lilivyosimama. Mwambie huku ukiwa unalisugua na mkono wako, hakika nakuambia lazima atakuona umekuwa wa pekee sana. Hapo ndipo unapokuta mumeo analalama kwa utamu anaoupata. Kila kitu kinaladha yake Balakais. Hakuna kitu kitamu kama kile ambacho umekifanyia maandalizi mazuri, hakuna mchezo mtamu kama ule ambao mmeuandaa kwa kupashana joto. Kisha hapo, tumia sasa viungo vyako vya mwili, hakikisha unavitumia kweli. Tumia mikono yako kuupapasa mwili wake, tumia ulimi wako kuulamba mwili wake kama unaweza pia tumia mdomo wako kunyonya dudu lake Balakais. Usiogope Balakas, usiyaachukulie yale maneno ya watu wengi waliowahi kusema eti mapenzi ni uchafu, uchafu wa mapenzi ni nyinyi wenyewe kushindwa kujiandaa. Fanya kile akili yako inataka ufanye, fanya kile moyo wako umekutuma ufanye kwa wakati huo. Kumbuka kuwa maandalizi ya mapenzi huleta muamko mkubwa sana wa kuamsha kila kilicholala katika mwili/miili yenu. Hisia zinapouvamia mwili, zinaondoka na ufahamu wa kawaida ambao umezoeleka. Tumia hiyo nafasi na usipende kujishauri au kufanya kile kitu cha sitaki nataka" yalikuwa ni maelezo marefu mno ambayo yalimfanya Balakais kuwa hoi kabisa, mikono yake ilikuwa ikikichezea kifua chake kwa mtindo wa pekee mno, alikuwa tayari yuko katika hali ya hatari.

ITAENDELEA


,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,


EPSODE YA XXIII

Kumbuka kuwa maandalizi ya mapenzi huleta muamko mkubwa sana wa kuamsha kila kilicholala katika mwili/miili yenu. Hisia zinapouvamia mwili, zinaondoka na ufahamu wa kawaida ambao umezoeleka. Tumia hiyo nafasi na usipende kujishauri au kufanya kile kitu cha sitaki nataka" yalikuwa ni maelezo marefu mno ambayo yalimfanya Balakais kuwa hoi kabisa, mikono yake ilikuwa ikikichezea kifua chake kwa mtindo wa pekee mno, alikuwa tayari yuko katika hali ya hatari, kila ambacho J alikuwa anakizungumza mahali hapo kilikuwa kinaingia ndani kabisa ya ubongo wake ambako aliamsha kitu ambacho si cha kawaida kabisa. J hilo aliliona mapema sana akajua tayari mwanafunzi somo limeshamshinda, hataki tena kubaki darasani kusoma theory na alikuwa akihitaji practical pekee.
"Balakais!" aliita J.
"abee" akaitika Balakais.
"unanini tena jamani mbona hivyo?" alihoji J.
"sijui hata ni nini kaka J najikuta tu Chuchu zinaniwasha" alijibu.
"ilishawahi kukutokea hiyo hali labda hata mara moja?"
"hapana J ni leo ndiyo nashangaa,.....J kweli vile chuchu zinaniwasha jamani" alianza kabisa kulalama na hatimaye hiyo kanga pia akaitoa na kuitupilia mbali kabisa. Balakais mtoto mweupe mwenye jina la kirangi akabaki kifua wazi. Chuchu zisizonyonywa zikanyonyeka zilikuwa zimetuna hasa. J alizitazama mara funda kubwa la mate likapita kooni kwa fujo, lilikuwa ni funda la uchu wa kuyanyonya matiti hayo.
"Balakais kumbe bado kabisa mzigo uko dede huo, ama kwa hakika mumeo hakutendei haki, chuchu zimesimama sana hizi" alisema J huku akipeleka mkono kwenye kilele cha ncha ya chuchu moja na kuiminya kidogo na kidole.
"aaaaiiiiisssssssss!!!" alilalamika Balakaisi, mzuka alioupata ulikuwa wa pekee sana. J akamtazama na kuwaza moyoni mwake juu ya mtoto huyo mke wa mtu aliyetaka kupewa somo la kuifurahia ndoa yake. Usishangae ndugu msomaji. Siyo J. fundi tu hata mimi huwa siwezi kutoa somo bila vitendo.
"Balakais ukumbuke kuwa tuko kwenye somo hivyo siwezi kufanya mapenzi na wewe ungali ni mke wa mtu si jambo jema hilo" alisema J.
"hapana J, hapana, utakuwa hunitendei haki nahitaji kujua vingi zaidi kutoka kwako, sidhani kama kuna athari yoyote utaiyacha kwenye ndoa yangu J bali kuna kitu utakwenda kuniongezea ili niifurahie ndoa yangu zaidi" alisema Balakais. Kumbuka kuwa binti huyo alikuwa amevaa khanga pekee sasa kitendo cha kuitoa khanga hiyo, kila kitu kikawa katika uwazi, hakuna kilichokuwa kimejificha. Balakaisi alikuwa ni mzuri sana tatizo alikuwa bado hajaitambua thamani ya uzuri wake na jinsi ya kujiweka. Balakais alikuwa ana nywele nyingi sana zilizozunguuka kitumbua chake cha utamu, hiyo ilidhihirisha kuwa anamuda mrefu sana hajaufanyia usafi uwanja wake wa nyumbani. Hakuwa na aibu yoyote na muda huo wakati anaongea, alikuwa akiyapanua mapaja yake kiaina. J aliingalia ile nanihino ya binti huyo kitu yake ya kazi ikaongeza kasi ya kupiga kwa nguvu kubwa sana ki, ki. Hakuwa amewahi kula mwanamke mwenye uke uliojaa manyoya ya dizaini hiyo, mengi alikuwa akiyasikia tu kwa watu wakiongea kuwa kula mwanamke mwenye manyoya kunako utamu si mchezo, tena umpate msafi anayejua kuyaosha na kuyaacha katika hali ya usafi. Wakati Balakais akiwa analalamika apewe utamu kwa vitendo kutokana na maneno ya J kumuingia vizuri, J alikuwa akipiga hesabu jinsi ya kumpa elimu ya vitendo ambayo haitampa raha tu bali akitoka hapo awe na kitu cha kujivunia hata akiwa na mumewe. Alimsogelea taratibu na kumuuliza kama alishawahi kunyonywa mate, akatikisa kichwa akisema kuwa hajawahi. Usishangae haya mambo yapo na ni mengi mno. unakuta unakuwa na demu wako faragha, ile unamuomba mate tu, mtoto anafumba mdomo na kugeukia pembeni halafu anakuambia sijazoea, wengine wana act lakini wengine ni kweli kabisa isiyopingika.
"naomba basi leo nikunyonye mate tafadhali" aliomba J. Balakais akausogeza mdomo karibu, J akaupokea na kuanza kumnyonya bila fujo, ilikuwa ni taratibu sana. Alifanya hivyo kwa muda kidogo kisha kuuingiza ulimi wake ndani ya kinywa cha binti huyo lakini alikuwa makini sana kwani kosa moja linaweza kumpa kilema cha maisha. Aliogopa endapo utamu ungemzidia binti huyo ni wazi angeweza hata kuondoka na ulimi wake. Aliutoa ulimi huo uliokuwa unampa baridi fulani binti huyo na kujikuta akiwa anapumua kwa kasi sana. Alipoutoa, akawa anautembeza ulimi wake juu ya lipsi zile ndogo za kuvutia wengi lipsi hizi ndiyo wanaziita za kunyonya japo kwa J si kitu anachokipenda sana. Ubovu wa J ni lipsi nene kama za Saumu. Akalamba na kunyonya J hadi alipozifikia chuchu mkito za binti huyo. Akaanza kuitia mdomoni moja baada ya nyingine, alinyonya kwa ustadi mkubwa. Kitu cha ajabu J alichokiona kwa Balakais ni kwamba alikuwa hapigi kelele hata za utamu, yeye kikubwa utasikia aaaaiiiissss na kujinyonganyonga kama mtoto mdogo aliyeshikwa na tumbo la kuendesha. J hili hakulipenda lakini hakutaka kumwambia mapema, alijua mahali pa kumkamatia hivyo hakutaka kuwa na presha naye. Kuku wako mwenyewe manati ya nini bwana. Cha himayani ni chako hata kama ni kwa muda. Alikumbuka hiyo misemo J. Chuchu hizo zilikuwa zikimpa mzuka sana na alizinyonya kwa muda mrefu mno. Balakais alikuwa yupo katika raha ya aina yake.
"B, unatakiwa siku nyingine umwambie mume wako kile ambacho kinakupa raha zaidi au umwambie nyege zako zilipo" aliongea J huku akiwa anapeleka mkono chini na kuanza kuichezea baraza safi iliyozunguukwa na nyasi laini kwa kuzishika.
"kwanini jamani J" aliuliza Balakais kwa sauti iliyojaa nyege sana. J akasema kuwa, unaonekana kwenye titi lako la kushoto ndiyo kuna mzizi wa raha zako kwani kitendo cha kuinyonya tu hiyo chuchu, uliruka na nilipoleta mkono huku chini nikakuta kuna loa kwa kasi sana, nikajua nimekugusa mahala pako"
"aaaaaashhh.....ni kweli J, ni kweli J" alisema B, kwa kurudia rudai, hapo dole la kati la J lilikuwa linatafuta maficho ya wadudu haribifu ndani ya pango hilo la ajabu.
"hivi mumeo alikuwa anakuchapa nao kweli kweli au alikuwa anakuonja tu maana naona tamu yako inabana halafu nwadu kweli, hizi ndio zile ambazo ukisugua sana zinalia dwa dwa dwa! kwa utamu" Aliposema hivyo J, Balakais akatabasam kwa chati kidogo. J alikuwa anacheza na dole lake si kawaida, Balakais bado alikuwa anajifanya mgumu hataki hata kunung'unika kwa kuonesha amefikishwa.
" hizi kabila nyingine hizi, shida tupu kabisa" alisema J huku akipania kuwa na hizo nywele zilivyojaa, mbona ataomba poo maana kamwili kake kalivyo katamu, alipanga kukakunja kweli kweli na kukasugua hadi kasahau jina la mumewe kwa muda. Mambo yakanoga zaidi sasa ukafikia muda ambao ndiyo sehemu pekee aliyokuwa akiipigia kelele mumewe. Hapo ndipo ambapo alitaka kuona je, kweli hakuwa akijua kukatika ama ni maneno tu ya mwanaume huyo. J alitaka kuona mambo yote hayo kwa mapema zaidi hivyo akajitega vizuri kwa kujilaza pale kwenye kochi miguu ikiwa chini huku akiwa amelalia mgongo kidogo tu. Akawa analishika dudu lake na kumwambia binti huyo akalie. B akapanda kwa juu, akasimama na kusogea juu kidogo ya kiuno, dudu akiwa ameliacha kwa nyuma kidogo. Hapo J akamwambia ndiyo penyewe, hivyo akalengeshe, mtoto hakufanya makosa, alilengesha na kuikalia yote hadi shina halafu akawa kakaa kabisa hafanyi kitu chochote yaani hata kujitikisa pia alishindwa. J akasema subiri nimpe funzo moja la aina yake ambalo litakuwa likimsaidia mbele ya safari.
"Balakais, mtu yoyote asikuambie, uzuri wa mwanamke ni hapa. Kama mwanamke kitandani hakuna kitu, usitegemee kwa Jiriwa utapata nafasi. Hili ni somo naomba uwe na kichwa chepesi sana kushika maana sitorudia tena hili darasa na kama nikirudia basi siyo somo la kukatika tena......naomba mikono yako yote miwili uikite kifuani kwangu au ukamate mapega yangu" alisema J na Balakais akafanya kama alivyoelekezwa.
"umeshashika vizuri hapo kifuani....ok, simamisha vizuri miguu yako kisha naomba utumie mikono yako kwa kuikita kwa nguvu kifuani kwangu kisha mimi nakikamata kiuno chako kwa juu kidogo hapa zinapoanzia mbavu. Naomba usicheze mwili, cheza kiuno tu sitaki ucheze mwili mzima" alisema. J akakikama kiuno vizuri kisha binti yule hakuwa na neno ni kama alishapotezewa akili na mawazo yake. Alikuwa yupo katika uhitaji wa kupewa utamu lakini hapo alitajiwa naye atoe utamu. J alikikamata vizuri kiuno cha dada huyo kisha B akaanza kukata kwa mtindo ule wa juu chini au ingiza toa kama wengi wanavyopenda kuuita.
"aaaaaaaaaa!, mmmmmmmmm, ooooooooo!" Balakais kwa mara ya kwanza tangu analianza somo hilo ndiyo alikuwa anatoa milio.
"vipi Balakais?" akauliza J huku akiwa katika raha ya aina yake kutokana na dudu lake kuzama kwenye kitu kinachobana si utani. Balakais alikuwa ni kama ndiyo anaanza kufanya mapenzi kwa jinsi alivyo mtamu na uke wake unavyobana. Alizidi kumuhimiza aongeze kasi kila baada ya muda fulani. Balakais alijitahidi kadiri ya uwezo wake japo muda mwingine alikuwa akisimama mithili ya mtu anayeusikilizia utamu. J alikimakata kiuno barabara na kukilazimisha kukata. Alifanya hivyo kwa muda mchache tu na alipomuachia, Balakais akawa kama amechochewa moto, alikuwa akikikata kwa mtindo ule alioanza nao kwa speed ya pekee sana. J alikuwa akipata raha ya aina yake kwani alikuwa akifanya mambo mawili kwa wakati mmoja. Alikuwa akizichezea chuchu za B zilizokuwa zimesimama haswa na kuwa ngumu mno. B alikuwa haelewi, alifumba macho huku akiupata utamu huo. J alikuwa akiifuatilia mashine yake ya kazi jinsi inavyozama na kutoka. Muda mwingine B alikuwa kama akiikalia kabisa na kuifanya fimbo ya J kufichwa kwenye manyoya mengi ya tupu hiyo.
"Balakais mumeo hawezi kukuacha tena niamini mimi, kama utakuwa unajituma kwa mtindo huu, talaka isikie kwenye bomba" alisema J. B alikuwa haongei kitu badala yake alikuwa akizidi kupiga kelele tu mtindo mmoja. J akamwambia anyanyuke, akamwambia kuwa asijisahau kwenye aina moja tu ya mchezo bali awe mtu wa kubadilika kama alivyokuwa amemwambia. B akatoka na kuliacha dudu hilo likiwa limesimama kinoma noma.
"onja ladha adimu kwa kuunyonya huo mpingo kisha nikupe mtindo mtamu zaidi ambao utakojoa hadi ukome" alisema J na Balakais kwa jinsi alivyokuwa amedatishwa na huo mchezo, hakuuliza moja kwa moja akainama kwa pembeni na kubinuka akaitia mdomoni na kuanza kuinyonya kwa fujo nyingi. Wakati akiwa ananyonya hivyo, J nae alikuwa akifanya yake. alikuwa akikichezea ki-harara cha mtoto huyo kwa utaratibu maalumu. J akajikuta akizidi kuidindisha mambo yake kisawasawa kabisa. Balakais alikuwa akigugumia mdomoni kama bubu. J muda mwingine akawa anatia hata vidole na kuvitikisa kwa ndani, hapo ndipo ambapo uzalendo ulipokuwa unamshinda B. Alijikuta akilitema dudu na kupiga kelele ambazo hakuwahi kuzipiga kabla katika maisha yake.
"pandisha miguu hapa kwen.ye kochi" alielekeza J. B akafanya kama alivyoelekezwa.

ITAENDELEA....







,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,




EPSODE YA XXIV

alikuwa akikichezea ki-harara cha mtoto huyo kwa utaratibu maalumu. J akajikuta akizidi kuidindisha mambo yake kisawasawa kabisa. Balakais alikuwa akigugumia mdomoni kama bubu. J muda mwingine akawa anatia hata vidole na kuvitikisa kwa ndani, hapo ndipo ambapo uzalendo ulipokuwa unamshinda B. Alijikuta akilitema dudu na kupiga kelele ambazo hakuwahi kuzipiga kabla katika maisha yake.
"pandisha miguu hapa kwenye kochi" alielekeza J. B akafanya kama alivyoelekezwa, 
ENJOY

J akaendelea kutoa maelekezo hayo.
"kunja miguu na ukalie hiyo mambo yani fanya kama unakalia kigoda" B akafanya hivyo. Akajikuta anapiga kelele nyingi vibaya.
"uuuuuuuuuuuuuiiiiii!" hiyo ilikuwa ni baada ya kukaa kwa pupa na kitu hicho kikazama kwa kasi sana tena chote.
"oooouuuu yaaa" J aliongea kizungu baada ya dudu lake kumezwa lote tena ghafla sana. J baada ya kumuona binti huyo amekaa tayari, akamwambia kuwa anamuonesha mfano wa anachotakiwa kukifanya. B akaitikia kwa kichwa huku amezing'ata lipsi zake za juu kwa utamu mwingi sana. J akayashika mapaja ya binti huyo na kuanza kumpandisha na kumshusha kwa utaratibu mkumbwa sana. Raha za kinamnanamna zikakivaa kichwa cha B, akawa anaanza kufukuta kwa sauti zake kama anakula ugali wa moto na mboga moto. Alifanyishwa hivyo kwa muda kidogo hata alivyokuja kuachiwa alijua ni nini cha kufanya. 

Ndugu msomaji mtindo huu J aliuchagua kwa lengo moja, kwanza alijua kuwa mtindo huu ni kwa lengo la mtoto wa kike kujipimia mambo mwenyewe, sasa kwa Balakais asiyejua kujipimia ni nini inamaana hapo atakuwa ananesa bila kujua kipimo chake ni kipi inamaanisha kuwa mambo yake itamezwa yote mwanzo mwisho na kumpa raha mrembo huyo huku na yeye pia akiipata ya kuzidi. Pili ni kwamba atakuwa anausanifu uke wa Balakais kwa kuutazama unavyomeza na kutema rungu hiyo ya kazi. Ilikuwa inampa raha sana kitu hiyo. Mchezo huo ulikuwa wa furaha sana hadi walipomaliza, B alishukuru sana kwanza kwa kupewa utamu wa aina yake, pili ikiwa ni kupewa mafunzo ambayo yatakuwa ni kitu cha pekee sana kitakachompa faraja ya maisha yake katika ndoa ama mapenzi. J naye alimpa heko kwa kumpa utamu wake kwa moyo mkunjufu bila ya kinyongo.
"kwaiyo sitakupata tena nikiwa nakuhitaji J?" aliuliza Balakais.
"wewe ni mke wa mtu B hivyo si sana au si kila wakati, tuifanye kama ni bahati mbaya tu kwenye maisha na haiwezi kujirudia tena au kama ikijirudi pia iwe ni bahati mbaya na isiwe ni mazoea" jibu hilo la J. fundi lilimfanya Balakais acheke kwani lillimuaminishia kuwa anaweza kurudia nae mapenzi kwa bahati mbaya tena. Wakaagana kisha J akatoka. Wakati anatoka tu ndani ya chumba hicho, ndiyo muda ambao Muba alikuwa akirudi kutoka kwenye mihangaiko yake. Mshtuko mkubwa ukamkumba Muba na kuamua kumuuliza kabisa jamaa huyo, kwanini atoke ndani ya chumba cha huyo mtoto wa kike na ikiwa mume wake amesafiri. J akamvuta jamaa yake huyo hadi mlangoni. Wakafungua mlango na kuingia ndani kisha akamwambia kuwa alikuwa akimfundisha jinsi ya kumridhisha mumewe ili malumbano yasiwepo tena. Muba alimaindi kinoma.
"mwanangu we unamichongo ya ajabu kinoma, sasa kwa nini hukuniambia kama leo unakuja huku kufanya ufundishaji. Mi najua umemla, sasa ungenishtua hata mwanao basi nikayaona maujuzi yako angalau mkubwa" aliongea kwa hisia sana japo ilikuwa ni kwa sauti ya chini ambayo dada huyo hakuweza kuiskia.
"nisikilize Muba, tabia yako usidhani labda mimi naifagilia au vipi, mwanangu unanikera....hivi wewe unadhani punyeto itakusaidia kwenye maisha haya. Mademu wengi mwanangu hadi wanaume hatutoshelezi, leo ngoja nikuchane jembe langu. Achana na punyeto Muba, sasa ili ujue punyeto mbaya leo fanya kitu kimoja. Jamaa wa huyu demu si amesafiri?"
"ndiyo," Muba akajibu.
"sasa huyu demu ni mke wa mtu lakini anaonesha kabisa ni mwingi kinoma. Unajua kwa nini nasema hivyo? Siku ile ya ugomvi na mume wake, ile picha mlioionesha pale haifai kabisa na yule mtoto alidata kabisa. Najua kuwa ninyi watu wa nyeto/kujichua huwa hamna ujasiri wa kuwakabili wanawake na kuwaeleza hisia zenu. Cha kufanya vaa bukta yako nyepesi ile wakati wa usiku kama saa moja au moja na nusu, jifanye unaenda kuomba moto ndani kwake au hata kibiriti ili ukoke moto. Lazima utamkuta amevaa eidha kanga ya kulalia au nguo yoyote nyepesi. Kwa ninavyokujua lazima utaenda mnara....lazima udindishe tu, nyeto haina adabu. Sasa kwa kuwa tayari alishawahi kulipata joto lako, lazima macho yake yatahamia kwenye bukta mbele, hapo utamla iwe isiwe." alikomea hapo J.
"sasa si umemla leo J, unafikiri atakuwa na hamu tena?" alihoji Muba.
"nisikilize mimi Muba, huyu mtoto ni malaya tu anaonesha na ulivyomkojolea kwenye makalio siku ile lazima alilipenda bao lako sasa atataka umkojolee ndani, we fanya hivyo na ukishindwa nakuruhusu uendelee na nyeto zako, ukiweza nakupa ushauri wa wapi uende ili uachane na hilo jambo kisha nakutafutia mtoto mzuri utulie naye. Haiwezekani unamkwanja fuleshi kabisa halafu huzitumii kwa haki zinalala tu bank bwana. Ngoja na wewe uwe na familia, mimi nikioa na wewe mwanangu unaoa" alisema J akiwa anamaanisha kabisa, wakaagana na J akachukua mia zake.

*****
USIKU.

Muba alikuwa akijishauri sana juu ya jambo aliloambiwa na rafiki yake, ni kweli alikuwa hapendi kujichua lakini hakuweza kujizuia kufanya hivyo na kilichopelekea yeye kutokuacha punyeto ni woga dhidi ya wanawake. Muba alikuwa hana ujasiri huo kabisa, ukitaka Muba akuone sumu, muitie demu, ataondoka na kwako hatakanyaga abadani. Kitendo kilichomfanya Muba kuabudu na kuihusudu nyeto ni kutokana na kuianza tangu wakati anaipata balehe yake ya kwanza. Alisikia hayo mambo yakizungumzwa na watu, alisikia raha ambazo mtu anapata kupitia nyeto. Pia alipata kusikia kuwa nyeto haina madhara kwa maisha ya mwanadamu kwani wapo hadi wanawake ambao wanafanya na kupenda kujichua. J akatamani kujaribu ili aone kile kinachosemwa na watu kama ni kweli, akatafuta muda mzuri kisha akachukua sabuni na kujificha chumbani. Alipojaribu tu huo mchezo, akajikuta akipata raha za ajabu na za pekee mno, akajikuta akiwa mlevi wa ule mchezo maisha yake yote. Hakuna mtu asiyemjua Muba kwa kupenda kujichua kila mtu alijua hata watoto nao walijua kuwa kaka yao hakuwa mtu wa kupenda wanawake bali ni yeye na sabuni au na mafuta. Aliwaza sana Muba mahali hapo. Umri ulikuwa unakwenda kwa kasi kubwa sana na uhitaji wa kuwa na familia ukiwa unakuwa siku hadi siku.
"nitafanyaje?" akajiuliza. Lakini ghafla tu alijikuta akinyanyuka na kuvua nguo zote kisha akakamata bukta yake nyepesi ambayo mara nyingi hupenda kuivaa akiwa anaangaalia muvi za ngono kupitia simu yake ya kisasa. Bukta ambayo inampa wasaa mzuri na mshawasha wa kupiga nyeto. Alipomaliza kuvaa, akahema kwa nguvu sana woga ulikuwa mkubwa kupita kawaida lakini hakutaka kuzidi kudili na masuala ya nyeto tena, kifupi ni kwamba alikuwa anahitaji tiba ya kuachana na mambo yale.
"liwalo na liwe huwenda huyu demu akawa ndiyo mtu pekee wa kuniachisha haya mambo" aliwaza Muba. Akatoka mule ndani na kitezo chake kwa ajili ya kujidai anahitaji moto. Alipiga hodi mara baada ya kufika kwenye mlango wa dada huyo.
"nani mwenzangu?" alihoji huyo dada.
"ni mimi jirani" alijibu Muba huku mapigo yake ya moyo yakiwa yanadunda kwa kasi sana. Balakais aliufungua huo mlango kisha akasimama pembeni ya huo mlango na kumwambia aingie ndani.
"nilikuwa ninashida na moto"
"kwaiyo umekuja tu kunisalimia maana shida yako imeshakwisha au?" ahoji huyo dada. Muba akakumbwa na aibu kwa kuongea kiswahili ama sentensi mbovu mbele ya dada huyo, ujasiri ukamkimbia zaidi na kubaki mahali hapo akijichekea cheakea kama fala fulani. Ndugu msomaji, Punyeto si kitu kizuri abadani, punyeto inaweza kukuondolea ujasiri wako kama mwanaume na kubaki kuwa mwanaume jina. Muba alikuwa akitetemeka sana.
"tena nilikuwa nataka niuzime naona ukiniletea joto tu na wakati nimeshamaliza kupika hata kula pia nimekwisha kula muda sana. Ingia uchukue mwenyewe mimi nimeshaoga na tayari nimevaa nguo ya kulalia sitaki kujitia majivu tena" alisema Balakais huku akigeuka na kuelekea ndani zaidi. Muba macho yake yakatua kwenye kalio la dada huyo mwenye nguo nyepesi inayoonesha hadi ndani. Dudu la Muba halikuongopa likapanda hewani na kushangilia kitu hicho cha kijinga kabisa. Balakais alipogeuka ili kumsubiri kijana huyo achukue moto atoke na yeye kufunga mlango, macho yakamtoka, mdomo ukabaki wazi. Hakutegemea kile alichokiona kwenye bukta ya jirani yake.
"jirani!" aliita kwa mshangao Balakais, Muba akagumia tu mmmh!.
"nini tena mbona hivyo?" swali hilo likawa gumu na badala ya dudu hilo kusinyaa kwa aibu, ndiyo kwanza likawa liko hewani tena likawa kama linalotaka kupiga sarakasi au linacheza viduku. Bukta ilikuwa inacheza pale mbele si kidogo. Balakais akalikumbuka joto la dudu hilo siku ambayo alikuwa akiamuliwa ugomvi na kijana huyo. Pia akakumbuka kuwa alikuwa akijisugua makalio yake juu ya dudu hilo hadi kaka huyo akapiga bao, bao ambalo lilikuwa la moto sana, B akatamani bao hilo akojolewe kwenye kitumbua chake cha utamu. Balakais akajivuta na kulishika hilo dudu na kulichezea kwa mtindo wa kulitia kasi. mh! aligumia Muba ni kama hakuamini kama dudu lake linashikwa na mkono wa kike. Kumbuka kuwa Balakais huyo si yule ambaye alikuwa akivua tu na kuinama kusubiri kushindiliwa, huyu alikuwa ni Balakais mpya anayefanya vitendo zaidi ili kuinusuru ndoa yake kwa kutoa penzi tamu kwa mumewe. Balakais alikuwa ni kama Apple changa lisilo na ladha ya aina yoyote ile sasa hapo Apple lilikuwa limepevuka na Apple lilipevuka kweli. Muba aliona kama anachelewa vile akaitoa ile bukta yake na kuionesha ndizi ya Juma mhuni ilivyokuwa imevimba.
"mh! Inaonesha hii itakuwa inasugua vizuri" alisema B baada ya kuiona mambo ya Muba ikiwa fupi halafu nene tena ilikuwa nene kweli si mchezo. B akataka apige magoti ili ainyonye, Muba akahisi hali ya hatari maana hata vile alivyokuwa akichezewa na mkono tu, alikuwa anahisi kama anataka kumwaga machicha ya mbata ije kuwa kunyonywa ah, ah! aligoma, alitaka bao lake la kwanza alimwage kwenye kitumbua ahisi raha yake siyo kila siku bao lake lianguke chini. Muba akamsukumia B kwenye kochi la hapo ndani na kulipandisha hilo vazi la kulalia, akamtanua miguu haraka haraka.

ITAENDELEA.


,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,



Epsode ya XXV

Muba akahisi hali ya hatari maana hata vile alivyokuwa akichezewa na mkono tu, alikuwa anahisi kama anataka kumwaga machicha ya mbata ije kuwa kunyonywa ah, ah! aligoma, alitaka bao lake la kwanza alimwage kwenye kitumbua ahisi raha yake siyo kila siku bao lake lianguke chini. Muba akamsukumia B kwenye kochi la hapo ndani na kulipandisha hilo vazi la kulalia, akamtanua miguu haraka haraka
INJOY

Kivumbi kikawa kwenye kuingiza ndani. Muba alikuwa akitetemeka sasa akawa tundu kama halioni la kulenga, mara akapeleka sehemu nyingine yaani alitaka kuingiza mahali ambapo sipo.
"mh, mh!, jirani siyo huko bwana" alisema Balakais huku akibana miguu yake baada ya Muba kutaka kuingiza kusiko kwa kiwewe. Hakujua kuwa kubana kwake miguu mtu wa nyeto kama huyo angeweza kumalizia mambo mapajani. Akatanua kwa nguvu, joto la uke wa B u
lilishamzidi uwezo sasa hali ya hewa ikawa inataka kuharibika kabla hajaingiza ndani. Akawa anapumua kwa nguvu mno.
"panua basi mapaja vizuri" alisema Muba hadi B akashangaa, mapaja alipanua hadi mwisho iweje tena. Mara akafanikiwa kulenga. Muba akajipongeza kwa kufanikiwa kulenga. Joto la huko likaanza kumshambulia kwa kasi kubwa. Akapiga tako la kwanza, la pili la tatu haa! shughuli ikaanza.
"weweeeeeeeeeeee, haaaaaaaaaaaaaa! Mh! alipiga kelele mwisho akaguna tu mh! Hoi alikuwa tayari amefika mwisho. Kwa bao tu alijitahidi maana lilikuwa jingi kinoma kama nusu kikombe kidogo cha robo lita. Muba alikuwa anahema mbaya mbovu. Balakais akakumbwa na mshituko wa ajabu. Kelele zote zile mwanaume, inakuwaje.
" nashangaa sijui kwanini nimekojoa mapema hivi.....siko hivi mimi...tatizo we mtoto mtamu sana" alijiosha Muba lakini kiukweli yeye hayuko hivyo tangulini, labda huwa anachelewa kukojoa kwenye puchu. Balakais akamwambia usijali ngoja turudie ili unifaidi nami nikufaidi. Muba akalala kwenye kochi na B akaainama na kuanza kuipa kasi, hapo ndipo alikoma, aliichezea hadi akachezea tena hakuna majibu. Ngoma ililala hivyo hivyo. Balakais akanyonya hadi kunyonya tena lakini kitu kiligoma.
"inamaana nimeshakuwa hanithi!" aliwaza Muba huku kijasho chemabamba kikimtoka, alitamani ardhi ipasuke ili tu aingie na kuepukana na ile aibu. Balakais alifikia hatua akawa anaipiga piga kwenye kitumbua chake labda itasimama lakini wapi.
"nimechoka Jirani sina ujanja tena we nenda tu, ningejua hata nisingekubali kukupa ukaniacha na shombo kiasi hiki. Cheki ulivyonimwagia bao lako jingi halafu hata kulikausha kwa kulisugua huwezi. Ama kwa hakika B lilikuwa ni Apple lililopevuka kweli. Fedheha kubwa ikamkuta Muba, alinyongea vibaya sana, kwanini hali ile, wakati alikuwa na uwezo wa kupiga bao hata tatu kwa punyeto.
" vipi moto huchukui tena?" alihoji Balakais lakini Muba hata kujibu alishindwa.
"hii hali ndiyo nini sasa jamani.? Mbona nimeaibika sana mimi, siamini" aliwaza Muba baada ya kuingia ndani kwake kisha akavua nguo alizokuwa nazo mwilini mwake na kubaki uchi kabisa. Baada ya dakika chache tu Juma mhuni wake akaenda hewani, mh, sijui nirudi kule tena nikamle, lakini anaweza akanishtukia na kusema kuwa nimebust" alijiwazia namna hiyo kijana huyo. Nyeto nyeto, nyeto haina adabu jamani, unashindwa kuutendea haki mwili wa mwanamke lakini baadae unapokuwa mbali naye kitu kinainuka tena, omba sasa awe ni mkeo kuliko yule wa kuja na kuondoka, utalia mbona. JAMANI ACHENI HUU MCHEZO WA KUJICHUA, SI WADADA SI WAKAKA. MNAPOTEZA HAMU YA KUWA NA WAPENZI KABISA NA KUUNYIMA MWILI WAKO HAKI YA KIMSINGI.

Siku ikaisha, Asubuhi ikaingia asubuhi ambayo Muba aliamka asubuhi sana na kuelekea kwa J kwenda kumueleza kuhusiana na tatizo lake alilonalo. Ilikuwa ni aibu sana kwakweli, J alipoelezwa vile, alimchukua jamaa yake na kumpeleka kwa daktari ambaye anamuamini. Alipofika Muba akatakiwa aeleze kila kitu kuhusu maisha yake ya kimahusiano. Akahadithia mwanzo mwisho hadi daktari akamsikitikia. Akapewa ushauri wa kitaalamu lakini pia aliambiwa kwamba vijana wengi wamekuwa ni waathirika wa kujichua kutokana na utandawazi ulivyoenea. Vijana wengi wanashindwa kuachana na kitendo hicho cha uchuaji wa kiungo cha uzazi. Akaorodheshewa madhara ya jambo hilo, mwisho J akaambiwa amsaidie rafiki yake kupata tulizo ambalo litamuweka mbali na jambo la kujichua kabisa kisha atumie sana vyakula nilivyomuelekeza na atumie muda mwingi kufanya mazoezi au kusikiliza muziki kutazama michezo mbalimbali ili kuwa mbali na hisia ya kufanya haya mambo. Akaambiwa pia kama atajizuia kwa muda wa miezi mitatu hadi minne kwa kutokufanya huo mchezo mchafu na kula vile alivyoelekezwa basi atakuwa fiti zaidi huku akisisitiziwa zaidi mazoezi.

******
BAADA YA WIKI TATU.

Nderemo, vifijo na shamrashamra za hapa na pale, vilikuwa vimechukua nafasi kubwa sana. Ilikuwa ni siku ambayo J anachukua jiko. Sherehe ilikuwa nzuri sana japo hakukuwa na kigodoro wala ngoma lakini wa kale walisema shughuli ilifana na ilifana kweli. Wazazi wa J ni watu wa dini sana hivyo hawakuhitaji kitu chochote kinachohusiana na muziki kwenye harusi hiyo ya kijana wao. Batuli alipendeza sana kwenye shela lake la harusi huku J au Jiriwa tu kwa jina lake moja, akiwa ndani ya Kanzu safi ya rangi ya chokoleti ya kupendeza kabisa. Palisomwa maulidi, dua ya ndoa na hatimaye kijana huyo mkora akakabidhiwa jiko. mila zikafuatia, wakati J akiwa anamshika mkono mkewe baada ya kufunga ndoa hiyo, picha zilikuwa zikimweka mweka kwa kila pande ya eneo hilo. Mchele ukawa unamwagwa kula kona kwa kurushwa kidogo tu kwa maharusi hao. Wakasomewa risala ambayo ni kama muongozo kwenye maisha yao ya ndoa. Shughuli ikaisha na J kurudi na Batuli wake nyumbani kama utani, Batuli mtoto mzuri kupindukia, mtoto aliyetoa watu jasho kwa urembo wake leo kama kung'oa msumari kwenye silling board jinsi alivyomchukua. wanaume wengi walikuwa wakimuonea wivu J lakini wanawake wengi akiwemo Balakais, mama Joy, mama Chacha na wengine wengi, walikuwa wakimuone wivu mwanamke mwenzao kwa kupata mwanaume anayejua kukuna kwelikweli.
"ukienda nje ya ndoa ni hulka yako mama, hapo kidume cha kazi unacho" ilisikika kauli hiyo kutoka kwenye kikundi cha wanawake. J aliielewa hiyo kauli lakini sidhani kama Batuli aliielewa. Hakuna siku ambayo Chacha alifurahi kama hiyo, hakuna siku ambayo dogo huyo pamoja na vijana wake, walikula wali kama siku hiyo. Siku hiyo ilikuwa ni shangwe kubwa sana kila mmoja alikuwa na furaha lakini chacha alikuwa na furaha zaidi kuona Jembe lake linaacha kumtuma kwa videmu tena maana chombo hicho alichomtengenezea pande kilikuwa chombo kweli.
"naomba unikumbuke milele shimela langu" alisema Chacha wakati wa kwenda kutoa zawadi za kiana maana sherehe yenyewe ilikuwa kiimani zaidi kwahiyo mambo mengine yalikuwa kama yanalazimishwa tu. Na Chacha alisema hivyo huku akimkabidhi mwanaidi picha ya J akiwa amekula pozi safi nje ya nyumba yake. Ilikuwa ni vituko tu vya mtoto huyo ilimradi furaha ilitendewa haki hadi kuwa furaha kweli. 

Siku zikakatika, ndoa ya J ikanawiri vizuri kabisa. Wiki mbili za kuifurahia ndoa yake aliyopewa kazini Batuli akawa ameitumia vizuri kabisa kuhakikisha kuwa anamaliza hamu zote alizokuwa nazo kipindi yuko bachela. Kitu pekee alichokuwa nacho Batuli ni wivu, alikuwa na wivu sana mwanamke huyo. Hakutaka kumuona mumewe akiwa mbali na nyumbani. J angekwenda wapi kwa kusingizia wakati alijenga ofisi yake kubwa kabisa inayomuingizia pesa za kutosha akiwa nyumbani. Alikuwa hana kitu cha kudanganya labda kama anakwenda labda kutembea kidogo hapo sawa lakini pia si kwa kila wakati. Batuli alijua kulinda mali yake bwana.

Kitu ambacho hakukijua Batuli ni kuwakera watu wengine juu ya kufanya matendo yake hayo ya kujifanya anajua sana kupenda. Miongoni mwa watu ambao alikuwa akiwakera na kuwaudhi kuliko kawaida alikuwa ni Mtoto mdogo au binti mdogo Sophia. Sophia alikereka sana kuhusiana na tabia ya Batuli. Aliamua kupanga mpango mbaya sana wa kuhakikisha anamharibu J pamoja na mkewe mazima. Mpango huo hakutaka uchukue muda, alianza ufuatiliaji wa kimya kimya hadi akajua muda ambao mke huyo wa J anatoka muda gani kwenda kazini na anarudi muda gani. Akaona kuwa muda ambao Mke wa J anakwenda kazini ndiyo muda ambao alitakiwa yeye kumvamia J na kuanza kumtega.

Siku isiyo na jina J alikuwa anaendelea kufanya shughuli zake za kujenga Taifa, mkewe akiwa ameelekea kazini, alishangaa kupata ugeni wa kimya kimya. Ugeni ambao ulimchanganya na kumuacha hoi.
"habari yako baba harusi" alisalimia mgeni huyo.
"baba harusi nani sasa" aliwaka kidogo J.
"kwaiyo unakataa kuwa wewe si baba harusi, ha ha haa! ok, tuachane na hilo......!"
"we mtoto najua umeshaanza kuleta mambo yako ya ajabu ajabu.....hebu ondoka bwana" alifoka J akiwa amemkatisha mtoto huyo alichotaka kuongea.
"J unanikosea sana, mimi kuniita mtoto, unajua J naweza kukubadilisha ukawa shetani wewe au unabisha" J alicheka sana baada ya kusikia kauli hiyo, eti, Sophia ambadilishe kuwa Shetani, yalikuwa ni maneno ya kuchekesha sana.
"huamini?"
"siyo siamini, mtoto mdogo kama wewe huwezi kufanya huo ujinga unaouwaza" alisema J.
kama huamini nataka ufanye mapenzi na mimi J" alisema Sophia huku akiwa amezidi kumsogelea kijana huyo.
"we mtoto hebu toka tena usahau kabisa mimi kufanya huo ujinga, ondoka basi kabla sijakubadilishia kibao....nenda husikii!" alikoroma J. Aliacha kila kitu alichokua akifanya na kudili na huyo mtoto wa kike aliyeshindikana ambaye ukimuita jina la mtoto anasema Apple limepevuka na si mtoto.
"usikasirike J ukafikia hatua ya kunipiga, naondoka bila hata fujo" alisema Sophia huku akimpa mgongo kijana huyo na kuondoka. Alipiga hatua tatu tu na kisha kurudi.

Itaendelea.















  1. EPSODE YA XXVI

    "we mtoto hebu toka tena usahau kabisa mimi kufanya huo ujinga, ondoka basi kabla sijakubadilishia kibao....nenda husikii!" alikoroma J. Aliacha kila kitu alichokua akifanya na kudili na huyo mtoto wa kike aliyeshindikana ambaye ukimuita jina la mtoto anasema Apple limepevuka na si mtoto.
    "usikasirike J ukafikia hatua ya kunipiga, naondoka bila hata fujo" alisema Sophia huku akimpa mgongo kijana huyo na kuondoka.
    ENJOY

    Alipiga hatua tatu tu na kisha kurudi, alikuwa ni kama kuna kitu cha umuhimu sana alikisahau.
    "sasa mbona unarudi we mtoto!?"
    "kuna kitu nimesahau J" aliongea Sophia huku akiingiza mkono kwenye mfuko wa sketi yake. Akatoka na vipande vya karatasi ambavyo alikuwa amevikunja, akachomoa kimoja na kukikunjua kisha kumuonesha J. J alishangaa kidogo kisha akacheka na kuyarudia maneno aliyokuwa ameyasoma kwa sauti ya chini.
    "eti, J SIKU HIZI JOGOO HAPANDI MTUNGI.
    "siyo hiyo tu, kuna hii" akasea Sophi huku akikikunja kile na kutoa kingine. Hiki nacho J alikisoma lakini bado hakuonesha kuwa na hofu. Sophi akamuuliza.
    "unesoma na hicho, mbona sasa hujasoma kwa sauti ili nisikie, kama hutaki kusoma kwa sauti, ngoja nikusomee, J KAHARIBIWA, HAPANDI HADI APANDWE......hiyo ninakwenda kuibandika pale kwenye kituo cha magari ya kwenda Bombani, Amani na Misozwe hadi Maramba. Nadhani kwa wingi wa watu pale na unavyofahamika, utafedheheka sana." aliongea kwa utulivu mkubwa sana binti huyo.
    "unataka nini Sophi kwangu, unajua si jambo zuri hilo unalokwenda kulifanya halafu litakwenda kuipoteza heshima yangu" aliongea J. Sophi alisogea hadi karibu na kumwambia.
    "nataka leo ukathibitishe kuwa Apple limepevuka na si changa kama unavyoniita, kinyume na hapo karatasi hizi zilizoandika kwa wino wa kumwagika, zitakuwa gumzo kila kona ya hapa muheza" alisema kisha akatulia halafu akamalizia.
    "basi sawa kama hunielewi mi naenda ila baada ya nusu saa tu utapigiwa simu na wanao kufahamu kama hutapata bahati ya kushuhudia mwenyewe, bye........!"
    "he....he....hey....hebu ngo...ja Sophi" alimuita kisha akamkaribia na kumuwekea biti kuwa kama hatompa hizo karatasi, atamtambua. Sophi akamwambia kuwa wakati anaziandika yeye hakuwepo hivyo kama anazihitaji atampa lakini si kama atafanikiwa kuizuia azma yake. J akafikiria kwa muda, akajua ni kweli, akijifanya kujua ataaibika.
    "sasa tunafanyaje" hatimae J kwa mara ya kwanza tangu kuingia kwenye ndoa, anatoka nje ya ndoa yake.
    "najua unamke J hivyo sitaki nikupe jina baya bali nataka kila kitu kiwe siri kabisa. Mimi natangulia Kivulini Bar and guest, nalipia kila kitu wewe ukija utanikuta pale. Nimechagua kule kwa sababu hakuna mtu anaye kufahamu wewe" alisema Sophi, J akazichukua zile karatasi kisha akazitia moto. Akafunga ofisi na kutoweka kuelekea mahali ambako Kivulini ilipo. akatoweka na kupotelea barabarani.

    Kuna muda mwingine unashindwa kujiuliza na kuipa fikra yako kitu au kauli moja na yenye maamuzi kwa kuhofia jambo fulani pengine linaweza kutokea na kuharibu kabisa uhalisia wako. Hivi ni kweli uhalisia wa mtu unaharibiwa kwa maneno ya kwenye karatasi? Ninachokijua ni kwamba watu watatembea na hisia tu za kuwa fulani anafanya hivi na vile lakini ukweli wa mambo unao mwenyewe. Najiuliza kitu kimoja kuhusiana na J. fundi. Sidhani kama kweli J amekwenda Kivulini Bar eti, kwasababu ya kuogopa maneno ya kutishiwa kudhalilishwa ambayo yananing'inia kwenye karatasi. Napata mashaka sana japo wahenga walisema ya kuwa mdharau mwiba guu huota tende lakini pia na mimi nasema ya kwangu kuwa siku zote asili na tabia, havitengamani maana asili hujenga tabia japo tabia ni vigumu kuijenga asili. Nijuavyo mimi, mwindaji hujipa mapumziko ya muda na si kuacha kabisa kuwinda. J amelidhihirisha neno lisemwalo sana na wenyeji wa mji huu wa Muheza ya kwamba Asili haiachi asili ama mkondo wa maji hauachi maji. J kilicho mpeleka Kivulini Baa siyo yale maneno na vitisho vya Sophi, nakataa. J alikuwa ni kama mwindaji tu aliyejipa likizo ya muda na kwa muda huo anarudi kazini tena. Mtu asikudanganye bwana eti, oooh!, mwanaume akioa au mwanamke akiolewa ndiyo nwanzo wa kuacha uhuni. Nani kasema mwenye chake hukiacha. Pia kilichompeleka J Kivulini ni kutaka kujua je, kweli asemayo Sophi? Ni kweli Apple si teke bali Apple limepevuka? Hiki ndicho kikubwa sana alichokifuata huko lakini hakujua na laiti kama angalijua basi asingalithubutu kabisa kumkaribia huyo Sophi. Sophi alikuwa ni laana huyo mtoto, Sophi alikuwa ni mdudu asiye na mbawa za kuruka lakini anaijua safari kuliko ndege apaaye angani, Sophi alikuwa ni sumu, tena sumu iliyofika mwisho wa muda wake wa matumizi kwa lugha safi inafaa zaidi tukiita sumu juu ya sumu. Sophi alikuwa anaubia na shetani kwenye hii dunia kwa kuendekeza michezo michafu ambayo ni yenye kumchukiza Mungu kwa asilimia mia na ushee. J hakujua kuwa kitendo cha kumfahamu mtoto huyo ama Apple limepevuka kama anavyo jinasibisha mwenyewe, ni kuiharibu kabisa historia nzuri ya maisha yake. Ndugu msomaji, ni bora uwe kiwembe kuliko kuwa kiwembe kisichofaa kutumiwa ama kupewa nafasi ya matumizi kwenye jamii.

    Utulivu ulikuwa mkubwa sana majira hayo ya asbuhi ya saa 11:06 za asubuhi. Wakati J anaingia ndani ya hiyo baa, hakukuwa na mtu ambaye alikuwa akiwafuatilia kutokana na muda huo kila mjamuungwana kuwa katika hamsini zake. Pia hata kama kungekuwa na watu waliomuona asubuhi hiyo akiingia mahali hapo, sidhani kama kuna ambaye angejua kuwa kijana huyo anakwenda kuivunja amri ya sita kwa binti mdogo wa kupata miaka kumi na sita, binti ambaye kama anakutwa naye akimsulubu kitandani sidhani kama angeachwa huru na jamhuri hiyo. Lakini sidhani, nasema sidhani kwa sababu moja, Sophi si mtu wa kukubali kupikuliwa hata kama yuko na mtu aliyemzidi umri mara kumi. Sophi ni kama ana laana hivi, huyu mtoto.
    "habari yako dada?' alisalimia J mara baada ya kufika mapokezi mwa nyumba hiyo ya wageni jina. Dada yule aliyejikubua kwa rangi kedekede za kuinyurutisha sura yake pana iliyobeba lipsi pana zilizoruhusiwa kuachia tabasamu mahali hapo ikiwa ni katika kuzifuata kanuni na taratibu za kukijengea nguzo imara kibarua chake, jicho lililojazwa wanja wa kungu, au wanja wa kibiriti, wa uswazi wenyewe wanajua.
    " karibu kaka yangu naweza kukupa huduma" alihoji huyo dada huku tabasamu lake la urembo likiwa usoni vivo hivyo.
    "asante kunamge.......yaaaa! ok, asante yule pale" alikuwa akijing'ata ng'ata meno J kwa kushindwa kutoa maelezo sahihi kuhusu mwenyeji wake lakini uzuri na wepesi zaidi, Sophi akajitokeza na kusimama nje ya chumba alichofikia. Kitendo kile cha kusema tu yule pale, tayari alikuwa ameinua mshangao mkubwa kutoka kwa yule dada. Macho yalimtoka na midomo kubaki wazi, mshangao ukamkumba dada huyo. Binti mdogo kama yule kutembea na kijana mzuri na mtanashati, lilikuwa ni jambo la ajabu sana. Mshangao wa yule dada ukaonekana na Sophi mwenyewe. Mdomo ukakunjwa mithili ya mwanamke aliyepewa mualiko wa harusi ya hasimu wake. Mdomo ulikuwa mrefu mithili ya filimbi ya mgambo. Likafuatia sonyo kali lililokwenda kumrudishia yule dada utulivu wa lazima na majuto ya kuingilia visivyomuhusu. J akazama ndani na yule mtoto, huku nje yule muhudumu wa gesti akaapa ni lazima aufuatilie ule mchezo ili ajionee jinsi kijana yule anayeonekana yuko tafu, atakavyo baka mtoto mdogo.
    "karibu J wangu mwaya, ukihofia eti, ama kunyooshewa vidole huku wakisindikiza na maneno yao ya kejeli 'ni mwana ndai', huwezi kula vitu vizuri na vipya kwenye maisha yako maana vizuri na vipya vyote vimezunguukwa na mahasidi na wafisidi" alisema Sophi baada ya kutoa ukaribisho. J hakujibu kitu alikuwa akimkodolea macho tu mtoto huyo. Sophi akamuangalia kijana huyo kwa muda kisha akafikiri kwa haraka sana, akajua kama hatotumia mbinu za kumlaza ngamia kwa dua ili achinjwe, atakosa kile alichokisudia kukipata mahali hapo. J alikuwa hana mzuka kwa kweli, hakuwa akijua aanzie wapi kumgusa huyo mtoto ili aweze kumpa hisia. Hakupaona. Ni kweli Sophi alikuwa na kamwili ka majimaji, kamwili kenye nyama kwa maana nyingine. alikuwa na makalio fulani mbinuko kiasi ambayo ndiyo silaha aliyojuwa kuitumia kuwaumizia wanaume wakora barabarani. Makalio mtikisiko, makalio vibration, makalio ambayo ukiyatizama uwe rijali na mwenye tamaa, hapo utasimamisha tu. Muda wote huo Sophi alikuwa ameshausoma mchezo sasa alikuwa akitumia mbinu za ushawishi wa lazima. Aliitoa fulana yake ya juu kisha kuyaacha wazi matiti mchomo, matiti yaliyosimama dede kwelikweli, matiti hayo yalikuwa si ya mduara ila yalivimba kiasi kisha kutoa ncha mwishoni. rangi ya Sophi ilikuwa ni Chokoleti, sasa matiti yake yalikuwa yamebeba rangi tofauti na mwili wake, hayo yalikuwa na weupe wa kuumiza kama siyo kuharibu ngome ya ulinzi na usalama wa raia. J alishtukia tu funda kubwa la mate mazito likiingia kooni kisha kupotelea tumboni kwa kishindo kikubwa, yalikuwa ni mate ya tamaa. J alikiri moyoni kuwa hakuwahi kukutana na viembe nyonyo kama vile kwenye harakati zake za umegaji. Mara nyingi alikuwa akikutana na maembe bolibo, dodo ama muda mwingine mapapai yenye rutuba na yasiyo rutuba. Muda huohuo suruali yake ikasafirisha habari kwa mtikisiko wa kusukumwa na kitu chenye haja na kitu fulani. Macho makini ya Sophi yakaona, akatabasamu huku akimalizia kushusha skin jeans iliyombana vilivyo, mtoto akabakiwa na bikini ya rangi ya pinki iliyoyabana maungo yake ya siri haswa. Kwa jeuri na dharau, Sophi aliinama na kuziokota hizo nguo zilizokuwa chini kwa pozi kubwa huku akiwa kageukia upande mwingine na mgongo ukiwa umemtazama J. mtoto alikuwa akiokota hizo nguo huku akiwa anayatikisa makalio yake kwa kuzidi kuleta chachu zaidi kwa kijana huyo kisha akanyanyuka na kumtazama kijana kwa macho ya kumuuliza umeona mambo hayo. Sophi alitembea hivyo taratibu huku akiyatikikisa makalio hayo kwa sifa sana. J alisimamisha hadi akakoma mwenyewe, alijikuta akipata mshawasha wa kufanya ngono sasa na mtoto huyo. Lakini wakati wakiwa wanaringishiana humo ndani pamoja na kutamaniana, kwenye dirisha moja upande ambao ni baa, kulikuwa kuna mtu alikuwa akifuatilia ule mchezo bila chenga. Hakuwa mtu mwingine bali alikuwa ni yule muhudumu wa gesti hiyo. Sophi alirudi hadi alipo kijana huyo kisha akaanza mbwembwe za kumvua shati halafu akafuatiwa na suruali. Wakati akiwa anafanya hivyo huyo binti, J alikuwa tayari ameshaligusa kalio la huyo mtoto. Ulaini wa kalio hilo ukamtisha na kumshtua kabisa J. Lilikuwa ni kalio laini kuliko kawaida.
    "aiseei una kalio zuri sana we mtoto" alishindwa kusifia moyoni tu J.
    "siyo zuri tu J, sema ninakalio tamu. Ukiishia zuri tu utakuwa hujanipa mimi sifa" alijitapa huyo mtoto kwa deko kubwa. J hakuyatilia maanani hayo maneno, akili yake yote ilikuwa ni kwenye makalio akitoka makalio anahamia kifuani. Alikuwa tayari ameshaanza.

    ITAENDELEA

Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: