BREAK NEWS AJALI MBAYA ENEO LA GANGI TOLOLI KENTA LAWAKA MOTO NA KUUA WATU KADHAA WILAYA YA LUDEWA

Gari aina ya kenta usiku wa leo alfajiri gari bado halijaamika limewaka moto na kuua watu waliokuwa ndani ya gari hilo ndani ya miilima ya gangi tololi wilaya ya ludewa mkoa wa njombe,,
chanzo cha ajari hiyo bado hakijafahamika ila kaa nami nitakujuza mengi zaidi juu ya ajari hiyo
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: