Picha: Mafuriko ya Lowassa yalivyotua Chadema leo


Waziri mkuu wa Zamani Edward Lowassa  akiwasalimia wananchi alipowasili nje ya ofisi za makao makuu ya Chadema leo.
Waziri mkuu wa Zamani Edward Lowassa akiwasalimia wananchi alipowasili nje ya ofisi za makao makuu ya Chadema leo.
Hivi ndivyo ilivyokuwa wakati Lowassa akichukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) leo makao makuu ya chama hicho Kinondoni jijini Dar es salaam.

Kwa habari picha tazama hapa……………………..
Baadhi ya wananchi wakiwa na mabango.
Baadhi ya wananchi wakiwa na mabango.
Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akionesha fomu za urais  nje ya ofisi za makao makuu ya Chadema leo jijini Dar es salaam.
Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akionesha fomu za urais nje ya ofisi za makao makuu ya Chadema leo jijini Dar es salaam.
Wananchi wakimchanngia fedha Mbunge wa Monduli Edward Lowassa.
Wananchi wakimchanngia fedha Mbunge wa Monduli Edward Lowassa.
Mgombea Ubunge Sais Kubenea mwenye koti la suti (katikati) akizungumza jambo na baadhi ya wanachama wa Chadema.
Mgombea Ubunge Sais Kubenea mwenye koti la suti (katikati) akizungumza jambo na baadhi ya wanachama wa Chadema.
Mbunge God Bless Lema( wa kwanza kushoto)katika mkutano wa kumkaribisha Edward Lowassa.
Mbunge God Bless Lema( wa kwanza kushoto)katika mkutano wa kumkaribisha Edward Lowassa.
Vijana wa Ulinzi wa Chadema wakilinda usalama katika eneo la Makao makuu ya Cahdema.
Vijana wa Ulinzi wa Chadema wakilinda usalama katika eneo la Makao makuu ya Cahdema.

Mamia ya wananchi walio hudhria mkutano huo.Mamia ya wananchi walio hudhria mkutano huo
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: