Lowassa achukua fomu ya Kugombea Urais Chadema

Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akionesha fomu ya kugombea urais mara baada ya kukabidhiwa leo.
Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akionesha fomu ya kugombea urais mara baada ya kukabidhiwa leo.
Mbunge wa Monduli Edward Lowassa leo amechua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya Chadema katika hafla iliyofanyika makao makuu ya Chadema Kinondoni  jijini Dar es salaam.
Umati mkubwa wa wananchi umejitokeza kushuhudia tukio hilo


Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akimkabidhi fomu ya kugombea urais Mbunge wa Monduli Edward Lowassa leo makao makuu ya Chadema.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akimkabidhi fomu ya kugombea urais Mbunge wa Monduli Edward Lowassa leo makao makuu ya Chadema.
Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akiwasalimia wananchi.
Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akiwasalimia wananchi.
Lowassa akiwaonesha fomu wananchi leo makao makuu ya chadema.
Lowassa akiwaonesha fomu wananchi leo makao makuu ya chadema.
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: