ONE DAY YES sehemu ya 6

Jivunie kuwa mwana ludewa
















ONE DAY YES

Sehemu Ya 6

Mtunzi..... MoonBoy

Simu No. +255714419487 WhatsApp

Ilipoishia Jana ↓

sasa nimekuja kujua kumbe hawa sio watu kama nilivyotarajia.... maana watu wa tanga wanapokwenda kwenye vigodoro au mdumange hua wana tabia ya kuvaa madira (magauni ya kushonesha) yanayofanana.... sasa nikajua nao hawa ndio walewale wamama wa vigodoro..... kumbe sio watu waskini ya mungu.. sasa nimekumbuka shuka na wakati kumekucha...... sijakaa vizuri mara mwingine kaja na staili ile ile ya kutokea Aridhini.... ila huyu alikua kavaa gauni jeusiiiiiiii tiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

ENDELEAAA



Nilikua nimeshaanza uoga juu ya watu hawa. na kama sio kuona jinsi wanavyotokea aridhini. basi nisingejua kamwe kua sio watu kama nilivyotarajia..... Hapo tulipo palikua na miti mirefu. afu palikua na misufi, mibuyu..na kadhalka. mtoto wa kiume nilianza kua kutetemeka baada ya kumuona mkuu wao, Nilitamani pachimbike ili niingie ndani ya ardhi Maana najua hapa tayari nishaaharibu madhingira yao... Kifupi siwajui ni akina nani kwani sijui kama ni mizuka au majini au mizimu Daaaa kweli hapa kazi ipo, Nilikua naomba mungu ili kisinikute kibaya juu yao..

Ghafla nilimuona yule mmoja mwenye nguo nyeusi akiwaamuru wenzake kwa ishara ya mkono tu... kua waondoke.... Mmmmmhhh hio staili walio ondoka nayo duu sikuamini macho yangu, Sasa nikawa nimebakia na huyu mwe gauni jeusi, Nami pia sikutaka kuongea tena wala kuliza, bali nilinyooshewa mkono na kuelekezwa njia ya nyumbani ilipo.. yaani kaunyoosha mkono wake kule nilipotoka, Ili nisiendelee kwenda mdumange.... Sasa baada ya kuruusiwa kuondoka kwenda kwangu. mara na yeye kapotea ghafla ghafla... Sikutaka hata kuzungusha kiuno pale Nilifunguka na hizo mbio.. yaai ungeniona ungecheka mwenyewe kwa jinsi nilivyokimbia.. Breki ya kwanza ni nyumbani kwangu na kuingia ndani huku nikihema hema juu juu kama jibwa vile
"nini wewe baba saidi?"
"mmh we acha tu mke wangu"
"sasa mboa ulikua unakimbia jamani?"
"unajua nini mama saidi? nimekutana na watu fulani wamevaa nguo nyeupe pyeeee"
"enhe sasa ikawaje?"
"ooohoo saa ngapi hawajaanza kunizunguka.. ila kabla hawajanigusa mara mkuu wao akatokea"
"kwahio we ulitoka mikonon mwao?"
"mmm nilitoka kwa msamaa.. Yaani walinisameee wenyewe tu"
"mmhh mume wangu una majanga wewe duu pole"

Nilimdanganya mke wangu kua nilizuiliwa nikiwa natoka kuchukua kondom... kumbe walaa ni nilivyokua naenda kwenye mdumange. Sasa mtoto wa kiume hata hamu ya mapenzi yenyewe ilikata kabisaa. Nikaweka kondom mezan kisha nikalala zangu..
"nini sasa?"
"nini sasa nini?"
"mbona umeziweka uko?"
"aaa sijiskii tena"
"Ah ah bwana mi nataka bwana"
"jamani mama said nimechokaa"
"staki bwana mi nataka mmhhh"
Mke wangu alianza usumbufu wa hapa na pale wa kunidandia dandia huku akininyonya denda.. mpaka stimu zikarudi,

Basi nami sikumnyima nilianza kumpa haki yake ya ndoa.. ili isije kua ndoa ndoano
"we baba saidi vaa kabisa kondom"
"tulia nitavaa tu"
"bwana tutajisahauuu"
"mmhh haya ngoja nivae bas"
Nilinyanyuka na kuvaa kondom chapu afu tukaendelea kudendeka. wakati huo mke wangu alikua ana chupi tu afu na vile nae mke wangu alivyo sii haba na umbo lake. duuu ilikua ni raaaha. Basi mke wangu alifikia mahari akawa abahitaji dudu yangu. Nami nikaitika "naam"
Nikamueka sawa kifo cha mende kisha nikaivua ile chupi yake iliokua imejaa nye*** kibao yaani chupi imekua nzito vibaya mno. yaani ile kuvua tu mke wangu analia kwa jinsi ninavyoivua kimadoido fulani hivi
Baada ya hapo niliiweka miguu yake begani na kujiandaa kuingiza mambo. Niliishika nanii yangu vizuri na kuiingiza katika buyu la asali. na kujiminya kimtindo
"sssiiiii Aaiiiiiiiii baba saidiii"
"nini mke wangu? vinauma nini?"
"ah ah vitamu we endelea tuuu"
Basi nilianza kufanya kazi ya mhangaiko wa huku na kule chenga mbili tatu ili nipate goli la haswa

Ilituchukua kama masaa matatu hivi hadi mke wangu hoi hoi hajiwezi utadhani ni mgonjwa vile
"mke wangu vp mi bado"
"bwana mi staki tena..."
"aaaa mke wangu yaani kupizi bao mbili tu ndio uchoke?"
"mmhh baba said hebu pumzika kidogo. mi mwenzio nimepizi bao 4 tofauti na zile za nje ya chupi.. kweli hapo nisichoke jamani mume wangu?"
Nami nikaona daa afu kweli mke wangu kachoka bora nimuache. maana hata hivyo sina hamu tena ya ngono, licha ya kupizi bao mbili tu

Basi nilivuta shuka na kuuchapa usingizi wa nguvu na wa afya teleee

Ilipofika saa 11 alfajiri niliamka na kujianda vizuri kwa ajiri ya safari ya kuelekea mjini.
Nikachukua maji ya kuoga kisha nikaenda kujimwagia maji kimtindo
Afu nikaja nikavaa minguo yangu ambayo binafsi naona ndio nguo za kusafiria..
"mke wangu? mama said?"
"mmhhh"
"safari imeiva hivyo"
"jamani mume wangu ndio unaondoka?"
"ndio mke wangu ndio naondoka hivyo?"
"jamaniiii iiii uuuiii mume wanguu"
Mke wangu alianza kulia na kunipa na mimi simanzi nzito ya kuanza kulia
"mke wangu? usijali kwani nimeona kaka yangu kazamia mjini nami wacha nikajue kilichomsibu na kujaribu ipepo wa huko ulivyo. na pia mambo yakiniendea vizuri nitakutumia nauli uje tuishi wote mjini hivyo naomba unyamaze kwani machoz yako huenda yasiwe ya kheri na baraka sawa mke wangu?"
Nilimtuliza mke wangu na kumfariji kiasflan ili atulie. Na kuendelea kuishi tu.
"sawa mume wangu ila ujue kua huku umeiacha familia katka madhingira ya hali kama hiiii iiii uuiii"
"usilie basi mke wangu kwani ukilia nami utaniliza mama"
"sawa mume wangu nakuombea safari njema na mafanikio juu yako"
"nashukuru mke wangu kwa kunitia moyo kama huo.. nami nakuahidi nitawakumbuka kila siku ya maisha yangu yote. na pia nitakua nakuja kila baada ya miezi 6 nitakua nakuja kuwasabahi mke wangu"
"sawa safari njema kwako"
Mke wangu alikua akiniaga lakini kama roho yake inasita. yaani haamini kama kweli naondoka...
"Ooopssii nilisahau kukuachia simu daa sijui ningekurushiaje pesa mungu wangu"
"unaniachia simu?"
"ndio au hutaki?"
"nataka bwana nipe na mimi nioshee"
"shika hii simu mpya, mana mimi siiwezi kuitumia hivyo wewe huenda ukaiweza na pia ina laini mpya huko ndani"
"haaaa mume wangu asante.. na mimi nitamringishia mke mwenzangu"
"ah ah usifanye hivyo bhana"
Yaani anasema atamringishia mke wa kaka juma eti kwakua yeye hana simu... maana kijijini huku hua wanaomiliki simu ni wanaume tu... ukimkuta mwanamke nae ana simu basi ujue kwao sio mbaya....
"sasa namba yako? umeisevu tayari?"
"ndio nimechukua na hio ya kwako pia"
"asante mume wangu"
"ok sasa namba ya siri ya m-pesa ni mwaka aliozaliwa saidi. yaani 2014 sawa?"
"sawa... kwaio ukirusha hela naena pale kwa mgosi natoa tu?"
"ndio ila ukiisahau hio namba ya siri hutoi pesa"
"mmhh ivi kuna mama anaweza kusahau mwaka aliomzaa mwanae kweli?"
"mmh sijui"
"mume wangu.. utukumbuke basi. ujue huku umetuacha katika madhingira gani"
"usijali mke wangu nitawakumbuka wote kwa ujumla mke wangu"
"apo najua unamuacha mtoto ana miezi 6 Mpaka ukirudi keshaanza shule"
"haaaaaaa Amna bhana siwezi kufanya hivyo mke wangu.. tena umenikumbusha hebu nimbusu side wangu"
Basi nilimuaga mnyamwezi wangu kisha na kumpa mke wangu bonge la denda huku tukikumbushana kwa yale tulioyafanya usiku
"mume wangu? naomba uiheshimu ahadi juu ya ndoa yetu"
"usijali mke wangu"
Niliingiza mkono mfukoni na kutoa shilingi elfu 20 na kumpa mke wangu
"mke wangu naomba bania matumizi... simu hio haina haja ya kueka vocha, mwenye shida akupigie yeye tu sawa?"
"sawa mume wangu nitabania tu"
"ila mtoto wetu usimbanie mpe bonge la uji zitooooo sawa?"
"Ehhehehehe kwaio unamjali mwanao kuliko mimi?"
"Ah ah simaanishi hivyo ila si unajua ni miezi 6 toka aje duniani hivyo kape msosi wa maana ili kidume kikue fasta au sio mke wangu?"
"sawa tuu nitafanya hivyo"

Nilianza safari huku nikimuangalia mke wangu kwa huzuni kubwa. na yeye pia alianza kulia kwa uchungu huku akinipungia mkono, Nami nilimpungia mkono huku nikitokwa na machozi ya huzuni kwa kuiacha familia yangu katika madhingira magumu mno,

Ila sikukata tamaa wala nini nilichukua toyo muda huo na kunipeleka hadi stendi ya magari. nikicheki simu yangu inaniambia sasa ni saa 12 asubuhi.. Nilipanda gari moja aina ya NGORIKA... Ilipofika saa 1:30 safari ya kuelekea arusha iliwadia.. Tuliianza safari mapema tuuu

Ilipofika mida ya saa 8 mchana tulikua tupo mombo pale.... basi watu na pesa zao walinunua vya kununua pale. Kisha safari ikaendelea mbele. Ilipofika mida ya saa 10 tulikua moshi maeneo ya mwanga... Lakini tukiwa katika safari tena kwa mwendo wa kawaida tu.. lakini kulitokea basi lingine liliokua likiende moshi mjini sasa yakiwa yanapishana ile gari ya moshi ilipasuka tairi na kuja kugongana na gari yetu uso kwa uso lakini ajali hio haikua kubwa sana kwani hakuna gari iliokua na kasi hata moja lakini ilileta matatzo

Nikiwa nipo chini ya siti ya gari nilikua sisikii maumivu yeyote yale mwilini mwangu. kwani hata watu waliopo katika gari yetu wote ni wazima na gakuna alieumia hata mmoja. Sasa kile kitendo cha kusema niamke chini ya siti hio... maana hata sijui niliingiaje huko chini ya siti... Sasa nilijikuta hata kusimama siwezi
Aaaaayaaaaaaa kumbe nilishavunjika mguu wa kushoto na mkono wake. Aisee nilianza kulia kwa uchungu huku nikiikumbuka familia yangu

Punde sii punde waokoaji walifika na kutoa majeruhi wote. lakini ukweli ni kwamba majeruhi nilikuepo mimi mwenyewe tu. na wengine wote ni wazima tena ndio kwanzaa wanacheka.. sasa nikashangaa kwanini watu wanacheka kwenye ajali. sasa nilipoangalia na hao waokoaji wenyewe heeeeeee nao walikua wanakaukia vibaya mnoooo.... sasa sijakaa vizuri nikapata upenyo wa kuona gari ya moshi kwa ndani.. ilikua inachuruzika damu tuu. kana kwamba katika basi lile hakuna aliopona hata mmoja. Sasa nikajiuliza mbona basi lile la moshi watu wamekufa wote. afu basi hili letu watu wanakaukia vibaya mno kwa kucheka. yaani utafikiri walikua wanaangalia komedi flani kwenye tv lakini wapi hakukua na tv wala nini... Sasa nikamuuliza huyu muokoaji mmoja
"broo mbona mnacheka aiseee?"
Oohoo yaani ndio nimewaongezea kasi ya kucheka zaidi.. yani ndio wamezidi kucheka kwa kasiii... Lakini nikajiuliza hawa ni waokoaji gani wamevaa suti nyeusiii tiii afu zote zinafanana... Sasa mmoja akanifata pale nilipo.. huku wale abiria wote wakaanza kunigeukia mimi na kuendelea kupasukiwa kwa vicheko... nikaona hawa huenda wamejua kua kutatokea ajali.. au wameifurahia hiii ajali...
Sasa muokoaji alianza kunii kwa mkono
"njoo usiogope"
"kwani we ni nani?"
Wakaanza kucheka wotee kwa pamoja
"Aaaahahahaha ahahahaha Aaaahahahahaha Ahhhahahaha Ahahahaahaaaaahahaahaha"
Sasa nikaanza kuogpa sasa na kuwashtukia hawa abiria kua huenda wasiwe sio waokoaji na wala sio abiria,........

Haaaaa sasa kuangalia chini ya siti nilishangaa kuona miguu ya abiria wote ikitetemeka kwa staili moja.. yaani jinsi inavyotetemeka hawapishani kabisa utafikiri ni madansa wa diamond

Sasa nikajua hapa siii mahari pa kukaa tena. hivyo nilijitahidi kuamka na kutaka kutokea dirishani... Nilivutwa miguu na kupigwa kibao kimoja tu cha utosi.... Kilichonifanya nipoteze fahamu pale pale ndani ya gari
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: