MAJAMBAZI WATIKISA JIJI KUELEKEA X-MASS
Watu wanaosadikiwa ni majambazi wamevamia duka la TIGOPESA,MPESA lililopo mitaa ya Morocco nyuma kabisa na Jengo la Airtel na kumjeruhi kwa risasi mwanamke aliyekuwa anapita karibu na eneo la tukio.Kwa habari zaidi zanasema dada aliyepigwa risasi bado yuko hai baada ya risasi iliyopigwa kumparua tu.
0 comments:
Post a Comment