i wish u happy chrismass and new year
Sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow linazidi kuwakumba vigogo serikali ambapo katibu mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amemsimamisha kazi rasmi katibu mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi kupisha uchunguzi dhidi ya kutowajibika katika katika sakata hilo.
Aidha, Balozi Ombeni Sefue amemsimamisha kazi Bw. Maswi kuanzia Jumanne ya Desemba 23,2014 kwa mamlaka aliyonayo kwa watumishi wa umma wanaoteuliwa na Rais.
Naibu katibu mkuu Wizara ya Nishati na maadini Mhandisi Ngosi C. Mwihava atakaimu nafasi ya Katibu Mkuu Bw. Maswi hadi pale uchunguzi utakapokamilika dhidi tuhuma zinazomkabili
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment