SECONDARY SCHOOL sehemu ya 9


SECONDARY SCHOOL

Sehemu Ya 9

Mtunzi..... MoonBoy

Simu No. +255714419487 WhatsApp

Ilipoishia Jana →↓↓

"kaka sheby?"
"sema?"
"videole vyako vina nini?"
"havina kitu dija"
"sasa mbona huvitumiii?"
Niliishika ile kanga yake na kuivuta kabisa na kubaki uchi wa mnyama
"kaka sheby"
"dijaaaa mbona unaita sanaa?"
"wala siiti sana ila angalia usije ukawa unamenya dafu Alafu kulila huezi"
"aaaaaah dija hayo ni matusi sasa"
"wala sio matusi kaka sheby coz mimi hapa nilipo nahitaji maandalizi mazuri toka kwako"
"kwahio we unaona mi siwezi sio?"
"kitu kama hicho coz mbona hata sio likivimba na wakati ushanivua nguo"
"livimbe nini sasa?"
"si huo muhogo wako"

SONGA NAYOO



Dija aliniuliza maswali mengi ambayo sikuweza kujua majibu yake coz kitu alichokua anakiongea kilikua ni kama kweli ila sio kweli hivyo niliendelea kumshika shika na kumnyonya matiti yake...
"kaka sheby?"
"nini dija?"
"nataka niinyonyonye nanii yako"
sasa nikiwa najibalaguza kuitoa nanii yangu ili inyonywe niliona kuna watu wanatuchungulia huku nikimsikia zaituni akisema
"mama? mama? njoo umuone kaka sheby kitu anachofanya huku nyuma"
"anafanya nini?"
"yupo na hadija afu sheby amemkumbatia hadija akiwa uchi"
"weeee zai unasema kweli?"
"ndio njoo umuone mwanao unaemsemea kua sio rijali"
"jamani mwanangu kumbe anaweza"
"umeona sasa kua umezaa kidume?"
"kweli mwananfu nilijua sio rizki kumbe anaweza jamani?"
Sasa nikiendelea kutafakari maneno yao kati ya mama na dada yangu zaituni, nilishangaa naitwa na anti mwaju
****

"we sheby? sheby?"
"naam anti?"
"huend msikitini saa hizi saa 12:30 jioni hii?"
"haaaaa kumbe kumekucha afu aseee daaahh ngoja nikatawazie msikitini tu"

Aiseee kumbe nilikua naota vile tulivyokua tukifanya na dija... ilikua ni njozi tu aiseee duuuu...
Sasa nilipojicheki kwenye bukta duuu nilikua nimesha jichapia bao.. daahhh ile njozi ni mbaya sana kwangu..
Niliingia bafuni tena na kuoga ili kutoa ule uchafu nilioutoa baada ya ndoto ile chafu..

Nilipomaliza kuoga nilitoka na kuvaa kanzu kisha nikatoka zangu kuelekea msikitini... kwani hata kuchukua uzu nitachukulia msikitini. kwani naogopa kwenda huko nyuma ya nyumba ili yasije yakanikuta ya ukweli ukweli..
Hivyo nilichukua baiskeli yangu kama kawaida kisha nikaelekea masjidi

BAADA YA SIKU HIO KUPITA

Na leo ni juma pili mida ya saa 4 asubuhi. Nikiwa tayari nimeshafanya yangu ya asubuhi subuhi kama mazoezi vile na vingine vingi tu.
Leo juma pili sikua na pakwenda na hata mama leo yupo nyumbani, kwani juma pili hua hafungui dox lake lenye nguo za jinsia zote. Tulikua tunakunywa chai mezani na tulikua tupo kafamilia kote kasoro wafanya kazi tu ila Anti mwaju hua tunakulaga nae meza moja...
Tulikua tukipiga story za kumtania Anti mwaju kua ujana wake wote hana mtoto hata wa dawa. Ilikua ni utani tu ila yale maneno ni kama yalimchoma kiasi flan na kuanza kububujikwa na machozi, Kila mtu aliomba msamaha kwa maneno alio ongea na hata mama angu pia alimuomba msamaha kwa kumkosea. ila mimi sikusema chochote kuusiana na hilo. nilikua kimyaaa
Na mama na dada nusura wanajua kua mwanae alifariki pale alipojifunguaga. Hivyo ukiongea nae kuusu mambo ya watoto basi hua ni lazima aangue kilio...

"afu sheby mwanangu?? vp lile swala la uhamisho wa shule?"
"aaa mmaaa mi sihami bwana"
"sheby mwanangu unatutia aibu mwanangu"
"aibu gani?"
"shule unayosoma ni ya kimaskini sana na haikufai kabisa mwanangu"
"mi sihami bwana"
"ngoja baba ako aje"
"kwani anarudi lini?"
"we subiri tuu si kesho ndio anakuja"
"Amna bwana mi sihami na nshasema ivyo sihami"
Nilikasirika sana kuskia mambo yao ya kunihamisha shule, na ni watu wawili ndio wanapenda nihamie huko kwenye lishule lao ambalo wanafunzi wake huenda na kila anachokitaka.. Nilitoka zangu nje na kukutana na rafiki yangu jakson. alinipitia nimpeleke shoping

"Aaa jack niaje mtu wangu?"
"poa nambie?"
"daahh nashkuru mungu alhamdulilah tumeamka salama"
"mbona tulipanga saa 4 kamili afu hukuja asee?"
"aayaaa sory jack kwani nimekuweka sana?"
"daa sio sana but unazingua chalii"
"ok poa am so sory my friends"
"tatizo lako huna simu sheby"
"lakini si ungekuja kugonga geti jack?"
"Eeeee hapo kwenu nije nigonge geti kweli?"
"kwani kuna nini?"
"eti kuna nini wakati mjengo wenu kama mjengo wa raisi nije nitolewe baru"
"aaa waapi bhana huo ni woga wako tuu"
"ok twenzetu"
Basi tulipanda kwenye gari ya jackson na kusepa zetu shoping.. Jackson pia yeye anasoma kwenye ile shule ya kitajiri kule anaposoma zaituni, Yaani marafiki zangu wote wanasomea shule hio ya kitajiri ambayo ni ya kihuni sana. coz mwanafunzi anaingia class na simu. au ananyoa kiduku kabisa.

"sasa jack? leo juma pili kuna dox yeyote ipo wazi kweli?"
"kuna moja ambayo haifungwagi siku za juma pili"
"aaaa poa"
Haikuchukua muda mrefu tulifika dukani hapo ambapo kulikua kuna nguo za kila aina, ila halikuti duka la mama angu. coz duka la mama angu ndio duka kubwa na la kwanza katika jiji hili la arusha, Tena karibia madox yote ya hapa mjini huwa wanakuja kufungashia pale kwetu. maana mama angu anauzaga kwa jumla na reja reja, Basi tuliingia ndani ya duka hilo na kuanza kuchagua viwalo.

"jack?"
"sema"
"huko si upande wa wanawake huko?"
"amna nacheki cheki na boxer huku na pia demu wangu kanigongea nimchukulie skin kama mbili"
"duuuuuu haya bwana"
Mi nilibaki kuangalia tu mipamba iliopo hapo, Sijakaa vizuri niliona watoto wakali ambao walikua kule ndani ndani ya nguo zao kule nao walikua wakichagua vyao,

Nilshangaa mtoto mmoja kaniita kule kule ambako kuna nguo za ndani za kike, yaani hio rumu moja ina nguo za ndani za kike tu. Hua siwazi kitu japo spendagi kabisa ila nilimueshimu tu.
"mambo mkaka?"
"poa tu"
Nilianza kumuona akiniangalia kuanzia chini mpaka juu, huku akirembua. nikajua huyu ndio wale wale wanawake wa mjini, Sijakaa vizuri mara akaanza kunishika shati yangu
"nini we dada?"
"plz naomba uniseidie kuchagua nguo"
"tafadhali sana naomba tueshimiane sawa?"
"jamani plz mkaka"
Mtoto alikua anatamani kulia kabisa kisa nimsaidie kumchagulia nguo..
"ok sawa twende sasa nikakuchagulie"
"wapi? si hizi hapa"
"mschiuuuu"
Nilimsunya afu nikamsukuma uko
"sheby mbona unamsukuma dada wa watu?"
"jack uyu dada hana akili kabisa, yaani ananiambia mi nimchagulie chupi"
"lakini sheby? kwani kuna ubaya gani?"
"eeee huoni ubaya hapo ee?"
"sioni mimi, tena kitoto cha watu kikali ile mbaya yani"
"jack tutagombana sasa hivi... coz nazani unanijua vizuri hua kugombana hatukawii"
"ok poa basi yaishe... nishamaliza kama vp twenzetu"
Tuliondoka pale lakini jack alirudi nyuma pale alipoitwa na yule mdada niliemsukuma muda si mrefu.. ilionekana kama walikua wanapeana namba za simu,
Sikutaka kuwafatilia coz kwangu niliona ni ujinga tu
Basi jack alikuja kisha tukapanda gari.. tayari kwa kurudi nyumbani
Tuliondoka zetu hapo dukani tukiwa na furaha yetu binafsi
"sheby?"
"sema?"
"kumbe mtoto alishakupenda asee Afu na wewe unakua na ugumu wa ajabu ajabu ambao hauna hata maana coz hata huyo shehe wenu ana mke na kama hana mke basi atakua na mchumba je? wewe ni mtu gani usiotaka urafiki na wanawake?"
"jack naomba tueshimiane sana tena sana"
"ok poa basi yaishe"
Tulifika mahari mimi nikashuka zangu na kuelekea nyumbani. coz na yeye pia alikua keshafika kwao,

Ilikua ni mida ya saa tisa hivi nikiwa nyumbani napata chakula. Nilikumbuka kua mida ya saa kumi tutaelekea mpirani... kule maeneo za soeto kule kwenye basketball coz hua napendaga sana kuucheza,
"sheby una safari gani jioni hii?"
Zaituni ndio aliniuliza hivyo huku akiwa kama anajiandaa
"sina but naitaji kwenda mazoezini"
"mmhh basi kama una pakwenda coz nilitaka unipeleke mahali"
"we nenda tu mwenyewe"
Basi nilimaliza kula kisha nikavaa nguo za mazoezini, na kutoka zangu
Huku nikiwa nimeshika mpira wa basketball Kuelekea soweto uzunguni,

Nilimpitia jackson ambae ni rafiki yangu wa karibu na pia ni jirani angu.
Nilimkuta dada ake na jack ambae ni pacha wake aitwae jackline, Nilimuuliza mdada huyo ambae alitoka kumwaga maji nje,
"samaani sista"
"bila samaan"
"Aaaa kwanza sijakusalimia, Mambo zako?"
"poa mzima wewe?"
"nmhh mi mzima naaa sijui nimemkuta jack?"
"ndio yupo ndani"
"sijui utaweza kuniitia?"
"mmhuu ingia tu ndani"
"apana bwana niitie tu"
"ok poa basi ngoja nimuite"
Dada alikua ana makusudi duuu masna alikua akinitingishia nyuma utafikiri napendaga kumbe walaa sina hata mpango nao, Nilikua nimetulia hapo nje nikiwa namsubiria jackson mchizi wangu japo ananishaurigi ujinga ila haina noma.......
"we jackiiiii?"
"nini wewe unanisumbua?"
"unaitwa na mwenzio huku"
"nani uyo?"
"we si utoke tu? kwani ni mzazi humo ndani?"
"afu we pumbavu ushaanza kunizoea ee?"
"nikuzoee we pesa?"
"ipo siku itakunyoosha tu mwehu wewe"
"lione vile hebu toka uko unaitwa"
Walikua wakigombana hawa ndugu tena ni mapacha wa kiume na wakike. na wote ni jack jack....
Mi nilijua ni mimi na zaituni ndio tunagombanaga nyumbani kwetu kumbe hata hawa duuuu

"aaaa the don sheby nambie babu?"
"poa sema?"
"fresh tu vp? naona upo na basketball?"
"yes ujui torati nini?"
"aaaaaa nisijue tena?"
"ok twenzetu basi"
"poa ngoja nivae gwanda"
"fanya fasta si unajua tumesha too late babu?"

Basi jack hakuchukua muda akatoka kisha tukaelekea mpirani kwa miguu na wala sio kwa gari. Kama kawaida yetu story za hapa na pale haziishi..
"oyaa mbona ulikua unamkoromea sista wako?"
"aaaa anazingua sana yule"
"amna bana mueshim sista wako afu istoshe pacha sasa"
"tatizo hata yeye hana heshma na mimi"
"mmhhh poa bana ila najua hata mimi nina bifu na dada yangu ile mbaya"
"hehehehehehehe kumbe hata nyie? afu dada yako anaonekana korofi lile"
"weeee ni mkorofi yuuuuleee ooohoooo ni shidaaa"
"mmhhh mi sipo huko"
Basi tulifika uwanjani ambapo tulianza mazoezi ya kucheza basketball huku mademu wakiendelea kushangilia huku na kule,
"mmhhh sheby? mbona mademu wanakushangilia wewe tu?"
"mmhh mi sijui"
"mmhh sheby we utakua una nyota ya mademu wewe sio bure"
"kwanini?"
"yaani sisi tunafunga tena magoli ya point lakini hatuoni kelele ng'oo ila wewe ukimpokonya mtu mpira tu mademu wote wanakushangilia"
"acha hizo bana mi sijui ni kwanini?"
Basi tulikua tunaendelea kucheza mpira wa mikono uitwao BASKETBALL...

Ilifika mida ya mpira kuisha basi mademu walikua wakinipongeza kwa jinsi nilivyokua nacheza ila sijafunga hata bao moja lakini sifa zote nilikua namwagiwa mimi utafikiri ndio nilikua mfungaji bora....

Sasa kuangalia huku na kule simuoni jack
Nilianza kumtafuta muda huo wa kwenda nyumbani... ilikua ni muda wa saa moja kasoro.
Nilimuona mahali akiwa na demu afu akanikonyeza kua nitangulie tu home coz keshajipatia demu.....

Basi mademu walinipongeza kila mtu na maneno yake. Lakini mimi ni wambuzi ule ule kua sitakagi utani na mwanamke wa aina yeyote ile
Sasa nikiwa zangu njiani huku nikidundisha dundisha mpira chini.
kuna jamaa alikua akinifata nyuma nyuma
"mambo?"
Alinisalimia lakini niliishangaa sauti yake afu yeye ni wakiume kabisa
"poa nambie?"
"saafi tu"
Niliendelea na safari yangu huku nikiuchezea mpira
"oya mkaka mbona kauzu ivyo?"
"yes kauzu ndio staili yangu"
"waaaooo hua napenda wakaka wakauzu"
"samaani sana hio ni sauti yako au unaigiza hapa? maana wewe ni wakiume wewe"
"bwana mi nishajitoa mapemaa"
"kivipi yani?"
"mmmhuuu mi nataka tuongee basi na kama ni swala la pesa usijali"
"tuongee kuusu nini? au una timu ya basketball tushindane?"
"waaaaalaaa tuu"
"ok samaani naomba niwai nyumbani"
"oyaaaaaa"
"nini we chaliii?"
"una bodi zuri"
"skia we chaliii naomba tueshmiane sawa? laa sivyo utachezea kichapo sasa hivi"
"aaaaa mtoto hensamu hupaswi kua na mkorofiii"
"afu we..... kama vile nishakushtukia wewe"
"kivipi?"
"usikute we ndio dume jike wewe"
"mmhhuu nashkuru kwa kulifahamu hilo... sasa vp utaweza kuniudumia?"
"weee faalaaa nini wewe hebu nitokee hapa"
Sasa nilipokua naondoka kibabe babe nilikutana na wengine tena kama sita hivi afu walikua na mabody ya kimazoezi vizuri tu.... nikajua leo napigwa mpaka raha yaani leo naivishwa hapa duuu
Sasa nikaanza kurudi nyuma nyuma huku nikikaa tayari.. ila huyu mmoja wa kwanza akaniambia kua
"usikimbie hao ni wenzangu na walinituma nianze mimi"
"kwaio hawa nao ni wanaume feki kama wewe?"
"ndioooo vp utatupa huduma eee?"
"samaanini sana jamani naombeni njia"
Mara mmoja kati ya wale sita akajitokeza na kusema
"mbona mademu walikua wakikushangilia pale na hukua ukisema chochote zaidi ya kutabasamu tu sasa iweje sisi utukunjie ndita?"
"sikia broo naomba ujieshim sana"
"na sisi tunasema hivi sikia broo tumekuona una body ya kutuhudumia na kuna muda ulipokua unaruka tuliona umbo la naniii yako hivyo tumeipenda broo"
Daaahhh mtoto wa kiume nilikua nashangaa kwa jambo ambalo kwangu ni geni kabisaaaaa......

Nilianza kutafuta njia ya kukimbilia ili niwakwepe wasije wakanikazia hapa hapa... Sasa walinishtukia kama nataka kukimbia. maana hata kugombana nao siwezi coz wapo kama saba hivi.
"broo vp tusaule zetu?"
"sikieni mimi sitofanya ushetani wowote na nyie"
"dogooo afu unajua we bado dogo sana afu ndio tumeitamani nanii yako iyooo si ujivunie kua kidumee wewe?"
Duuuuu sikukaa vizuri nilishangaa nimedakwa na watu wawili huku mmoja naona keshaanza kusaula nguo zake... yaani hawa wanataka mimi ndio niwafanye wao
Sasa nikiangalia mtoto wa kiume nilikua nimesha taitika afu huku mwingine ndio kwanza ananisigelea kinyume nyume eti niduu nae na wakati ni wakiume....
"skieni washkaji"
"nini dogo kama ni pesa tutakupa kikubwa utufikishe mzigoni"
"sikieni basiiiii"
"tusikie nini wewe mkamue mwana uyooo"
"Oyaaa mimi ni mwenzenu nipo kama nyie rafki zangu"
"Eti nini??? yani na wewe pia upo kama sisi? sasa kwanini tusijiunge pamoja upige pesa dogo?"


Je? Ni kweli mimi ni __________ Na kama ni ndio je ilikuaje mpaka nikawa hivyo????

Usikose kesho mida kama hiii

Ukiipita bila LIKE jua ndio utaikosa hio ijayo

Hivyo Hebu Press LIKE uifanye ijeeee

CHADEMA yakomaa na NEC, ni kuhusu matokeo kwa njia ya "Computer"

Vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi - UKAWA vimeitaka Tume ya taifa ya Uchaguzi NEC Kuunda kamati ya Pamoja ya vyama vya siasa pamoja na wataalam wa Tehama kutoka katika vyama hivyo ili kuchunguza mfumo wa Computer Utakaotumika kuhesabia kura ili kujiridhisha kutokuwepo kwa Suala la wizi na Uchakachuaji wa kura wakati wa kutoa matokeo ya Urais.
 
Akizungumza na waandishi wa habari jijini dsm Naibu katibu mkuu wa Chama cha demokraisa na maendeleo CHADEMA John Mnyika amesema mfumo uliopo ambao ndiyo utakaotumika katika kuhesabu kura bado wanautilia mashaka na kuitaka tume hiyo kutoa ruhusa kwa wataalam wa IT kuufanyia uchunguzi.
 
Kauli ya Mnyika inafuatia kauli ya Mwenyekiti wa tume ya taifa ya Uchaguzi,Jaji Damian Lubuva kwamba Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa huru na haki na hakuna suala la wizi wa kura kwa sababu ya kuboreshwa kwa mfumo utakaotumika kuhesabu matokeo ya kura ikiwemo kubandikwa kwa matokeo ya urais, ubunge na udiwani katika Vituo husika.
 
Aidha amesema Ukawa wanapingana na kauli ya M/kiti wa Tume kuwa baada ya upigaji kura watu watawanyike ambapo Ukawa imetoa wito kwa wafuasi wake kufuatilia matokeo ya upigaji kura katika maeneo yao.
- See more at: http://edwinmoshi.blogspot.com/2015/09/chadema-yakomaa-na-nec-ni-kuhusu.html#sthash.kcVjsrcL.dpuf

Chagua kiongozi bora ili kuleta mabadiliko
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment