Sehemu Ya 8
Mtunzi..... MoonBoy
Simu No. +255714419487 WhatsApp
Ilipoishia Jana →↓↓
"naitwa sharbiny"
"waaoo una jina zuri afu ni hensamu"
"mmhh asante shangazi"
"bwana we sheby usiniite shangazi"
Mmhhh nilishangaa kumsikia shangazi eti nisimuite shangazi
"sasa nikuite nani shangazi"
"naitwa mariamu niite mamu"
"apana shangazi mi sijafunzwa hivyo"
"ok nipe namba yako basi"
"mmh mi sina simu"
"kwanini sheby?"
"nimeamua tu"
"ok sema nikununulie tablet au Iphone 6 au samsung galaxy s4 au unataka gari gani??? niambie basi jamani kabla dada yako hajaja"
SONGA NAYO
Nilishangaa sana kuskia maneno ya ajabu ajabu kutoka kwa huyu mama ambae tunamuita shangazi,
Nilishindwa jinsi ya kumjibu ila kwakua mimi ni wa kuume na pia sipendi kua na vitu vya anasa anasa kama hivyo ambavyo amenitajia huyu mama,
Maana kama ni utajiri sisi tunao kuliko yeye
"samaani shangazi, mimi hua si mtumiaji wa hivyo vitu kwaio sihitaji litu chochote kile kutoka kwako na pia nikivihitaji vitu kama hivyo mama yangu anaweza kuninunulia"
"ok nimekuelewa mwanangu ila usinifikirie vibaya"
"wala tu shangazi mbona sina wazo lolote lile"
"ok naaa vp leo si upitie nyumbani kwangu ukapaone?"
"hapana shangazi leo naitaji kuwahi nyumbani coz kuna homework za kufanya hivyo sihitaji kuchelewa shangazi"
Mara dada zai karudi kununua vocha kisha akampa shangazi vocha zake,
Hakuchukua muda alituaga na kuondoka kwenda kuketi sehemu nyingine, maana ukumbi ni mkubwa kweli
"vp shangazi kakuambiaje?"
"mmhhh wala tu tulikua tukipiga stori za hapa na pale tu"
"Aaahhh nilijua tayari keshakudanganya"
"kunidanganya nini sasa?"
"mmhh namjua huyu shangazi anapenda dogo dogo huyu"
"aaaaa????? kuumbeee?"
"kumbe nini?"
"ah ah Amna kitu"
Basi tulikaa pale kwa muda mrefu kuliko kawaida yangu. Ilifikia mahari mpaka harusi iliisha na watu wameshaenda katika moja ya hanimun zao huko. Tulitoka pale huku nikiwa na dada zangu wote tena ilikua nimemshika dada nusura kiuno na yeye pia kanishika kiuno huku tukiwa tunatembea kuelekea kwenye paking za magari, tumeshikana viuno lakini hakuna mtu anaemuwazia mwenzie uchafu coz tunajuana ni nugu. yaani mimi nilimshika kiuno kiutani utani na yeye pia hivyo hivyo. yani ukituona jinsi tulivyo unaweza sema ni kitu na mpenzi wake. kumbe walaaaaa hatuna hata hilo wazo bali tupo kindugu zaidi, Dada nusura alipanda gari yake na sisi mimi na zai tulipanda gari yetu ambayo ndio tulikuja nayo. na ni gari ya zai ya kuendea shule
"sheby naomba nipitie marafiki zangu basi"
"kwaio nishuke nipande daladala si ndio?"
"hapana simaanishi hivyo"
"bali unamaanisha nini?"
"namaanisha niwapitie na wewe ukiwemo?"
"sitaki wacha niende kwa dada nusura"
Nilitoka zangu na kuelekea kwenye gari ya dada nusura na kupanda
"vp mbona umekuja huku?"
"ah si zai uyo keshaanza safari zake eti apitie marafiki zake"
"mmhhh yani dada yako nae ana mambo duuu"
Basi tuliwasha gari na kuondoka zetu,
Tulipofika njiani tulikutana na wadada fulani wawili ambao ni marafiki wa dada nusura, Aliwapigia honi kwani walikua wanatembea kwa miguu..
"we fatu? fatuuuu?"
Dada alimuita mmoja kati ya hao huku akifungua kioo
"abeeee Ooohhh nusura??? ivi na wewe ulikua kwenye harusi?"
"ndio nilikuepo kwani hujaniona?"
"waala sijakuona shost"
"ok si munaenda nyumbani?"
"ndio tunaenda ila tuliona tujivute vute kwa miguu tu"
"ok twendeni basi"
Wale wadada waliingia ndani ya gari ila mimi nilikua mbele kushoto kwa dereva na nilikua sitikisiki ng'oo wala hata hao wadada wenyewe sikuwaona na wala wao hawakuniona. waliingia wote kwa siti za nyuma, coz mbele nilikuepo mimi na dada yangu ambae ndio dereva mwenyewe.
Safari ilianza na wale wadada wakaanza kunisalimia
"mambo mkaka?"
Niliwaitikia lakini sikugeuka wala nini
"poa tu"
Wakamuuliza dada nusura
"nusura?"
"abeee?"
"fanya utambulisho basi au ndio shem nini huyo?"
"weeeeeee hapana"
"mmhhh useme mwenzetu maana wewe kwa kunyakua nyakua totoz hujambo"
"No his my brother"
"waaaooooo is your brother?"
"yes"
"young or big?"
"kwani we unamuonaje?"
"i think his young brother"
"that is true for thing u think"
"i need to see him"
"ehehehehehe fatuuuuu what do u want to my brother?"
"Nothing but for see him"
"ok u can tallk with him"
Nilikua nawasikiliza na hicho kingereza chao kibovu kibovu sijui walikiokota wapi huko, Sasa mdada kaambiwa aongee na mimi anaanza kujishaua shaua kimtindo huku akijifanya kusogea sogea
"mkaka?"
"sema?"
Yaani nilikua nina dharau hizo yani sikua nageuka wala nini nilikua nimeangalia mbele tu huko tunapoelekea
"geuka basi best"
"nigeuke ili iweje?"
"plz naomba tufaamiane ata kwa sura basi"
"si umeshaniona we vp?"
"samaani basi kama nimekuuzi"
Mara dada nusura akaingilia kati huku akiwa kakasirika kwa majibu niliokua nikiwajibu marafiki zake,
"sheby?"
"naam"
"una ugomvi na hao wadada?"
"hapana"
"sasa mbona unawajibu hivyo?"
"lakini dada?"
"sitaki cha lakini, kinachotakiwa ni kumueshim kila mtu sio kila anaekuita ataongea mbofu, sasa sikia naomba uwaheshim rafiki zangu sawa?"
"sawa"
Nilishikwa na hasira nyinginooo mpaka natamano kulia yani duuu. Sasa kwa hasira nilizo nazo niliruka mpaka kule nyuma kabisa na kukaa nao wale wadada
"haya nimekuja kabisa huku huku sasa mlikua unasemaje?"
Niliporuka kule wote walianza kucheka afu mi saa hio nipo kati kati yao.
"mimi naitwa fatu mmhh nasoma chuo cha biashara dares lam na pia nimefurahi sana kukufahamu"
"ok nashukuru sana Na wewe best sjui unaitwa nani?"
Nilimuuliza huku nikiwa na tabasam zitooo
"naitwa jasmini nami pia nasoma chuo dares lam IFM nami pia nashukuru kukufahamu"
"nami pia nashukuru sana kwa kuwafahamu wote kwa ujumla nami nasema asanteni"
Nilikua najiandaa kurudi kwenye siti yangu ya mbele maana si walitaka kunijua tu. sasa narudi kwenye siti yangu.. Mara mmoja akasema
"sasa unaenda wapi si ubaki hapa tupige stori"
"kwani si mlitaka kunijua tu?"
"No pia tunataka tujue uchangamfu wako upo wapi?"
Basi niliendelea kukaa katikati yao huku jasmini namuona keshaanza kung'ata lipsi kimahaba. duuu kumbe tayari keshaanza kunizimia mtoto wa kike. Ila mimi kama mimi sikua na mpango nae
Sasa dada nusura alishaliona lile kwa rafiki yake jasmini kuonekana kunirembulia huku aking'ata lipsi zake,
"jasu? jasu? we jasmini we?"
"abeee nusura? mbona umenishtua jamani?"
"sikia jasmini wewe ni rafiki yangu tuliosoma shule moja na darasa moja kwahio nakujua na wewe pia unanijua hivyo nakuomba sana stop that u think to my brother"
"kwani umenionaje?"
"jasmini? wewe sio mgeni kwangu hivyo nakuelewa sana coz i know u every thing u think about my broda"
"No nusura umenifikiria vibaya tu kwani mi mbona sina mawazo hayo"
"i know u like a handsome boy like my broda"
"ok tufanye yaishe basi ila umenifikiria vibaya"
"No jasu mdogo wangu bado ni mwanafunzi mdogo sana hivyo sihitaji kuona elimu yake inapotea"
"ok am so sorry my friends"
Basi kesi iliishia hapo na dada yangu akaniambia nirudi nilipokua nimekaa mwanza. Hivyo nilirudi kwenye siti yangu ya mbele na kuendelea na safari ya kurudi homu. Tulifika mahari ambapo wale wadada ndio wanahitaji kushuka yaani ndio wamefika maeneo ya kwao. walishuka kisha wakaagana
Ila dada nusura alimuuliza kitu jasu
"jasu?"
"abeee?"
"ila najua hatujagombana kabisa? maana usije ukasema oohoo nimegombana na nusura kisa ni mdogo wake, hivyo naomba urafiki we tu uendelee vile vile sawa mama?"
"usijali mbona sijapaniki kitu? nipo fresh tu wala sina kinyongo na wewe"
"ok poa sasa si mtakuja kesho salun?"
"mmhhh kesho si juma pili?"
"ndio"
"hapana kwa upande wangu mimi kesho nina bonge la usafi hapo ndani we acha tu"
"na wewe fatu utakuja?"
"mmhhh nami pia nina nguo za kufua ile mbaya"
"mmhhh hayeni bwana kama mumenichusa"
"wala hatujakususa best ila juma tatu tutakuja usijali"
"poa"
Basi waliachana kihivyo kisha na sisi tukaingia njia ya kwetu.
Tulifika nyumbani kama mida ya saa 11 jioni hivi, Ilibidi niingie bafuni kwanza nioge ili nitoe jasho la kubanana kwenye harusi kule. baada ya kumaliza kuoga nilikuja zangu sebuleni na kuangalia tv katka kipindi cha mawaiza ya kiislam ila usingizi ulikua ukininyemelea kidogo, kiasi kwamba sina muda naweza kulala hapa hapa sofani... Muda huo dada zai yeye alikua bado hajarudi nyumbani.
****
Nikicheki muda ulikua umefika muda wa kwenda kuswali hivyo nikazunguka nyuma ya nyumba na kuanza kutawadha au kujiweka udhu wa kuswali msikitini... Nilipofika nyuma ya nyumba nilikutana na mmoja kati ya wafanyakazi wa nje... yaani yule mfanyakazi ambae anafanya usafi wa nje tu, Nilimkuta akifua vichupi vyake.
"za saa izi boss?"
Alinishobokea kihivyo ila mimi sikupenda kuitwa boss, maana humu ndani karibia wote wananiitaga boss au boss mdogo. Sasa hua sipendi kuitwa hilo jina
"nani boss?"
"si wewe"
"silitaki hilo jina"
Mtoto ni mzuri na umbo lake saafii afu kavaa kitu cha kanga tu. kwani hata chupi tu yenyewe hana coz ndio hio anayoifua sasa hivi.
"basi nisamee ila sasa nikuiteje?"
"mi si naitwa sharbiny hivyo niite sheby tu"
"mmh hapana bwana nitakua nimekuzarau mtoto wa boss wangu"
"wala tu tena utakua umenieshim sana kuliko kuniita boss"
"sawa nitajaribu ila mi nitakuita kaka sheby?"
"sawa ila wewe ni mkubwa kwangu"
"sio sana ni kama mwaka mmoja hivi ndio nimekupita"
"ok ila hizi nguo sio za kufulia huku hizi nguo ni siri yako mwenyewe coz huezi kuoga bafuni afu ukaja kufulia huku nyuma ya nyumba"
"sawa kaka nimekuelewa ila kule bafuni umeme ulikatika hivyo kulikua na giza"
"oohooo basi hakuna shida"
Sasa nikaanza kumchokoza mtoto wa kike huyu,
"kwahio utaniambia hapo hujavaa kitu kabisa?"
"buana kaka mi staki utani wako uoo"
"mmhh sasa si nimekuuliza tu"
"Tehetehetehetehtehtehte basi ngoja nikavae"
"ah ah malizia tu kufua"
Alijishtukia kua aende akavae chupi ili nisije nikamsemea kua ana tabia mbaya ya kukaa bila chupi... Sasa mtoto alivyoinama na kuendelea kufua nguo... siiiiiiiii aiseee alinikosha na huko nyuma jinsi kulivyo tikisika kwa kukosa chupi iliobana, mpaka mwenye akaanza kujistukia hivyo kila saa akawa anaamka na kujifunga kanga vizuri
"kaka?"
"sema dija?"
Huwa anaitwa hadija hivyo tunamkatishia na kumuita dija
"mbona unaniangali hivyo?"
"mmhh nimependa tu kukuangalia"
Akawa anatabasamu huku akiendelea kufua chupi yake
"hizo chupi zipo ngapi? maana naona humalizi kufua"
"ni moja tu si hii"
"aaaa usinionyeshe bwana"
"kwanini?"
"mmhhh si unajua mi wakiume hivyo nikiiona naweza zua majanga bure"
Sasa mtoto akiwa anafua? makalio yake yalikua yakitikisika. Nikaangalia huku na kule sioni wale magadena boy. afu nikicheki muda ndio ule wa kagiza giza flani hivi...
Nilimsogelea hadi karibu yake kisha nikamuuliza
"vp nikushike ata mkono tu?"
"jamani kaka sasa unishike ili iweje?"
"ili nifurai tu"
"tehethtehtehtehtehte mi siwezi kukukatalia kwani wewe si ndio mtoto wa boss wangu"
"vp ulishawahi kuwa na mpenzi wewe?"
"bwana kaka sheby kwani unataka nini?"
Mtoto alianza kujua kile ninachokihitaji hivyo maswali kwake yalikua ni mengi mno, huku sauti yake ilishaanza kulegea legea. Na muda huo nilikua nimeshika kata ya kunawia au kutawazia au kujiweka safi kwa ajili ya kwenda kuswali...
Nilijishtukia kua nataka kufanya ushenzi ambao sikuutarajia. sasa nikaachana na dija sasa nikaanza kupiga hatua ya kumuacha dija
"kaka?"
"nini dija?"
"mbona hunishiki sasa?"
"mh mh nimeairisha"
"bwana kaka nishike mkono tu kama ulivyotaka mwanzo"
Unajua mahouse girl wakipendwa na watoto wa mabosi hua wanajiona kama masupa staa vile... na sio vibosi kama hivi vya mtaani No bali utajiri wetu sisi ni sawa na utufananishe na BAKHRESA au MANJI ndio sawa na utajiri wetu sisi hivyo ukimpenda house girl wenu... yaani kukukatalia ni asilimia 2 tu lakini hizo asilimia 98 zote ni lazima akukubali hata kama sio hensamu. Sasa mtoto nae akaendelea kufua chupi yake huku namuangalia kwa kumuibia.. sasa mbaya zaidi ni ile kanga ilikua imeloana hivyo ilikua imenata katika mwili wake...
Aisee sikutaka kuivungia Nilitupa ile kata yenye maji kisha nikamsogelea karibu na kumtekenya kidogo, maana si alikua kainama
"buaana kaka sheby umenishtuaaa"
"unashtuka na nini?"
"ona sasa umeshaniamsha mashetani yangu"
"mashetani gani?"
"mwenzio nina ha... ha.ha....ha"
"nini sasa dija si useme?"
Nilianza kumshika mbavu huku nikimpumulia shingoni na kumpa joto liliomfanya afumbe macho kwa raha alioipata
"kaka sheeeeebyyyy?"
"nini?"
"utaweza?"
"nishindwe kwanini?"
"mmhhh nakuonaga wewe ni laini laini sana"
Sikutaka kumjibu kitu nilimvuta kwa nguvu na kumuegemeza ukutani kisha mi nikawa kwa juuu... kumbe mtoto nae alikua ana nguvu sio mchezo kwani nilishangaa nimegeuzwa na kuwekwa ukutani afu yeye ndio akawa kwa mbele kisha akaanza kuniomba denda...
Mimi nilishika tu makalio yake ambayo aliyasitili na kanga tuuuuu kwani chupi ndio ile aliokua akiifua... hivyo hata kanga yenyewe ilikua ni upande wa kanga... Niliyaminya makalio yake na kuivuta ile kanga
"sssssssssiiiiiiii uuuuwiiiii kaka sheby buaaanaaaa"
"nini dija?"
"umeniminya maka.. ... maka ...yangu"
"nini?"
"rudia tena buana kaka sheny"
Nimshika shika paja zake... Aisee mtoto alijaaliwa mapaja sii mchezo.. "kaka sheby?"
"sema?"
"videole vyako vina nini?"
"havina kitu dija"
"sasa mbona huvitumiii?"
Niliishika ile kanga yake na kuivuta kabisa na kubaki uchi wa mnyama
"kaka sheby"
"dijaaaa mbona unaita sanaa?"
"wala siiti sana ila angalia usije ukawa unamenya dafu Alafu kulila huezi"
"aaaaaah dija hayo ni matusi sasa"
"wala sio matusi kaka sheby coz mimi hapa nilipo nahitaji maandalizi mazuri toka kwako"
"kwahio we unaona mi siwezi sio?"
"kitu kama hicho coz mbona hata sio likivimba na wakati ushanivua nguo"
"livimbe nini sasa?"
"si huo muhogo wako"
press LIKE ili iendeleeeee
Je? Ni kweli sisimaishi au ni maneno tu?
Na kama nasimamisha, je? nitafanikiwa kumraua mtoto???
Usikose sehemu ya 9
hapo kesho mida kama hiii
Chagua kiongozi bora ili kuleta mabadiliko
Blogger Comment
Facebook Comment