Chadema watangaza Wabunge wake nchi nzima




Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika.
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika.
Chama  cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa orodha ya majina 138 ya wanachama walioteuliwa na Kamati Kuu.

Taarifa imeeleza kuwa majimbo ambayo hayatakuwa kwenye orodha hiyo yatatolewa baada ya kukamilika kwa mashauriano ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Katika mgawanyo wa UKAWA wa majimbo 253 Kati ya 265 ya kuwania ubunge, Chadema imeongoza kwa kupata majimbo 138 (54%), ikifuatiwa na CUF majimbo 99 (29% yakiwemo 49 ya Zanzibar), NCCR-Mageuzi majimbo 14 (5.5%) na NLD majimbo matatu (1.2%).
Orodha kamili hii hapa

Mara  
Rorya   STEVEN J OWAWA
Tarime Mjini ESTHER N MATIKO
Tarime Vijijini JOHN HECHE
Musoma Vijijini ZAKARIA MBULA CHIRAGWILE
Butiama        YUSUPH R KAZI
Bunda Mjini  ESTHER BULAYA
Mwibara  HARUN D CHIRIKO
Musoma Mjini       VINCENT J NYERERE
Bunda Vijijini  SULEIMAN DAUDI
Simiyu    
Bariadi        GODWIN SIMBA
Maswa Magharibi ABDALA PATEL
Maswa Mashariki SYLVESTER KASULUMBAYI
Kisesa MASANJA MANANI
Meatu          MESHACK OPULUKWA
Itilima         MARTINE MAGILE
Shinyanga  
Msalala             PAULO MALAIKA
Kahama Mjini JAMES LEMBELI
Kahama Vijijini (Ushetu) SIMON BUKAKIYE ISAYA
Shinyanga Mjini PATROAS PASCHAL K
Kishapu         FRED T MPENDAZOE
Mwanza      
Ukerewe JOSEPH MKUNDI
Magu          KALWINZI NGONGOSEKE
Nyamagana    EZEKIA D. WENJE
Buchosa MARTINE KASWAHILI
Sengerema HAMIS TABASAMU
Ilemela         HIGHNESS KIWIA
Misungwi LEONIDAS KONDELA
Geita      
Bukombe PROF. KULIKOYELA KAHIGI
Busanda ALPHONCE C MAWAZO
Nyang’wale GEORGE MABULA
Chato          DR. BENEDICT LUKANIMA
Mbogwe NICODEMUS H MAGANGA
Kagera    
Karagwe          PRINCE RWAZO
Kyerwa          BENEDICT MTUNGIREHI
Bukoba Mjini  WILFRED LWAKATARE
Muleba Kaskazini  ANSBERT NGURUMO
Muleba Kusini  ALISTIDES KASHASILA
Biharamulo  DR. ANTHONY MBASSA
Mbeya    
Lupa         NJELU KASAKA
Songwe          MPOKI MWANKUSYE
Mbeya Mjini JOSEPH MBILINYI
Kyela          ABRAHAM H MWANYAMAKI
Rungwe         JOHN D MWAMBIGIJA
Busokelo BONIPHACE A MWAMUKUSI
Mbozi       PASCHAL HAONGA
Momba        DAVID E SILINDE
Mbeya Vijijini ADAM NZELA
Tunduma FRANK MWAKAJOKA
Vwawa FANUEL MKISI
Iringa 
Ismani         PATRICK OLE SOSOPI
Kalenga        MUSSA L MDEDE
Mufindi Kaskazini JUMANNE K MASONDA
Iringa Mjini PETER MSIGWA
Kilolo          BRIAN KIKOTI
Mafinga Mjini WILLE MUNGAI
Njombe   
Njombe Kusini EMMANUEL MASONGA
Lupembe (Njombe Kask) EDWIN E SWALE
Wanging’ombe DISMAS A LUHWAGO
Makete          JACKSON T MOGELA
Ludewa           ATHROMEO MKINGA
Makambako ORAPH MHEMA
Rukwa  
Nkasi Kusini ALFRED DANIEL SOTOKA
Kwela          DANIEL NAFTAL NGOGO
Nkasi Kaskazini KESSY SOUD
Sumbawanga Mjini SADRICK MALILA
Kalambo        VICTOR MATENI
Tanga 
Kilindi         JERADI K MREMA
Muheza ERNEST MSINGWA
Korogwe          AMANI H KIMEA
Korogwe Vijijini EMMANUEL KIMEA
Kilimanjaro  
Rombo                   JOSEPH SELASIN
Same Magharibi CHRISTOPHER S MBAJO
Same Mashariki NAGENJWA KABOYOKA
Moshi Mjini JAFARY P MICHAEL
Hai          FREEMAN A MBOWE
Siha         DR. GODWIN MOLLEL
Arusha    
Arumeru Mashariki JOSHUA NASSARI
Arumeru Magharibi GIBSON MESIYEKI
Arusha Mjini GODBLESS LEMA
Longido        ONESMO OLE NANGOLE
Monduli        JULIUS KALANGA
Karatu         WILLE QAMBALO
Ngorongoro ELIAS NGORISA
Manyara      
Simanjiro JAMES KINYASI OLE MILLYA
Mbulu Vijijini MIKEL PETRO AWEDA
Hanang          MAGOMA RASHID DERICK
Babati Mjini PAULINE P GEKUL
Babati Vijijini LAURENT SURUMBU TARRA
Kiteto        KIDAWA ATHUMANI IYAVU
Mbulu Mjini PAULO HERMAN SULLE
Dar es Salaam       
Ubungo        SAED KUBENEA
Kawe        HALIMA JAMES MDEE
Ukonga          MWITA MWIKWABE WAITARA
Ilala         MUSLIM HASSANALI HEIDERALI
Kibamba JOHN JOHN MNYIKA
Pwani    
Chalinze MATHAYO TM. TORONGEY
Kibaha Mjini MICHAEL PAUL MTALY
Kibaha Vijijini EDITHA BABBEIYA
Morogoro      
Mikumi         JOSEPH HAULE
Morogoro Kusini DAVID LUKAGINGIRA
Kilombero PETER E LIJUALIKALI
Mlimba        SUZAN L. KIWANGA
Mvomero OSWALD MLAY
Ulanga Magharibi ALPHONCE MBASSA
Ulanga Mashariki PANCRAS KONGOLI
Morogoro Mjini MARCOSSY ALBANIE
Dodoma   
Kongwa             ESAU NGOMBEI
Dodoma Mjini SINGO BENSON KIGAILA
Bahi         MATHIAS LYAMUNDA
Chilonwa JOHN CHOGONGO
Singida 
Iramba Magharibi JESCA KISHOA
Iramba Mash(Mkalama) OSCAR KAPALALE
Singida kaskazini DAVID DJUMBE
Singida Mashariki TUNDU A LISSU
Singida Magharibi MARCO ALLUTE
Manyoni Magharibi LUPAA DONALD
Manyoni Mashariki ALLUTE EMMANUEL
Tabora    
Nzega Mjini CHARLES MABULA
Igunga        NG’WIGULU KUBE
Urambo         SAMWELI NTAKAMLENGA
Ulyankulu DEUS KITAPANDYA NGERERE
Sikonge       SAID NKUMBA
Manonga ALLY KHALFANI NGUZO
Katavi      
Mpanda Mjini JONAS KALINDE
Mpanda Vijijini MUSSA MASANJA
Katavi          GEORGE SAMBWE
Nsimbo GERALD KITABU
Kavuu         LAURENT SENGA MANGWESHI
Kigoma      
Kigoma Kaskazini DR. YARED FUBUSA
Kigoma Mjini          DANIEL LUMENYELA
Ruvuma   
Peramiho         ELASMO MWINGIRA
Mbinga Magharibi/Nyasa CUTHBERT S. NGWATA
Mbinga/Mbinga Vijijini EDWIN B AKITANDA
Songea Mjini        JOSEPH FUIME
Madaba EDSON MBOGORO
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: