CHADEMA LUDEWA WAVURUGIKA ALIYEKATWA UBUNGE AHAMIA ACT

 

Add caption
Wanachama  wa Chadema wilaya ya  Ludewa  mkoa wa  Njombe  wakiandamana  kupinga  maamuzi ya  chama  hicho  kukata  jina la mshindi  wa  kura  za maoni na  kumteua  aliyeshindwa ,mbali ya  kuandamana  pia  wanachama  hao  zaidi ya  500  walikihama  chama  hicho na  kujiunga na  ACT  Wazalendo
Wanachama  wa  Chadema  waliohamia ACT wazalendo  wakiwa na  mabango ya  kukituhumu  chama   hicho  kwa  kukiuka  Demokrasia


kadi na nyalaka  za Chadema  zikichomwa moto
Wanachadema  wakiwa  nje ya  ofisi ya  ACT  Wazalendo  ambako  walifika  kuomba  kujiunga huko
kadi  za  chadema  zikiteketezwa  kwa  moto


wana chadema  wakiwa na mabango
Hasira  za  kukatwa  kwa  mshindi  wa kura  za maoni Ludewa


wanachadema  wakijiandaa kwa maaandamano ya amani  kujiengua na  Chadema  na  kujiunga  ACT  wazalendo
Bango  likimtaka  aliyeteuliwa na chama  kwenda  kugombea  jimbo la Hai kwa Mbowe


Add caption
Mwanzo  wa maandamano ya  kujiengua na  Chadema
Add caption
wana Chadema katika maandamano  ya  kupinga  uonevu ndani ya  chama
Tuhuma  dhidi ya  Chadema Taifa


Wanachadema  katika maandamano ya  kupinga mshindi  kutemwa


Wanachadema  waliojiengua na  kujiunga na ACT  wazalendo  wakiwa nje ya ofisi ya  Chadema  wilaya ya  Ludewa
barua  ya  tuhuma  za  mteuliwa  kutoa  ahadi ya  rushwa hii hapa

barua  ikionyeshwa  kwa  wanahabari na  wanachadema
Ni  full jaziba  kwa  wana Chadema  Ludewa
Wanachadema  wakiwa  nje ya  ofisi   ya chama  wilaya  walikokwenda  kurudisha  kadi kabla ya  kuhamia ACT wazalendo
Aliyekuwa mwenyekiti wa BAWACHA  wilaya ya  Ludewa akionyesha  kadi ya  ACT  wazalendo
Aliyeenguliwa Bw  Haule  akiwapongeza wana Chadema kwa kuhamia pamoja  ACT  wazalendo
Wanachadema  wakirudisha  kadi  za chamna  hicho na kujiunga na ACT  wazalendo
Baadhi ya  nguo  na kadi  zikiandaliwa  kuchomwa  moto
katibu wa ACT  wazalendo  Ludewa Alfred Ulaya  akionyesha kadi  za  Chadema 
Wanachadema  wakijipata  kuhamia  ACT wazalendo
Kadi  zikiwa  zimekusanywa kwa kuchomwa  moto
mwana  Chadema  akichoma  moto kadi  za  Chadema Ludewa  kupinga  uonevu  ndani ya  chama  hicho
Add caption
Hivi  ndivyo kadi  zinavyoteketezwa  kwa  moto  baada ya  wana Chadema  kujiengua na  chama  hicho na kujiunga na ACT  wazalendo 














Mabango  ya  kuagana na Chadema  kwa  wana Ludewa






Bango  likionyesha  Chadema kura  za Chadema  Urais X ,Ubunge X na udiwani X huku  likimaliza kwa  kusema  msituchagulie




Mwanachama wa Chadema  akiongea  kwa jazba  juu ya hali ya mambo ndani ya  Chadema kabla ya  kujiunga na ACT  wazalendo
Ofisi ya  Chadema  wilaya  ikiwa  imefungwa  wakati  wanachadema  walipofika  kurudisha  kadi zao


Kadi  ya  ACT  baada ya  kuhama  Chadema
Makada  wapya  wa ACT  kutoka  Chadema 


Aliyekuwa mshindi wa kura za maoni  akionyesha  barua  nyenye  siri nzito  za  mteuliwa  kununua nafasi hiyo
Bw Haule  akijiandaa  kuchoma moto vifaa vyake vya Chadema kabla ya  kujiunga na ACT wazalendo
........................................................................................................   















LUDEWA
Barnabas Njenjema
Wanachama wa chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema)wilaya ya Ludewa katika mkoa wa njombe wameandamana hadi ofisi za chama hicho wilayani hapa kupinga uamuzi wa chama hicho kumpitisha Mgombea ambae wao kama wanachama hawamuungi mkono.

Uongozi wa chadema Umemteua ndugu. Bathromew Msambichaka mkinga kuwa mgombea ubunge wa chama hicho na kumuacha ndugu, Okol haule ambaeye ndiye alikuwa chaguo la wanachama wa chadema wilaya ya ludewa hapa mkoani Njombe.

mabadiliko hayo ya mgombea wa ubunge kwa chama cha chadema yamefuatia mara baada ya kubainika kuwa ndugu ocol haule alitumia njia zisizo rasmi kuweza kushinda katika uchaguzi huo.
 

Wakizungumza katika eneo la ofisi za chama hicho wanachama hao wamesema kuwa walikuwa na imani na chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kwa kile kilichoonekana kwa mgombea okol kushinda kwa kura nyingi dhidi ya msambichaka lakini kutokana na kukatwa kwa jina hilo wanachama hao wapo tayari kumfuata ndugu okol endapo atahamia chama cha Act-wazalendo.

Aidha mara baada ya wanachama hao kutoka katika ofisi za chama hicho walielekea katika eneo la soko na kufanya mkutano na mgombea ubunge huyo ambaye alikatwa jina hilo na ametangaza rasmi  kuwa anahamia chama cha Act-wazalendo huku mgombea huyo akichoma kadi yake ya chadema pamoja nguo,kofia na vitmbaa na baadhi ya wanachama wa chadema kuchoma kadi hizo na kuhamia Act.

kamati kuu ya chadema mapema wiki hii ilitangaza majina ya wagombea wa ubunge katika nchi nzima huku kwa upande wa wilaya ya Ludewa aliteuliwa ni B ATHROMEO MKINGA huku kwa mkoa mzima wa Njombe wagombea wake ni kama ifuatavyo...


Njombe  
Njombe Kusini EMMANUEL MASONGA
Lupembe (Njombe Kask) EDWIN E SWALE
Wanging’ombe DISMAS A LUHWAGO
Makete          JACKSON T MOGELA
Ludewa           ATHROMEO MKINGA
Makambako ORAPH MHEMA

Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: