Mbunge mwingine CHADEMA atua ACT-Wazalendo


Mbunge wa Chadema  Chiku Abwao akikabidhiwa kadi ya ACT-Wazalendo baada ya kuhamia rasmi ACT-Wazalendo anayemkabidhi kadi ni Katibu wa Mipango na Mikakati wa Chama cha ACT-Wazalendo, Habibu Mchange.
Mbunge wa Chadema Chiku Abwao akikabidhiwa kadi ya ACT-Wazalendo baada ya kuhamia rasmi ACT-Wazalendo anayemkabidhi kadi ni Katibu wa Mipango na Mikakati wa Chama cha ACT-Wazalendo, Habibu Mchange.
Mzimu wa kuhama vyama vya kisiasa umeikumba nchi ya Tanzania hivisasa kufuatia  wanasiasa wa vyama mbalimbali kuhama kutoka chama kimoja kwenda chama kingine.Leo asubuhi Mbunge wa Chadema Viti maalumu Mara Leticia Nyerere amehama chama cha Chadema  na kuhamia CCM.
Mbunge Mwingine ni aliyekuwa mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Iringa mjini, Chiku Abwao kuhamia  ACT-Wazalendo na kupewa kadi na Katibu wa Mipango na Mikakati wa Chama cha ACT-Wazalendo, Habibu Mchange.
Hivyo basi leo tu Chadema imewapotoeza wabunge wawili.
Hivi karibuni wabunge wawili CCM ambao ni Ester Bulaya pamoja na James Lembeli  walihamia chama cha Demokarsia na Maendeleo (CHADEMA).
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: