Chadema yaitikisa Mwanza leo

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willbrod Slaa.
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willbrod Slaa akiwasili mkoani Mwanza leo.
Maelfu ya wananchi leo wamejitokeza  kuwapokea wanachama wapya kutoka  Chama Cha Mapinduzi CCM ambao ni Mzee James Lembeli na  Easter  Bulaya ambayo wamekihama chama Chama cha Mapinduzi kwa madai mbalimbali  ikiwemo kuhujumiwa.
Aidha,  Dk. Wildroad  Slaa na Mwenyekiti wa Chadema  Freeman Mbowe nao  walikuwepo pamoja  na wanachama wengine akiwemo Mbunge wa Kawe Halima Mdee.
Katika  hatua  nyingine  Mwenyekiti  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe  amewakabidhi  rasmi  kadi  za  uanachama wanasiasa hao wapya ambao ni James Daudi Lembeli  na  aliyekuwa Mbuge wa Kuteuliwa mkoani Mara, Ester Amos Bulaya

Waliokuwa wabunge wa CCM,  Mzee James Lembeli (kulia) na Easter Bulaya wakiwa katika mkutano wa Chadema leo jijini Mwanza.
Waliokuwa wabunge wa CCM, Mzee James Lembeli (kulia) na Easter Bulaya wakiwa katika mkutano wa Chadema leo jijini Mwanza.
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: