BREEAKING NEEWZZZ : AJALI YA BASI LA SIMIYU EXPRESS YAUWA WATU WENGI BAADA YA KUACHA NJIA NA KUGONGA MBUYU HUKO DODOMA, MAJERUHI PIA NI WENGI SANA

Basi la Simiyu Express likiwa eneo la tukio
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba basi la Simiyu Express Lililokuwa likitokea mkoani Simiyu kuelekea jijini D ar es salaam limeacha njia na kugonga mbuyu katika eneo la Malecela Mkoani Dodoma. Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa na ITV watu wengi wamepoteza maisha na wengine wamejeruhiwa, na kwamba majeruhi hao wamepelekwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Dodoma. Endelea kufuatili NJENJE HABARI BLOG kwa taarifa zaidi
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: