TANZANIA PRISONS NA COASTAL UNION HAKUNA MBABE
TANZANIA PRISONS NA COASTAL UNION HAKUNA MBABE
mtanange wa ligi kuu bara mzunguko wa nane umemalizika bila mbabe ndani ya dimba sokoine jijine mbeya.
Mtanange huo wa aina yake uliwakutanisha wenyeji tanzania prisons halimaarufu kama wajelajela dhidi ya waja leo waondoka leo coastal union ya tanga.
Katika dakika tisin za mchezo huo uliotawaliwa na mashambiliz ya hapa na pale ila kutokana na hali mvua na kusababisa uwanja kujaaa maji timu hizo kushindwa kucheza vizur.
Kwa upande wa makocha wa timu zote mbili wameridhishwa na kiwango cha timu zao richa ya uwanja wa sokoine kuwa na utelezi kutoka na mvua kubwa iliyonyesha mapema leo hii..
Kesho katika uwanja wa sokoine jijini hapa ni mtanange wa kukata na shoka kati ya watoto wa jiji mbeya city dhidi ya wanakuchele ndada fc kutoka mtwara.
0 comments:
Post a Comment