AUWAWA NA KUTEKETEZWA SHAMBANI HUKO MBEYA

Jivunie kuwa mwana ludewa


Leo tarehe 18/12/2014 mtu mmoja amekutwa kando kando ya mto wa Ilolo uliopo jijini Mbeya akiwa amepoteza maisha kutokana na watu wasiojulikana na kumtelekeza kando kando ya mto,mpaka sasa hajatambulika ni nani na ni mkazi wa wapi.
 Wananchi wakiwa eneo la tukio
 Baadhi ya wakazi wa eneo hilo wakidhadhiana juu ya tukio hilo,la mauaji lililo tokea mtaa huo.



Picha na Fadhiri Atick mr pengo globu ya jamii Mbeya
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: