MABANDA YASUASUA KUBOMOLEWA NYUMA YA STENDI NJOMBE.

ninakuhabarisha kutoka ludewa njombe tanzania


 WAFANYABIASHARA WAKIENDELEA NA KAZI YA  KUFANYA BIASHARA  NA HAPA WAPO KUPANGA NGUO

Haya ni Maeneo Ambayo Yanatakiwa Kubomolewa na Kupangwa Upya Kulingana na Biashara Zao Ikiwemo Biashara ya Vyakula[Mama ntilie]na Wauza Nguo za Mitumba.

Hivi Karibuni Serikali ya Mtaa wa Gwivaha Ilitangaza Kuvunjwa Kwa Mabanda Yote Yaliyopo Katikati Ya Eneo Hilo na Hayatumiki Lakini Hadi Sasa Hakuna Utekelezaji wowote 

Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: