HALI YA UJENZI WA VIBANDA VYA BIASHARA WILAYANI LUDEWA KIZUNGUMKUTI KWA WAFANYABIASHARA

ninakuhabarisha kutoka ludewa njombe tanzania

HIVI NDIVYO UJENZI ILIPO ISHIA HADI SASA


VIBANDA VINGINE HAVIAJAANZA HATA KUJENGWANA MISINGI PAMOJA NA MATOFALI YA WAFABIASHARA WILAYANI LUDEWA






 
 
Halmashuri ya Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe imesema moja ya sababu ya kutoendelea kwa ujenzi wa vibanda vya biashara 

katika eneo la uwanja wa mpira wa miguu wa Halmashauri hiyo, 

ni kutafuta uwezekano wa kujenga majengo ya kisasa, tofauti na 

ujenzi uliyopo kwa sasa unaoendelea kwa vibanda kukosa hadhi 
 .


Akizungumza  na njenje news blo  Ofisini  kwake  Mkurugenzi wa 

Halmashauri  hiyo William Waziri, alisema lengo la kujenga 

majengo ya kisasa ni kuendana na waka ti na kuwavutia 

wafanyabiashara wengi waweze  kufanya biashara katika majengo 

 hayo ikiwa kwa sasa halmashauli hiyi  inakabiliwa na uwekeza 

mkubwa wa  migodi ya madini ya chuma na liganga.

"tumesimamisha ujenzi huo ili kila mwananchi aweze kuju ni aina 

gani ya vibanda vinavyotakiwa kwa sababu tunataka mabadiliko 

katika ilaya ili twende na wakati 

Pia aliongeza kuwa vibanda hivyo ni lazima viendane na wakati na pia kufuatia uwekezaji mkubwa wa migodi ya madini ya chuma na liganga .


Pia waziri alioongeza kuwa kufuatia malalamiko ya mgogoro wa vibanda hivyo unatokana na uelewa mdogo wa wafanyabiashara wilayani hapa.

na kwa upange wao wafanyabiashara walilalamika kwa kuto tendewa haki na halmashauli ya wilaya kwa kuto kuwasikiliza 

pia waliongeza kuwa kuna ugomvi mkubwa baina ya halmashauili na wafanyabiashara uliosabishwa na ushuru wa vibanda katika maeneo ya sokoni na stan
waliongeza kuwa hawahui ni kwa nini wanatozwa ushuru wa vibanda ikiwa wamevijenga wenyewe na kupangishiwa na halmashauli bila ya wo kujijua... 













































Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: