Umeme sasa bei chee...Soma mchanganuo hapa..!




MATUMIZI YA NYUMBANI:
Watalipa Sh100 kwa uniti moja wengine watalipa Sh292 badala ya Sh298 kutegemea matumizi. Malipo ya huduma ‘service charge’ ya 5,520 kila mwezi yameondolewa.

VIWANDA VYA KATI:
Watalipia Sh195 kwa uniti kutoka Sh200 ya sasa huku wakiendelea kutozwa ‘service charge’ ya Sh14,233.

NGUZO ZA UMEME:
Mteja asiyehitaji nguzo atalipa Sh272,000 kwa waliopo mjini na Sh150,000 kwa vijijini. Wanaohitaji nguzo moja watalipia Sh436,964 kwa mjini na Sh286,220 kwa vijijini.

BIASHARA NA VIWANDA:
Walikuwa wanatozwa Sh298 kwa uniti na sasa watatakiwa kulipa Sh292, huku wakiondolewa ‘service charge’ ya Sh6,000 kila mwezi.

KAMPUNI ZA MADINI:
Watatakiwa kulipia Sh152 kwa kila uniti moja, ikiwa ni punguzo la Sh6. Hii ni pamoja na Shirika la Umeme Z’bar (Zeco).

UMEME NJIA TATU:
Watakaounganishwa kwenye njia tatu; ndani ya mita 30 watalipia Sh772,893 wakati wale wa ndani ya mita 70 watapaswa kulipa Sh1,058,801 huku ndani ya mita 120 wakilipia Sh1,389,115.



Ludewa yetu na maendeleo yetu
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: