Unajua uwanja wa Arsenal “Highbury” ulivyo sasa hivi?





1
Mwaka 2006 club ya Arsenal ihamia kwenye uwanja wake mpya The Emirates Stadium ambao una uwezo wa kubeba watazamaji 60,000.
Baada ya kuhama kutoka kwenye uwanja wa zamani wa Highbury, uwanja huo uliuzwa na kubadirishwa kuwa apartment ambapo sasa hivi unaitwa Highbury Square.
Hizi ni picha za muonekano wa nyumba Apartment hizo ambapo bado umbo la uwanja linaonekana. Sehemu ya katikati ambayo ilikua ni uwanja wamefanya imekua garden ambapo picha kutoka juu inaweza kukuonyesha kwamba hapa palikua na uwanja wa soka.
2 3 4 5 6

Comments



Ludewa yetu na maendeleo yetu
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: