Mpinzani wa Nape, wanachama 700 CCM watua Chadema


Katibu wa itikadi na Uenezi  (CCM) Nape Nnaye.
Katibu wa itikadi na Uenezi (CCM) Nape Nnaye.
Hali tete  katika jimbo la Mtama,hivi  ndivyo unavyoweza kusema kufuatia wanachama wa CCM takribani 700 pamoja na mgombea aliyeshindwa katika kura za maoni  Bw. Selemani Mathew kuhamia Chadema leo.

Katika uchaguzi huo wa kura za maoni za Ubunge  Nape Nnauye aliibuka kidedea baada ya kupata kura 9,344 dhidi ya mpinzani wake Selemani Mathew aliyepata kura 4,766.
Kufuatia ushindi huo baadhi ya wananchi pamoja na Mathew wamepinga vikali matokeo hayo huku wakimtaka mgombea huyo kuhamia upinzani suala ambalo limetimia hii leo.
Licha ya matokeo kuonesha ushindi wa Kishindo kwa Katibu wa Itikadi CCM Bw. Nape wananchi hao wana amini kuwa Bw. Seleman ndiye aliyeshinda
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: