Mkurugenzi wa Bodi ya ligi Boniface Wambura (Kulia) akizungumza na waandishi wa Habari hawapo pichani kuhusu ratiba ya ligi kuu ya vodacom inayotarajiwa kuanza hivi karibuni kushoto ni Msemaji wa TFF Baraka kiziguto.
Mkurugenzi wa Bodi ya ligi Boniface Wambura (Kulia) akizungumza na waandishi wa Habari hawapo pichani kuhusu ratiba ya ligi k
uu ya vodacom inayotarajiwa kuanza hivi karibuni kushoto ni Msemaji wa TFF Baraka kiziguto.
Michezo saba itachezwa siku ya ufunguzi jumamosi katika viwanja tofauti kama Ratiba ya michuano hiyo inavyoeleza .
Ndanda Vs Mgambo Shooting (Nang’wanda – Mtwara), African Sports Vs Simba SC (Mkwakwani – Tanga), Majimaji Vs JKT Ruvu (Majimaji – Songea), Azam FC Vs Tanzania (Azam Complex – Dsm), Stand United Vs Mtibwa Sugar (Kambarage – Shinyanga), Toto Africans Vs Mwadui (CCM Kirumba – Mwanza), na siku ya jumapili Young Africans Vs Coastal Union (Taifa – Dar es salaam).
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: