Ndege inayomilikiwa na TransAsia iliyokuwa imebeba abiria 58 imedondoka mtoni karibu na mji mkuu wa Taiwan, taipei huku chanzo kikubwa ikiwa ni kupoteza mawasiliano . Kwenye ajali hiyo ambayo watu 12 wamepoteza maisha na wengine wakiwa majeruhi huku vikosi vya waokoaji wakiendelea na zoezi hilo mpaka sasa. Mpaka sasa watu takribani 30 wameshaokolewa mpaka sasa.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment