ZAMBIA YAPATA SARE NA DR CONGO, CAPE VERDE YAIBANA TUNISIA

Zambia imeanza michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya DR Congo.
Mechi nyingine kutoka Kundi B ni kati ya Tunisia dhidi ya Cape Verde ambayo pia imemalizika kwa sare ya bao 1-1 pia.
Zambia ndiyo walianza kufunga kupitia Given Singuluma kabla ya Wakongo hawajajibu mapigo.
Katika mechi ya usiku huu, Tunisia pia walianza kufunga na Cape Verde wakasawazisha kwa mkwaju wa penalti na kufanya timu zote nne katika kundi hilo kuwa na pointi moja tu.
ZAMBIA ambia
1:1
D Congo RD CONG...
TUNISIA unisia
1:1
ape Verde CAPE VE..
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: