Mume: Zari hawezi kumzalia Diamond

Muda mfupi baada ya mwanamuziki wa Tanzania, Naseeb Abdul “Diamond”, kuonesha furaha ya kuwa baba mtarajiwa kwa mpenzi wake wa sasa Zarinah Hassan, “Zari the boss lady”, mume wa mwanamama huyo, afunguka na kudai hawezi kumzalia mwanamuziki huyo.
Ivan Ssemwanga, ambaye ni mzazi mwenziye Zari, mwenye watoto watatu amesema kutokana na umri wa mwanamama huyo kukaribia miaka 40 sio rahisi kuweza kuzalia mwanamuziki huyo.
Amedai kuwa watoto wake mwenyewe ameshindwa kuwahudumia na kuzurura na mpenzi wake mpya Diamond, sehemu mbalimbali Afrika je mtoto mchanga ataweza?
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: