Zitto:Serekali Inakusanya Pesa ka Ajili ya Kuzitumbua Tu na Si kwa Maendeleo..!!!



Zitto ameyasema hayo mbungeni dodoma,amesema serekali inakusanya hela kwa ajili ya matumizi na sio kwa maendeleo.

Ametolea mfano mpaka sasa maendeleo pekee ni bombadia na reli tu.

Zitto aliulizwa na mwandishi wa ITV tathimini yake juu ya bajeti inayomalizika ya 2016/2017 

Zitto bana,Eti wanakusanyia tumbo badala ya maendeleo ya watu du!



Ludewa yetu na maendeleo yetu posted by barnabas njenjema, kutoka Ludewa
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: