VPL: MABINGWA YANGA WAIPIGA CHINI MAJIMAJI FC!



VPL-DTB-SITVPL, Ligi Kuu Vodacom, Leo imeendelea huko Uwanja wa Majima Mjini Songea wakati Majimaji FC ilipofungwa 1-0 na Mabingwa Watetezi Yanga.
Bao la ushindi la Yanga lilipachikwa Dakika ya 14 na Deus Kaseke.
Matokeo haya yamewaweka Yanga kuwa Pointi 1 nyuma ya Vinara Simba ambao kesho wapo huko Jamhuri Jijini Morogoro kucheza na Mtibwa Sugar.
Mechi nyingine ambayo pia itachezwa kesho ni huko Chamazi kwenye Viunga vya Jiji la Dar es Salaam kati ya Azam FC na Mbeya City.
MSIMAMO:
1 Simba SC Mechi 18 Pointi 44
2 Young Africans 19 43
3 Kagera Sugar    19 31
4 Azam FC            18 30
5 Mtibwa Sugar   18 30
6 Stand United     19 25
7 Mbeya City        18 24
8 Ruvu Shooting  19 24
9 Tanzania Prisons 18 22
10 Mwadui FC         19 22
11 African Lyon       18 20
12 Mbao FC             18 19
13 Ndanda FC         19 19
14 Majimaji              19 17
15 Toto Africans     18 16
16 JKT Ruvu            19 15
VPL - LIGI KUU VODACOM
Ratiba/Matokeo:
**Mechi zote kuanza Saa 10 Jioni isipokuwa inapotajwa
Ijumaa Januari 13
JKT Ruvu 1 Ruvu Shooting 1
Jumamosi Januari 14
Stand United 2 Mwadui FC 0
Kagera Sugar 2 Ndanda FC 0
Jumapili, Januari 15
Mbao FC 0 African Lyon 0
Jumatatu Januari 16
Toto Africans 1 Tanzania Prisons 1
Jumanne Januari 17
Majimaji FC 0 Yanga 1
Jumatano Januari 18
Mtibwa Sugar v Simba [Jamhuri, Morogoro]
1900 Azam FC v Mbeya City [Chamazi, Dar es Salaam]


Ludewa yetu na maendeleo yetu posted by barnabas njenjema, kutoka Ludewa
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: