UJERUMANI YAITANDIKA 3-0 NORWAY KUFUZU KOMBE LA DUNIA

Thomas Muller akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani bao la tatu na la pili kwake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Norway kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa kanda ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Ullevaal mjini Oslo. Bao lingine la Ujerumani lilifungwa na Joshua Kimmich


Ludewa yetu na maendeleo yetu posted by barnabas njenjema, kutoka Ludewa
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: