TAFADHALI SANA NI KWA 18+ TU ...MAMBO 7 YANAYOSABABISHA UKE na KINEMBE KULEGEA




Kiukweli vipo visababishi vingi mno vya uke kulegea ama kua na
kisimi (Kinembe) kirefu Lakini zipo chache za kuzingatiwa

(1).Jambo la kwanza kabisa Tafadhali kua na mpenzi mstaarabu mwenye hekma na kujua nini maana ya mapenzi
Nikisema kijana mtaarabu nina maana ya kwamba kuna vijana wengine sio wastaarabu kabisa katika suala la mapenzi Yaani anapokua na wewe katika mapenzi basi ujue yupo kwa ajili ya kujiridhisha yeye kama yeye Hivyo Upo uwezekano wa wewe kuachwa njiani kwakua ATAKICHEZEA KILE KINEMBE CHAKO KWA FUJO HUKU AKIKIMINYA MINYA ILI TU UMUONE KUA KAKISHISHIKA...YAANI ANAKISHIKA MPAKA UNAHISI MAUMIVU BADALA YA RAHA..SASA EPUKA MPENZI ASIEKUJALI KIMAPENZI

(2).Jambo la pili ni kujichua (kujiridhisha wewe binafsi Au kupiga nyeto) Hili jambo sii la sisi wanaume tu Bali hata nyie wasichana muna tabia hii ya kujichua
Na uchuaji wa mwanamke ni tofauti na mwaume

MWANAMKE ANAPOJICHUA HUA CHA KWANZA KABISA LAZIMA AJISHIKE KINEMBE..KWANI NDIO SEHEMU ANAYOIONA NDIO MUHIMU SANA KWAKE LAKINI SII KWELI KWANI WANAWAKE WANA SEHEMU NYINGI SANA ZAIDI YA 15 ZENYE MSISIMKO ILA KWA AKILI YAKE ATAKIMBILIA KINEMBE NA HILO NDILO LINALOSABABISHA UKE NA KINEMBE CHAKE KUA VIBAYA NA VYA KUTISHA

(3).Jambo la tatu ni Uchafu Hasa hasa zile siku za kublidi...
Kwanza kabla ya kublidi ni lazima mwanamke awe anabadili nguo za ndani mara 3 kwa siku. Yaani Asubuhi Mchana na Jioni...Ila sijui kama wewe dada unafanyaga hivyo?

NA TUKIJA KWENYE UPANDE WA KUBLIDI HUWA MWANAMKE ANAKUA NA JOTO JINGI SANA KATIKA UKE WAKE..NA UKISHAFIKIA HALI HIO YA KUTOKWA NA DAMU UKENI BASI KUNA VITU SPESHO VYA KUVIWEKA MAENEO HAYO KAMA VILE Pampasi ,Bambino na vingine vingi tu...ila kwa akili yako utasema hivyo vitu ni vya kitoto wakati zipo za wakubwa...we ulizani hizo pampasi na bambino ziliwekwa za wakubwa za nini kama sio hio?
KWAIO UTAMKUTA MWANAMKE ANAKAZANA KUCHANA KANGA NA VITENGE ILI AJIZIBE HUKO KUNAKOTOA DAMU...NA KAMA UNATUMIA HIZO KANGA BASI UNAPOKITOA KITAMBAA HICHO HAKIKISHA KISIRUDI TENA PALE..KWANI UNAPOKIFUA NA KUKIANIKA AFU UKAKIRUDISHIA UJUE KUNA VIDUDU VITAINGIA KATIKA UKE WAKO NA KUKUSABABISHIA MUWASHO WA MARA KWA MARA NA KUJIKUTA UNAINGIZA MIKONO AU KUKISHIKA MARA KWA MARA NA KUSABABISHA ULEGEVU WA UKE

(4).Jambo la nne ni pale mwanamke anapofanya mapenzi mara kwa mara
Yaani hazipiti siku 2 kaenda kuduu HILO NALO NI JANGA LINALOSABABISHA UKE KULEGEA
HIVYO EPUKA NGONO ZOSIZO ZA LAZIMA DADA ANGU EEHH?

(5).Jambo la tano ni zile ngono za jinsia moja
( KUSAGANA )

Tendo hili ni baya sana kwa wanawake Tena ndio baya zaidi
KWANI PALE WANAPOSAGANA SAANYINGINE HUA WANATUMIA MASANAMU

( SEX TOY )

LILILOKAA KAMA UUME HIO NI MBAYA SANA KWANI SIO ASILIA KWA UKE WAKO... INAHARIBU UKE KWASABABU KILE CHOMBO HAKINA HATA CHEMBE CHEMBE ZA KIBINAADAMU HATA KIDOGO BALI KITAKUSUGUA NA KUKUHARIBU UKE WAKO....HIVYO NAKUOMBA SANA EPUKA KUTUMIA VITU VISIVYO ASILI............
TUKIJA KWENYE UPANDE WA KUSAGANA HUA KUNAKUA KUNA MMOJA ATATANGULIA KUMALIZA MAPEMA HIVYO ILI NA YULE ALIEBAKIA AMALIZE HAMU YAKE....
NI LAZIMA KINEMBE KISUGULIWE HASWA ILI AMRIDHISHE MWENZIE KAMA YEYE ALIVYORIDHISHWA HIVYO ATAMSUGUA MWENZIE PASIPO KUJUA KUA ANAUHARIBU UHALISIA WA UKE HUO
HIVYO NAKUOMBA SANA EPUKA MISAGANO NA KUA NA MPENZI MMOJA ILA MSISEX KILA SIKU


(6).Jambo la sita ni Hizo nguo zenu za ndani...Unajua mwanamke anatakiwa kuvaa chupi ya saizi yake Lakini utakuta kavaa chupi imembana mpaka alama zimemtoka mwilini
UNAPOVAA CHUPI INAYOKUBANA HUA INAIVUTA NGOZI YAKO KILA SIKU UVAAPO CHUPI HIO...TENA KAMA ZOTE ULIZONAZO NI ZA KUKUBANA ZAIDI YA KAWAIDA BASI UPO KWENYE HATARI YA ATHALI HII...UNAPOVAA CHUPI ILIOKUBANA SANA YAANI KWA UMBO LAKO NI NDOGO KABISA NA HAIKUFA BASI CHA KWANZA KABISA UTAZUIA MZUNGUKO WA DAMU USIPITE NA WALA USITOKE HIVYO UTAISABABISHA DAMU KUJAA NDANI YA MZUNGUUKO ULE WA CHUPI NA KUSABABISHA UKE KUVIMBA KWANI NI LAZIMA ILE CHUPI IVUTE MASHAVU YA UKE..... NA UKE UKISHAVIMBA BASI NI LAZIMA KINEMBE KITABANWA NA KUKIFANYA KITOKELEZEE NJE.... HIVYO IKIWA UNAVAA CHUPI HIZO KILA SIKU BASI UNA HATAREEE YA KUUZEESHA AMA KUUCHOSHA UKE WAKO..... HIVYO TUNAPASWA KUVAA VITU SAIZI YETU NA SIO VYA KUBANA KWA KUPITILIZA MPAKA KERO MWILINI

(7).Jambo la saba na la mwisho ni BIKINI nguo hii wanawake wengi sana huipenda Eti wanasema ni fasheni....Fasheni gani ambayo haionekani kwa katika halaiki ya watu...maana mimi ninavyojua fasheni huonekana kila mahari tena kwa mkusanyiko wa watu....sasa iweje we uivae ndani kama ni fasheni?
BIKINI NI VAZI AMBALO HALINA KIFICHO..... YAANI HALIWEZI KUMSITILI MWANAMKE HATA KIDOGO

RAHA YA BIKINI KWA MWANAMKE SII FASHENI TU BALI PALE ANAPOIVAA NA KUTEMBEA KWA MIGUU HUA ILE KAMBA YAKE YA KATIKATI INAMSUGUA KWENYE KINEMBE NA KUMPA MSISIMKO WA KIMAPENZI AU RAHA KWA UJUMLA
NA ASILIMIA 90% YA WAVAA BIKINI AFRIKA YOTE NI WASAGAJI AU WANAOJICHUA WENYEWE...

 KWASABABU HATA WALIOBUNI HILI VAZI WALISEMA KUA NI VAZI LA KUJIMALIZA MWENYEWE ILI USIISALITI NDOA YAKO.....

 KWASABABU HUEZI MKUTA MTU NA HESHMA ZAKE KAVAA BIKINI NI NGUMU....ILA KUNA SAAZINGINE UTAMKUTA MWANAMKE ANAPANDISHA SURUALI AMA SKETI AU GAUNI KATIKA MAENEO YA KIUNO...IVI WE UNAJUA ANACHOKIFANYA PALE?
PALE NI KWAMBA ILE KAMBA YA BIKINI IMEGUSA SEHEMU SAFI KWAHIO VILE ANAVYOPANDISHA NI KWAMBA NDIO ANAJIKUNA ILI AFIKE MSHINDO.. MAANA HAWEZI KUINGIZA MKONO WAKATI YUPO KATIKATI YA WATU WENGI.........

ATHALI ZA BIKINI NI KWAMBA PALE MWANAMKE ANAPOIVAA BASI ILE KAMBA YA KATIKATI INAMSUGUA AU IKAKAA PEMBENI YA KINEMBE HIVYO KINEMBE KINAKUA KAMA KINAVUTWA HIVI HUKU ILE KAMBA IPO KATIKATI YA UKE....HIVYO KILA UNAPOPIGA HATUA BASI NI LAZIMA UNAKIATHILI KINEMBE CHAKO PAMOJA NA UKE WAKO...... HIVYO NAKUOMBA EPUKA MAVAZI YASIO YA LAZIMA KWANI NI HATARI KWA AFYA NA MWILI WAKO PIA

IVI UNAJUA KUA HATA HIZO TAITI MUNAZOVAA NI HATARI KWA MATUMBO NA MAPAJA YENU? BASI PIA HUPASWI KUIVAA HIO KWANI INAKUSANYA NYAMA ZA MWILI NA KUZIACHANISHA
ILI UAMINI KUA TAITI NI MBAYA MBONA UNAPOIVAA INAFIKA HADI TUMBONI NA WAKATI ULIINUNUA IKIWA SAIZI YAKO????? NA PIA KAMA UNA ZAIDI YA MIAKA 5 UNAVAAGA TAITI JIANGALIE VIZURI HUKOSI KUA NA MISTARI STARI KWENYE MAPAJA YAKO.... NA SIO MISTARI YA ALAMA YA NGUO LAHASHA....BALI NI MISTARI YA KWENYE NGOZI
IMAGENI KAMA MWANAMKE MNENE MNENE HIVI LAZIMA AWE NA VITUNDU VYA MAPAJANI JE? WE UNAJUA SABABU NI NINI????
      SASA UTAJIJU MI SIMOOOO



      Mwandishi By: Sharbiny Rashidy



Ludewa yetu na maendeleo yetu posted by barnabas njenjema, kutoka Ludewa
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: