Sifa za Wanaume Katika Mahusiano na Mapenzi Kutokana na Majina Yao!



SeeBait
Majina ya wanaume na Sifa zao katika mahusiano yao na mapenzi
1. Dennis-mapenzi ya tamthiliya

2. Nicolas-muongo

3. Albert-domo zege ila mjanja mjanja

4. Mathias-anapenda mwanamke kwa muda mrefu

5. Joseph/Josephat-kicheche

6. Jeryson-anapenda mademu ila wanawake wanamkataa

7. Shadrack-anapenda sifa kwa mademu

8. Richard-ana wapenzi wengi ila msiri

9. Mathew-anapendwa na wanawake ila domo zege

10. Thomas-anapendwa na mademu ila hajatulia

11. Prosper-hajui habari za mapenzi

12. Fidelis-mtaalam wa kutongozea mademu wenzie(kuwadi)

13. Peter-maneno mengi ila vitendo sifuri

14. Christopher-wanapenda kutongoza hovyo ingawaje wana mpenzi mwaminifu

15. Elvis-Handsome ila hapendwi na mademu

16. Edward/Eddy -serious sana kwenye mapenzi

17. Mussa-mwepesi kutongoza na mwepesi kuwacha

18. Ally-wasiri sana kwenye mapenzi

19. Mohammed-anapenda watu waliomzidi umri

20. Nickson-wakiingia kwenye mapenzi wanatendwa vibaya

21.Frederick-anapenda sifa kwa wanawake ili apendwe

22. Jimmy-wana mapenzi ya kejeli

23. Elias-anapenda mademu ila anaogopa kuwaambia

24. Frank-huyu mpole, hajui kudanganya, wanawake wanajitongozesha wenyewe

25. Joachim-hana habari na nademu, anaamini ipo siku ataoa tu

26. Benjamin-anapenda achape tu atembee

27. Steven-hana habari kabisa na wanawake ila ana bahati ya kupendwa

28. Gerald-mpole na antulia na mpenzi mmoja kwa mda mrefu

29. Elisha-anapenda wanawake wanaochukiwa katika jamii

30. Benard-akipenda kapenda

31. Daudi-hawa kazi yao ni kuchafua wanawake wa mtaani na jamii inayozungukwa

32. Davis-anapenda sehemu sahihi lakini uacha na kupotea pabaya


Ludewa yetu na maendeleo yetu
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: