Rais Magufuli Apiga Marufuku Uingizwaji wa Sukari toka Ng'ambo ili Kulinda viwanda vya Ndani na kuvutia wawekezaji



 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na makundi mbalimbali yaliyoshiriki katika kampeni za  uchaguzi na kutangaza rasmi kupiga marufuku uagizaji wa sukari kutoka nje ya nchi ili kulinda na kuviendeleza viwanda vya hapa nchini.

==>Tazama  Video  hii  kumsikiliza  Rais  akitoa  amri  ya  kupiga  marufu  uagizaji  Sukari




Ludewa yetu na maendeleo yetu
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: