Tiko akanusha kuwa yeye sio gogo kitandani

Msanii wa filamu za Kibongo, ‘Tiko Hassan’ ameamua kufunguka kuwa hakuna kauli ambayo haipendi kama kuambiwa si hodari wa mapenzi (gogo), wakati anajiamini yupo vizuri katika sekta hiyo. Hata hivyo mwanadada huyo alisema kuwa amekuwa akisikia tu kwa marafiki zake wakisema kuwa yeye ni gogo kitandani kitu ambacho yeye hakikumpendeza. “Sipendi kuitwa hivyo wakati mwenyewe najijua kabisa ninakuwaje pindi ninapokuwa na mpenzi wangu, najiamini kweli,” alisema Tiko
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: