Sakata la Escrow: Ikulu yatoa tamko dhidi ya Prof. Muhongo

Mwanamuziki wa miondoko ya mduara, Snura Mushi “Snura”, baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu kutokana na kuwa mjamzito arejea jijini Dar es Salaam, kutoka Mbeya, na kali ya mwaka ya kumficha mwanaye asionekana na watu. Jambo hilo limewashangaza watu na kuhoji ni kitu gani hasa ambacho kinamfanya amfiche mtoto ambaye inasemekana kuwa ni wa kiume, na kuongeza kuwa angeficha ujauzito na sio mtoto
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: