KIPRE, KAVUMBAGU WAITEKETEZA KAGERA SUGAR KIRUMBA

Azam FC imekaa kileleni mwa Ligi Kuu Bara baada ya kuichakaza Kagera Sugar mabao 3-1.
Katika mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, mashujaa wa Azam FC walikuwa ni Didier Kavumbagu aliyefunga mabao mawili na Kipre Tchetche bao moja.
Azam FC imefikisha pointi 20 na kuiacha Mtibwa Sugar na Ruvu JKT yenye pointi 17 kila moja.
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: