ALIYEKUWA MTANGAZAJI MAARUFU WA RADIO FREE AFRICA ATIMKIA CLOUDS FM

i wish you happy chrismass and happy new year


Fredwaa Kulia Akiwa na Issa Michuzi

Mtangazaji anayejulikana almaarufu kama Fredwaa kutoka Radio Free Africa, sasa yu ndani ya mjengo wa Radio Clouds kipindi cha Power Breakfast, akiungana na Mbwiga, Gerald Hando, Boonge n.k. Mtangazaji huyu alijizolea umaarufu katika kipindi chake cha asubuhi pale RFA, ambapo pamoja na mambo mengine alikuwa na segment inaitwa Vodacom Top 5…

Je unadhani ameenda Clouds kuua kipaji au kuboresha kipaji?
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: