SAMAHANI KWA PICHA!!!! MAMA AGEUKA MNYAMA, ATAFUNA SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAYE!

Jivunie kuwa mwana ludewa


Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 30 amekula sehemu za siri za mtoto wake wa kiume mwenye umri kati ya miaka mitatu mpaka mitano huko nchini Cameroon.

Mtoto huyo ambaye jina lake Njankep Alexandre ambaye alipelekwa katikahospital moja ya huko Cameroon ambapo madaktari walimpeleka katika chumba za wagonjwa mahututi ili kumpatia matibabu zaidi baada ya mtoto huyo kuvuja damu nyingi sana.

Wakati polisi wakiendelea kumhoji mama huyo hajatoa ushahidi kamili na anashikiliwa na jeshi la polisi la nchini Cameroon!
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: