HEKAHEKA: Kaburi la maajabu Tanangozi Iringa



October 5, 2017 kwenye Hekaheka ya Leo Tena ya Clouds FM mtangazaji Geah Habib ametuletea hii kutoka Iringa Tanangozi ambapo kuna historia ya kaburi liitwalo Kiyeuyeu na kuaminika kama kaburi la maajabu.
Inavyosemekana sehemu hiyo ilikuwa na makuburi mengi na kipindi cha utengenezaji wa barabara makaburi mengine yalitolewa lakini kaburi hilo lilishindikana kutolewa…. ukibonyeza play hapa chini utapa uhondo wote




Ludewa yetu na maendeleo yetu posted by barnabas njenjema, kutoka Ludewa
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: