REKODI ZA AJABU ZAIDI DUNIANI MWAKA 2014, HIZI HAPA


Hii ndio baiskeli kubwa zaidi duniani kuwahi kutokea imetengenezwa huko nchini denmark na huyo mzee imeingia katika Guiness World Record 2014.



Pikipiki kubwa zaidi Duniani, imetengenezwa huko inchini Marekani lakini bado haidaanza kuwa na uwezo wa kutembea ila imeingia katika Guiness World Record 2014.




Huyu Jamaa ameingia kwenye Guiness World Record 2014 ya mwaka huu kwa kula pilipili kali 5000 ndani ya saa moja, ni mmarekani.




Ludewa yetu na maendeleo yetu posted by barnabas njenjema, kutoka Ludewa
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: