REKODI MPYA ZA MAAJABU DUNIANI KATIKA KITABU CHA GUINNESS



Kundi jipya lililoingia kwenye rekodi za ajabu duniani katika kitabu cha Guinness akiwemo mwanamke Julia Plecher kutoka Ujerumani (katikati) anayeshika nafasi ya mwanamke aliyekimbia kwa kasi mita 100 akiwa amevalia viatu vya mchuchumio kwa kutumia sekunde 14.531.

Pia mbwa Ozzy wa Uingereza anayeshikilia rekodi ya kuwa mbwa mwenye uwezo wa kutembea juu ya kamba pamoja na mbwa Milly wa kike wa aina ya Chihuahua ambaye anashikilia rekodi ya mbwa mdogo kuliko wote duniani anaurefu wa sentimita 9.65.





Ludewa yetu na maendeleo yetu posted by barnabas njenjema, kutoka Ludewa
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: