Ronaldo afungiwa mechi mbili

Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo amefungiwa mechi mbili baada ya kupatikana na kosa la kumpiga mchezaji wa Cordoba kwenye mchezo wa ligi kuu nchini Hispania.Kwenye mchezo huo ambao Real Madrid ilishinda kwa magoli 2-1.
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: