Habari mbali mbali za kitaifa;kimataifa;michezo na burudani;
tunakuhabarisha kutoka ludewa mkoa wa Njombe na wilaya ya Ludewa
Wednesday, January 28, 2015
Ronaldo afungiwa mechi mbili
Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo amefungiwa mechi mbili baada ya kupatikana na kosa la kumpiga mchezaji wa Cordoba kwenye mchezo wa ligi kuu nchini Hispania.Kwenye mchezo huo ambao Real Madrid ilishinda kwa magoli 2-1.
No comments:
Post a Comment