Mshambuliaji Samuel Eto'o wa Everton yuko nchini Italia katika harakati za mwisho kujiunga na klabu ya Sampdoria.
Eto’o yuko nchini humo kwa ajili ya kufanya vipimo vya afya kabla ya kujiunga na klabu hiyo inayoshiriki Serie A.
Tayari Everton chini ya KochaRoberto Martinez imekubali kumuachia straika huyo mwenye umri wa miaka 33 aondoke Goodison Park.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment