LIVE UPDATE YANGA VS POLISI MOROGORO;UWANJA WA JAMHURI

Mtanange kati ya yanga na polisi morogoro umeanza katika uwanja wa jamhuri mji wa morogoro hadi sasa milango bado migumuDk 15 za mwanzo yanga wanataka dimbani wanalishambilia sana lango la timu ya polisiDk 42 yanga waanza kuandika goli la kwanza kupitia kwa dany mrwanda ;;kipindi cha kwanza chamalizika yanga ikiongoza kwa goli moja; kipindi cha pili kimeanza yanga 1 polisi bado hali tete polisi moro wanafanya badiliko bahanuzi anaingia uwanja kuchukua nafasi Mabadiliko ya kuingia bahanuz yanaamsha mashambulizi kwa timu ya polisi dk 42 yanga wanapoteza nafasi mbili ambazo zingeweza kuwapatia magoli mpira umemalizika yanga moja na polisi bila yanga wanaondoka uwanjani na point tatu muhimu;; nasi hatuna la ziada ila nikupe ahsante na kukukaribisha tena uperuz mtandao huu kesho ni simba na azam mbeya city na tanzania prison live kupitia njenje news blog
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: