FRIENDS OF SIMBA WAIBUKIA MAZOEZINI SIMBA KIMYAKIMYA

Wanachama wa Simba wanaounda Kundi maarufu la Friends of Simba (Fos) leo wameibuka kwenye mazoezi ya Simba wakiongezwa na Mwenyekiti wa Simba, Evans Aveva. Wanachama hao maarufu wa Fos kama Musley Al Rawah, Jerry Ambi, Adam Mgoyi, Mohammed Kigoma, Collins Frisch na Geofrey Nyange 'Kaburu' walihudhuria mazoezi hayo ya Simba na kuzungumza na Kocha Goran Kopunovic. Ilionekana ni sehemu ya kuihamasisha timu katika mechi zinazofuatia za Ligi Kuu bara baada ya kuwa imenza kufanya vema.
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: