HAYA NDIO MADHARA YA KUNYONYA UKE WAKATI WA KUFANYA MAPENZI.... NA PIA WATAMBUE WANAWAKE MATAPELI KATIKA MAPENZI... KAMA WEWE NI MWANAUME HAKIKISHA UMESOMA

Kama Bado Hujajiunga Nasi, Unaweza Kujiunga Hapa Nikutumie Habari Moja Kwa Moja ..Bofya HAPA ULIKE PAGE YETU!..


e mambo ya msingi… kama utahisi haya nitakayo yaeleza yamekukera jifanye kama hujaona na uendelee namabo yako sitaki comment za matusi!!!!
Kwanza kwa nini wasichana wengi mmekuwa matapeli wa mapenzi? Utakuta msichana hajampenda jamaa lakini anataka pesa tu na anapretend kama amekufa ameoza hii inajidhihirisha pale mnapokuwa kunako sita kwa sita utaona msichana anapiga kelele za hatari mnaweza kuwa mpo Mwenge lakini watu wa mbagala wanazisikia kelele hizo…. Kwa mwanaume asiejua mambo anaweza kuhisi ndo amemtoa bikira mdada huyo kumbe wapi ni wizi mtupu….mtoto anatengeneza tu mazingira ya kukutoa pesa… mkimaliza ukimpa elfu 5 ya nauli anakwambia beib hela gani hii hivi hujaona jinsi ulivoniumiza jamani nipe hata elfu 30 basi…. Kweli mapenzi kamari
Nanyi wanaume waogopeni sana wasichana wenye tabia kama hizo maana hawana mapenzi ila wapo kimaslahi zaidi!!!! Na pia watoto wa kiume epukeni kujitafutia magonjwa makubwa kwa kuwanyonya hawa wasichana sehemu zao za siri
…. Usiige yale unayoyaona kwenye mikanda ya ngono ukahisi ni jambo zuri, kumbuka wale wanaoigiza mikanda ya xxx wapo kibiashara zaidi na sio kimapenzi……
Kwanza hebu tafakari mambo matatu  yafuatayo…..
1. wanawake wanaenda breed kila mwezi…. Ila damu huwa ni chafu sana ndio maana hairuhusiwi kulala nae wewe unapata wapi ujasiri wa kumnyonya!!!!
2. Wanawake wengi wanatumia vipodozi na madawa mengi yenye athari wewe unajiweka kundi gani kwa kuyalamba na kuyameza hivi unayapenda kweli maisha yako na wanaokutegemea
3. Inawezekana mwanamke huyo ndo mara yako ya kwanza kukutana nae hujui aliwahi kuwa na nani huko nyuma wewe unakurupuka tuu na kutaka kuonesha ufundi wako…..  huenda alikuwa na jamaa mwenye magonjwa ya ngozi kama ukurutu, malengelenge, fangasi na mengineyo….fikiria mara tatu kabla ya kuyaweka rehani maisha yako kwa mambo ya kijinga!!!!
NJIA MBADALA NA NZURI NA PENZI LITAKUWA TAMU
Tumia njia zingine kama kupapasana, kutekenyana sehemu mbalimbali kwa kucha na vidole … Na pale muwapo ndani ya sita kwa sita msisitize mpenzi wako kukata viuno taratibu ila kwa ufundi, mtekenye masikio yake taratibu kwa kucha zako….. mtazame kimahaba, mtekenye na mpapase chini ya kitovu hadi kwenye nywele za ikulu yake…. Usisugue haraka haraka kama unakimbizwa fanya taratibu ila kwa ufundi…….  Kwa hujui ufundi upoje usione aibu nitumie sms inbox hapo na nitakusaidia……
Je, unapenda kesho niendelee na madhara ya kiss na kunyonya uume?
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: