RAPPER NAY WA MITEGO APATA MTOTO WA KIUME

Rapper Nay Wa Mitego hawezi kuisahau siku ya jana Jumanne 27.10.2014 katika maisha yake kwani ni siku ambayo alipata mtoto wa kiume Imekuwa ni furaha zaidi kwa raper huyo kwani jana alikuwa akisherehekea siku ya kuzaliwa kwa mama yake mzazi lakini ghafla akapigiwa siku yenye habari njema ya kumtaarifu kuwa mchumba wake amejifungua mtoto wa kiume siku hiyo hiyo
Share on Google Plus

About Rafiki Fm Ludewa

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: