Saturday, December 6, 2014

ZARI KIBOKO KWA KUWAPANGA…DIAMOND ALA MAKOMBO

Kiukweli mwanadada mrembo kutoka Uganda “Zari” ametia fora kwa muda mfupi amekwishaliwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mastaa hawa wanaozidi 13, inasemekana hawa ni wale wanaofahamika bado wale wasiofahamika hapa kweli Diamond kaingia pengine kabisa.

No comments:

Post a Comment