Thursday, June 12, 2025

NAMUONA ZIMBWE JR AKIBEBA HII TUZO.


Magoli yetu manne yaliyofungwa na wachezaji wanne tofauti yameingia kwenye Listi ya magoli bora ya Msimu kwenye kombe la Shirikisho Afrika
Zimbwe vs Cs Constantine ⚽🎯Ahoua
Kibu vs Cs Constantine ⚽ 🎯 Mpanzu
Ahoua vs Cs Sfaxien⚽🎯Ateba
MPANZU vs Al masr ⚽ 🎯Kapombe
Goli la Mohamed Hussein lilikuwa goli Bora sana possibly anaweza kutwaa tuzo hii.🤝
Inaweza kuwa picha ya ‎Watu 3, watu wanacheza soka, watu wanacheza kandakanda na ‎maandishi yanayosema '‎Rama 15 TOBoл KIDIJITAL 京号 ل‎'‎‎

0

Ludewa yetu na maendeleo yetu posted by barnabas njenjema, kutoka Ludewa

No comments:

Post a Comment