Magoli yetu manne yaliyofungwa na wachezaji wanne tofauti yameingia kwenye Listi ya magoli bora ya Msimu kwenye kombe la Shirikisho Afrika
Zimbwe vs Cs Constantine 
Ahoua


Ahoua vs Cs Sfaxien
Ateba


MPANZU vs Al masr
Kapombe


Goli la Mohamed Hussein lilikuwa goli Bora sana possibly anaweza kutwaa tuzo hii.

No comments:
Post a Comment