BINGWA MTETEZI SHUMA FC KUPIMWA NGUVU DHIDI YA MAKALI FC KWENYE KOMBE LA KUAMBIANA – LUDEWA
SHUMA FC, kutoka kijiji cha Ngelenge, wanakabiliwa na presha kubwa baada ya kupoteza mchezo wa Ngao ya Hisani dhidi ya Mbongo FC kwa mabao 2-0. Kikosi hicho kinakabiliwa na jukumu la kujipanga upya na kuanza vyema katika harakati za kutetea taji lao msimu huu.
Kwa upande mwingine, MAKALI FC, kutoka kijiji cha Masasi, wana kiu ya kurejesha heshima yao baada ya kutoshangaza kwa misimu mitatu mfululizo. Timu hiyo imeonyesha nia ya kweli ya kurejea kwenye ubora wao wa zamani, na msimu huu wameapa kupambana kwa nguvu ili kuwazidi wapinzani wao wa karibu, Masasi FC.
Mashabiki wa soka Ludewa na maeneo ya jirani wanatarajia mechi ya us
About Rafiki Fm Ludewa
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment